Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
- Thread starter
- #21
Yani ujanja wote wa Nifah akakubali ndoa. The bold salute.Forex ilipenyeza penyeza hadi kwa cheupe nifah ikamfanya aopoe bwana humu🤭😁
#Kubali ndoa
dronedrake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ujanja wote wa Nifah akakubali ndoa. The bold salute.Forex ilipenyeza penyeza hadi kwa cheupe nifah ikamfanya aopoe bwana humu🤭😁
SIKAZIIKubali ndoa
Mimi huyu dogo yani alivyotupanga na kutulundika kwenye kile chumba eti semina za forex. Watu tulikuwa tunanakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.Umenikumbusha kuna shangazi mmoja wa humu JF na kiherehere chake alipigwa na kitu kizito na huyo jamaaa..hahaa!!
Ila yeye kwa mapenzi yake akaamua kutufunulia hiyo siridaah
hakuna benki yoyote itataka uijue
poleni sana mkuu!!Mimi huyu dogo yani alivyotupanga na kutulundika kwenye kile chumba eti semina za forex. Watutulikuwa tunakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.
Ila wanaume tunapitia sana. Yani unamkabidhi mwanaume mwenzako hela bila kwa kushurutishwa na kulazishwa kwa hiari kabisa kiroho safi.[emoji23][emoji23]
Hii kauli ya jamaa kwenye uzi wake naikumbuka sana.
Kumbe alimuoa? Sina habari
hadi forex uponoma sana, uzi wa moto sana ule kwa kina flani flani
Kumbe nifah cheupe, je ana chura? Kama kombineshen zote hizo mbili anazo the bold was the luckiest.Kumbe alimuoa? Sina habari
Dah...daah
hakuna benki yoyote itataka uijue
Akajitoa muhanga kufunua Siri za bankIla yeye kwa mapenzi yake akaamua kutufunulia hiyo siri
Nyie mbwiga, unapowekeza kuna mawili kupata au kukosa!! Sasa nyie mnataka kupata tu mkikosa mnalia lia kuwa mmepigwa!!!Ila huyu Ontario hata mimi alinipigaga lakini siyo kivile hela ya kujutia.
Acha kukariri nani kakuambia wazungu ndio wenye akili?Ontario ni mwili wake since kitambo na ni kawaida yule hana mwili wa maji ni miongoni mwa wale wakavu .
Hawa wengi ni smart sana wana akili kama unabisha waangalie watu wenye akili wengi haswa wazungu wakiwa katika umri ya sirjeff then angalia miili yao..