Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Ontario adaiwa kusepa na Mamilioni ya Wana-Forex

Information gap ndiyo iliyosababishia haya yote mnaopenda kutafuniwa

Kwenye forex kuna chain hii CLIENTS>>>>BROKER>>>>LIQUIDITY PROVIDER>>>>INTER-BANK MARKET

Na niliwahi kuandika kwenye uzi huu kwa waliobahatika kuusoma kabla ya kuubadilisha kukwepa lawama za kukimbiza wateja Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu
Na ukiangalia kabisa unaona chain ya TMT ilivyokuwa CLIENTS>>>TMT BANK A/c>>>BROKER ova
Broker wakubwa au broker waaminifu wanafanya hivi ukijiunga nao, ukijiregister unapata access kwenye dashbord yao hapo hapo Bank account yako inakuwa inajifungua kwa liquidity provider wao mfano JP Morgan, Baclays, Dukascopy, Standard Chattered, HSBC n.k ambapo ukideposit pesa inaenda direct kwa liquidity provider au withdrawals inakuwa the same sio kwenye ac ya broker au watu wengine waliofranchise au kuwa na special contract kama TMT walivyofanya.
kwa wanaokumbuka uzi wangu niliweka hii screenshot

View attachment 778186
Pesa zilikuwa haziendi kwa liquidity provider wala nini zilikuwa zinazunguka tu kwenye ac ya TMT na hii inadhihirisha JP Market hawana liquidity provider kama wanaweza wakakubali hii michezo kwa traders wazoefu wanajua SWAP charges muda mwingine huwa zinakuja positive na unaongezewa kiasi fulani kwenye position yako i bet kama kulikuwa na hii michezo JP Markets hawana positice swap.
Hii habari iwafikie pia nyie mnadanganywa kudeposit kwa mpesa tigopesa na airtel money pesa zenu haziendi kwa liquidity provider kaeni chonjo. Mwisho wa connection ni kwenye server zao basi kwa hiyo pesa wanatunisha mifuko yao na watafanya kila mbinu kuhakikisha wanakuwinda kama kutokutoa positive swap, spread kubwa, late execution na late exit requesting na kufreeze mt4 na mengine mengi stay alerted my people.

Ramadhan Kareem
Inamaana hata hawa templer, CIFX na Tickmill inawezekana siku moja wakakomba vihela vyetu kama Ontario?
 
It's important to understand that client funds were never deposited to JPMarkets - in terms of our contractual agreement with them, TMT is the the responsible party and therefore legally liable to repay these funds to all clients. Our clients’ interests is of superior priority and we will persevere to ensure this is rectified - however we cannot guarantee its resolution.
Maskini broker kawakimbia clients wake kiaina 😀😀😀
 
Inamaana hata hawa templer, CIFX na Tickmill inawezekana siku moja wakakomba vihela vyetu kama Ontario?
Hamna kitu kama hicho, hizo body zipo regulated , Jp Market walikosea sana kupitishia pesa za client wao through TMT
 
Cha kuwashauri wote ambao pesa zenu zipo Jp Markets Kupitia TMT fanyeni hivi, Tumeni Complaints nyingi kwenda Financial Services Board wa SA hata kama pesa yako haijaibiwa ila ulikuwa client wa Jp Markets kutokea Tanzania tuma complaint ili kutilia mkazo hili swala kupitia hapa
Complaints-Compliments-Feedback

Mawasiliano mengine ya FSB haya hapa

upload_2018-5-15_16-32-49.png


Kutokana na malezo haya hapa chini ilihali ni regulated broker by FSB huko kwa madiba Jp Markets wanatia upofu sehemu yenu ya kulalamika ipo na dawati lipo wazi. Na hii ndiyo mojawapo ya sababu ya kutumia regulated broker pale matatizo kama haya yanapotokea funzo kwa wengine, mbuzi wa kafara kapatikana.

- however we cannot guarantee its resolution.
Our agreements and arrangements hold TMT liable, rest assured will do our very best to assist.

Wamebadilisha jina toka FSB to FSCA tangu April 1 2018 Link and contact updated
Ramadhan Kareem
 
The bold na ontorio wataendelea kulaaniwa na utapeli waliufanya wa kinyama kwa vijana wa kitanzania kwa nia ovu ya kuchoma acc. Indirect ili wanufaike wao na wengine wapate hasara hichi kitu kitawatafutana miaka yote
Nabariki laana hizi kwao..
Bora mtu usiijue forex kuliko kujua kwanjia za kitapeli kama hizi
The bold anahusikaje tena na Tmt as far as i know hata share tmt hana Jeff alimualika tu kwenye group na baadae alijitoa hakuwahi kuwa member wa Tmt.
 
Hakuna alieibiwa pesa clients tuko salama kabisa trade zina run kama kawaida,nampenda ontario na wenzie ila kwa kugombanaa kwenye grups wameonesha uafrica wao wa ajabu samahani kwa hili ONTARIO soon nabadilisha broker mmeniboa kwa ugomvi wenu.nahamia ECN Broker.Forex ni nzuri tu il hawa watu wameboa
Did u know kuwa Jp market wamezuia clients wao kutoa pesa zao kwenye trading account zao mpaka Jeff arudishe pesa alizochukua bank na wamemfungulia case so how come pesa za clients zipo salama? They say no withdrawal until mgogoro wa tmt n jp uwe solved.
 
Did u know kuwa Jp market wamezuia clients wao kutoa pesa zao kwenye trading account zao mpaka Jeff arudishe pesa alizochukua bank na wamemfungulia case so how come pesa za clients zipo salama? They say no withdrawal until mgogoro wa tmt n jp uwe solved.
Makubwaaaa hayaa ndio maana bold kapita humu anawacheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukishaweka kitu kwenye public forum kinamhusu yeyote atakayekiona.

Unless nimeelewa vibaya unipe ufafanuzi, otherwise nitaendelea kuamini vile nilivyo tafsiri.

Nimeona mara kadhaa posts za kumlaumu The Bold kuhusu kuwapotosha watu kujiunga na TMT, leo namwona anapost hiko kitu, kwa nini nisiamini kwamba ni "jibe" kwa walengwa?
Wanawachekaa waliojiunga nadhani
 
Ndiyo maana nikakwambia ni dharau kwa The Bold kuja na hizi kauli za dharau kwa wanaodhani ni wahanga kwa sababu yake.

Alitakiwa aje kueleza ni kwa jinsi gani yeye Habibu B. Anga aka The Bold hahusiki na hizo tuhuma zinazoelekezwa kwake.

Auchukue huu ushauri aufanyie kazi, au aendelee na tambo za dharau.

Just done my duty.
Bora umesemaa wanajuta kuwafaham
 
Information gap ndiyo iliyosababishia haya yote mnaopenda kutafuniwa

Kwenye forex kuna chain hii CLIENTS>>>>BROKER>>>>LIQUIDITY PROVIDER>>>>INTER-BANK MARKET

Na niliwahi kuandika kwenye uzi huu kwa waliobahatika kuusoma kabla ya kuubadilisha kukwepa lawama za kukimbiza wateja Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu
Na ukiangalia kabisa unaona chain ya TMT ilivyokuwa CLIENTS>>>TMT BANK A/c>>>BROKER ova
Broker wakubwa au broker waaminifu wanafanya hivi ukijiunga nao, ukijiregister unapata access kwenye dashbord yao hapo hapo Bank account yako inakuwa inajifungua kwa liquidity provider wao mfano JP Morgan, Baclays, Dukascopy, Standard Chattered, HSBC n.k ambapo ukideposit pesa inaenda direct kwa liquidity provider au withdrawals inakuwa the same sio kwenye ac ya broker au watu wengine waliofranchise au kuwa na special contract kama TMT walivyofanya.
kwa wanaokumbuka uzi wangu niliweka hii screenshot

View attachment 778186
Pesa zilikuwa haziendi kwa liquidity provider wala nini zilikuwa zinazunguka tu kwenye ac ya TMT na hii inadhihirisha JP Market hawana liquidity provider kama wanaweza wakakubali hii michezo kwa traders wazoefu wanajua SWAP charges muda mwingine huwa zinakuja positive na unaongezewa kiasi fulani kwenye position yako i bet kama kulikuwa na hii michezo JP Markets hawana positice swap.
Hii habari iwafikie pia nyie mnaodanganywa kudeposit kwa mpesa tigopesa na airtel money pesa zenu haziendi kwa liquidity provider kaeni chonjo. Mwisho wa connection ni kwenye server zao basi kwa hiyo pesa wanatunisha mifuko yao na watafanya kila mbinu kuhakikisha wanakuwinda kama kutokutoa positive swap, spread kubwa, late execution na late exit requesting na kufreeze mt4 na mengine mengi stay alerted my people.

Ramadhan Kareem
Sasa hapo inakuwaje mfano ukideposit pesa kupitia TMT account yako iliyoko JP Market inakuwa credited na pesa uliyodeposited inaonekana imeingia halafu unasema inaxungukia hapo TMT hebu fafanua vixuri mnatuchanganya
 
"Withdrawal and deposits have been put on hold until TMT has advised how they plan to proceed "

Haka kakipengele kamekaa kihuni na kipigaji sana...na kanamaanisha mkwanja wa clients wa TMT JP market wamehuhold until further notice.

Simply means kama ulideposit mkwanja wako haupewi access ya kuutoa tena hadi Jeff arudishe hela ya watu.

Tafsiri yake clients ambao hadi sasa hawajatoa masese yao wamekula wa uso.

Hakyamungu! Ahahaha!
 
Sasa hapo inakuwaje mfano ukideposit pesa kupitia TMT account yako iliyoko JP Market inakuwa credited na pesa uliyodeposited inaonekana imeingia halafu unasema inaxungukia hapo TMT hebu fafanua vixuri mnatuchanganya
Laki si pesa umekuwa mpoleeee nakumbukaa forex is not for everyone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom