Ontario kamalizwa kishamba mno!

Huyu JP ana spreads kubwa mno iwe mchana iwe usiku , kuna muda yule mentor wenu anashindwa kutoa call coz ya spread kubwa anasubr zipungue kidogo ndo atoe call,, broker gan kutoa hela hadi uandike barua za maelezo Mara hela yako ipitie jaging plaza process kibao km hela za EPA
 

Boooonge la Promo et ukuze $1 unaweza fika mpaka $100 hata G.soros baba wa forex hii hawezi et customer care tanzania.??? Mara spread sijui mara unapgiwa sim na email kama akaunt inaungua kwan broker gan hakupi warning au wengine kabisa kukulatalia kutrade kama akaunt iko down.
 
Ongea kiuanaume mzee. Acha kuongea km mwimba tarabu , pangilia hoja tukuelewe .
 
Naona watu washatoka utumwani Misri na kwenda Israel.
Lakini wanataka kurudi tena utumwani uko Misri.
Forex ni uhuni.
kaka sidhani kama ni uhuni, ila kuna wahuni ndani yake na hili ndio tatizo linafanya mi nazidi kuisoma hii kitu bila kujaribu kwanza hahaha, ila naambiwa ndio nnavypishana na hela, kama now watu wanapiga cryptocurrency mie bado nasoma kwanza, Mungu atatnisaidia tu
 
Hellow wakuu!
Kwa wale wanaoumizwa na makato ya benk pale unapoweka hela na kutoa kutoka kwa broker , nawashauri wamtumie huyu broker Templer FX Trader , yeye anakubali transactions kwa njia ya M-PESA means unadeposit na kuwithdraw kwa M-pesa bila kupitia Bank, hafu no makato ... Ukiwa na $50 kwa broker unahitaji kuzitoa utapokea kwa kila dola 1 thamani ya Tsh 2,230/= so piga hesabu $50 zidisha kwa 2230 utapokea Tsh 111,500/= .. Tofauti na ukipitia bank , ,, mfano bank ya FNB Ukihitaji uweke kwa broker isome $100 inabidi udeposit maxmum $125 , hapo kwa mt4 yako itaonekana $100,,, hyo inayobaki ni makato pamoja na exchange rate yao kwa siku hyo,,

Bank ya equity wanakata km Tsh 18,000/= ($8.1) kwa transaction yoyote utakayoifanya kwenda na kutoka kwa broker,,

Haya makato unaweza kuyakwepa kwa kumtumia huyu broker Templer FX Trader ambapo transactions zote utazifanya kwa njia ya M-pesa bila makato yoyote na kwa muda mfupi.
Pia minimum deposit ni $1 pia minimum withdraw ni $1 kwa M-pesa.
Hasumbui kuverify documents zako inachukua around 24hours utakuwa verified . unachohitaji kuwa nacho ni kitambulisho kimojawapo kati ya hivi (cha kura,uraia,passport, au lessen)
Unaweza kumcheck kupitia website yake hii Templer FX Trader then unaingia open account , .. Huyu ni broker mzur kwa wale wanasumbuka na mitaji , pia hata km huna akaunt bank you can trade forex bila matatizo........
 

tag
 
Bantu trade tupo kwa Ajili ya kuhahakisha unalinda Fedha zako, haupotezi kwa kukupatia Hints za Signals kila muda.
Tupigie simu 0787 833 585, Tukuunge kwenye Group letu la kupata Signals za kila siku
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
Jamaa si anakula commission kwa;
1. Kuwaletea FNB na JP markets wateja;
2. Mazzezzeta kuunguza akaunti. He has nothing to loose
Siku zote watu hawajui kufanya biashara. Ili ufanikiwe kwenye biashara au kazi yyte lazima uwe muaminifu. Ukishindwa kuwa muaminifu ni bora ukafunga hiyo biashara tu sbb wateja watakuhama
 
Kwa wale wanaohitaj bonus za kuanza kutrade ni pm nitakudirect namna ya kupata ni rahic n wala hauhitaj kudeposit ili uweze kutoa faida yako....ukiishapata faida unatoa hela yako kiulaini kabisa..unaweza kuitumia kwa matumizi yako au kutransfer to another trading account...
 
hapo kwenye bonus mm nili trade na insta forex nikatengeneza pesa nzuri but kutoa sasa ndo issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…