Information gap ndiyo iliyosababishia haya yote mnaopenda kutafuniwa
Kwenye forex kuna chain hii
CLIENTS>>>>BROKER>>>>LIQUIDITY PROVIDER>>>>INTER-BANK MARKET
Na niliwahi kuandika kwenye uzi huu kwa waliobahatika kuusoma kabla ya kuubadilisha kukwepa lawama za kukimbiza wateja
Kutokuwa na uelewa wa Forex ilivyogeuzwa kuwa Fursa adhimu
Na ukiangalia kabisa unaona chain ya TMT ilivyokuwa
CLIENTS>>>TMT BANK A/c>>>BROKER ova
Broker wakubwa au broker waaminifu wanafanya hivi ukijiunga nao, ukijiregister unapata access kwenye dashbord yao hapo hapo Bank account yako inakuwa inajifungua kwa liquidity provider wao mfano JP Morgan, Baclays, Dukascopy, Standard Chattered, HSBC n.k ambapo ukideposit pesa inaenda direct kwa liquidity provider au withdrawals inakuwa the same sio kwenye ac ya broker au watu wengine waliofranchise au kuwa na special contract kama TMT walivyofanya.
kwa wanaokumbuka uzi wangu niliweka hii screenshot
View attachment 778186
Pesa zilikuwa haziendi kwa liquidity provider wala nini zilikuwa zinazunguka tu kwenye ac ya TMT na hii inadhihirisha JP Market hawana liquidity provider kama wanaweza wakakubali hii michezo kwa traders wazoefu wanajua SWAP charges muda mwingine huwa zinakuja positive na unaongezewa kiasi fulani kwenye position yako i bet kama kulikuwa na hii michezo JP Markets hawana positice swap.
Hii habari iwafikie pia nyie mnaodanganywa kudeposit kwa mpesa tigopesa na airtel money pesa zenu haziendi kwa liquidity provider kaeni chonjo. Mwisho wa connection ni kwenye server zao basi kwa hiyo pesa wanatunisha mifuko yao na watafanya kila mbinu kuhakikisha wanakuwinda kama kutokutoa positive swap, spread kubwa, late execution na late exit requesting na kufreeze mt4 na mengine mengi stay alerted my people.
Ramadhan Kareem