Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Kaka shikamoooEngineer unataka Balance za Bank au za Forex!?..
Halafu hata tukiweka utaamini vipi ni zetu/zako as long hatujuani hakuna prove ya kitakachoweza kukuaminisha/kutuaminisha badala yake utakuja na jibu lingine tena!.
Sisi tumetumia scenario zako, ambazo kwa akili ya kawaida tu wewe ni Mpumbavu huwezi ukajisifu unapiga 1mil kwa siku halafu unaleta tena thread ya kutaka ushauri wa kuiibia bank 5 mil hela ambayo mwenzio haiwezi nisaidia pata hata product 1 nayouza!..
For your info nauza products above 7 mil per each sasa ile 5 mil ety ukaiibie bank ujishushie heshima nikaku undervalue as F..
Siwezi shabikia kuweka bank account without proof whether ni yako au ya mjomba wako huko ulipo!..
Forex is not for everyone