Ontario licha ya kupiga watu hela ndefu kashindwa kunawiri kama mwenzake wa South Africa Sandile Shize

Ontario licha ya kupiga watu hela ndefu kashindwa kunawiri kama mwenzake wa South Africa Sandile Shize

Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu
Ile ishu alishaeleza naona mgeni hii michezo huwezi kuelewa forex ni highly manipulated.

Ntakupa tu mwanga alishawishi watu watrade na jp market kama unavyojua huyo broker sio genuine na pia walikuwa wanachezesha spreads watu wapigwe wao wanapata commission ya asilimia kadhaa kwa broker ,hii siongei kwa kutoa kichwani alishawahi kusema mwenyewe.

kwa nn alisema hivyo?

Huyo jamaa baadae alikuwa na wenzie wawili mmoja alikuwa msouth africa kama sijakosea ...Basi huyu kijana mwanzo alikuwa watu wanapiga pesa ila mwisho wa siku ikawa account zinapunguzwa kwa makusudi aki-mislead watu ili wapigwe apate kitu kwa kuwapa signal za uongo.

Ishu baadae ya kupiga pesa dogo alishauriwa akizileta bongo ni msala kwake kutokana na umri wake zilikuwa bill na kitu ,basi akanunua magari ya kifahari na wakashauriana kufungua kampuni ya logistics huyu south africa.

Baadae dogo akaja bongo kutuliza wafuasi wake ,bahati mbaya anakuja bongo wenzie kule wakamzunguka yule msouth akauza mali za ile kampuni yao magari yote maana yalikuwa na usajili wa nje (south africa) .

Huwezi kuamini dogo katika zile billion walimpiga wenzie akabakiwa na mil 50 ambayo zilikuwa za traders na alizitoa hapa bongo ndo chanzo cha mgogoro maana alizitoa kwa mkupuo na watu walipewa taarifa ,hapo ndo watu wakajua wamepigwa.

Funzo : Alipiga wabongo naye akapigwa .!
 
Unajisumbua bure kuniandikia waraka mrefu kama w
Ile ishu alishaeleza naona mgeni hii michezo huwezi kuelewa forex ni highly manipulated.

Ntakupa tu mwanga alishawishi watu watrade na jp market kama unavyojua huyo broker sio genuine na pia walikuwa wanachezesha spreads watu wapigwe wao wanapata commission ya asilimia kadhaa kwa broker ,hii siongei kwa kutoa kichwani alishawahi kusema mwenyewe.

kwa nn alisema hivyo?

Huyo jamaa baadae alikuwa na wenzie wawili mmoja alikuwa msouth africa kama sijakosea ...Basi huyu kijana mwanzo alikuwa watu wanapiga pesa ila mwisho wa siku ikawa account zinapunguzwa kwa makusudi aki-mislead watu ili wapigwe apate kitu kwa kuwapa signal za uongo.

Ishu baadae ya kupiga pesa dogo alishauriwa akizileta bongo ni msala kwake kutokana na umri wake zilikuwa bill na kitu ,basi akanunua magari ya kifahari na wakashauriana kufungua kampuni ya logistics huyu south africa.

Baadae dogo akaja bongo kutuliza wafuasi wake ,bahati mbaya anakuja bongo wenzie kule wakamzunguka yule msouth akauza mali za ile kampuni yao magari yote maana yalikuwa na usajili wa nje (south africa) .

Huwezi kuamini dogo katika zile billion walimpiga wenzie akabakiwa na mil 50 ambayo zilikuwa za traders na alizitoa hapa bongo ndo chanzo cha mgogoro maana alizitoa kwa mkupuo na watu walipewa taarifa ,hapo ndo watu wakajua wamepigwa.

Funzo : Alipiga wabongo naye akapigwa .!
A Hamani.
Ninajua kuliko unavyofikiri.

Walichokuwa wanapata ni kamisheni za watu waliojiunga kutumia link yao.
Hii ni haki ya kila mtu ambaye amaewahi kum..refer mtu kwa broker yeyote.
Hata mimi hupata kamisheni hiyo kila wiki kupitia Tickmill broker
Mambo mengine yalikuwa ni tuhuma tu baada ya wao kukorofishana walituhumiana mambo mengi tu
 
Unajisumbua bure kuniandikia waraka mrefu kama w

A Hamani.
Ninajua kuliko unavyofikiri.

Walichokuwa wanapata ni kamisheni za watu waliojiunga kutumia link yao.
Hii ni haki ya kila mtu ambaye amaewahi kum..refer mtu kwa broker yeyote.
Hata mimi hupata kamisheni hiyo kila wiki kupitia Tickmill broker
Mambo mengine yalikuwa ni tuhuma tu baada ya wao kukorofishana walituhumiana mambo mengi tu
Mimi najua forex kuliko wewe bado mdogo usiseme IB ya ku-iintroduce broker elewa hata spreads hujui naona😅😅

Watu sio kupata commision alikuwa anashirikia na broker ambaye hajasaliwa kuunguza account yeye ndo mtoa signals.

Ndo maana nikakwambia hujui kitu ..Hii alisema baada ya kugombana na kigogo kule twitter mwenyewe wewe sijui kama ulikuwa unajua hata maana ya forex.

Unajua hata criterias za kuchagua broker?
 
Mimi najua forex kuliko wewe bado mdogo usiseme IB ya ku-iintroduce broker elewa hata spreads hujui naona😅😅

Watu sio kupata commision alikuwa anashirikia na broker ambaye hajasaliwa kuunguza account yeye ndo mtoa signals.

Ndo maana nikakwambia hujui kitu ..Hii alisema baada ya kugombana na kigogo kule twitter mwenyewe wewe sijui kama ulikuwa unajua hata maana ya forex.

Unajua hata criterias za kuchagua broker?
Usiniletee utoto wako hapa, siko hapa kuonyesha nani anajua na nani hajui
 
Hapo ukitofautisha na picha alipokiwa humu akitafuta marafiki.. hakika amepoga hatua hata muonekano.
 
Usiniletee utoto wako hapa, siko hapa kuonyesha nani anajua na nani hajui
We ndo unaleta utoto kwa vile hujui!

Jp market ni broker wa 2016 na kaangalie tetesi zilitokea lin? yaani broker hayupo kweny game na alikuwa na label tu sio regulated wakati huo .

kama ulikuwa hujui watu walishawithdrawal pesa zao hawakupokea mpaka leo tangu 2017 .

Kma kitu hukijui utatapeliwa bila kujielewa .!!
 
Unajua forex,ni somo flan hivi ukiwa unafundishwa unahisi unaelewa mno na linakufanya uwe na ujasiri Sana,hasa wale wanaokufundisha wanakuonesha kuwa huwezi kushidwa wao wamefanikiwa na wanaendelea kufanikiwa kwa njia hizo hizo,Sasa we nenda kafungue trade utajua hujui Mimi niliipenda Sana lastly nilienda kwenye voltality index baada ya kuona currency is not my thing,ningekaza ningekuwa na pata hela ya chakula sema niliona ups and downs ni nyingi Sana siwezi mudu
 
Trading kamma trading ukiwa na shida njoo pm ntakusaidia

Trade umkwamue mzee.

Msaada wa kazi ya udereva wana JF
 
Trade umkwamue mzee.

Msaada wa kazi ya udereva wana JF
Ungekuwa mwanaume ningesema unatabia za kike,kumtafutia mtu kazi sio kumsaidia.ye si ana baba yake mi ndo nimemzaa
 
Daah mwamba tumuombee aisee.
Screenshot_20230710-184757_Twitter.jpg
 
Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu
Umenena vyema na ukweli tupu.
Tatizo watu walikuwa na matarajio makubwa ya utajiri wa haraka wakakosa uvumiliu na umakini wa kufanya forex trade.
 
Back
Top Bottom