Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ishu alishaeleza naona mgeni hii michezo huwezi kuelewa forex ni highly manipulated.Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu
A Hamani.Ile ishu alishaeleza naona mgeni hii michezo huwezi kuelewa forex ni highly manipulated.
Ntakupa tu mwanga alishawishi watu watrade na jp market kama unavyojua huyo broker sio genuine na pia walikuwa wanachezesha spreads watu wapigwe wao wanapata commission ya asilimia kadhaa kwa broker ,hii siongei kwa kutoa kichwani alishawahi kusema mwenyewe.
kwa nn alisema hivyo?
Huyo jamaa baadae alikuwa na wenzie wawili mmoja alikuwa msouth africa kama sijakosea ...Basi huyu kijana mwanzo alikuwa watu wanapiga pesa ila mwisho wa siku ikawa account zinapunguzwa kwa makusudi aki-mislead watu ili wapigwe apate kitu kwa kuwapa signal za uongo.
Ishu baadae ya kupiga pesa dogo alishauriwa akizileta bongo ni msala kwake kutokana na umri wake zilikuwa bill na kitu ,basi akanunua magari ya kifahari na wakashauriana kufungua kampuni ya logistics huyu south africa.
Baadae dogo akaja bongo kutuliza wafuasi wake ,bahati mbaya anakuja bongo wenzie kule wakamzunguka yule msouth akauza mali za ile kampuni yao magari yote maana yalikuwa na usajili wa nje (south africa) .
Huwezi kuamini dogo katika zile billion walimpiga wenzie akabakiwa na mil 50 ambayo zilikuwa za traders na alizitoa hapa bongo ndo chanzo cha mgogoro maana alizitoa kwa mkupuo na watu walipewa taarifa ,hapo ndo watu wakajua wamepigwa.
Funzo : Alipiga wabongo naye akapigwa .!
Mimi najua forex kuliko wewe bado mdogo usiseme IB ya ku-iintroduce broker elewa hata spreads hujui naona😅😅Unajisumbua bure kuniandikia waraka mrefu kama w
A Hamani.
Ninajua kuliko unavyofikiri.
Walichokuwa wanapata ni kamisheni za watu waliojiunga kutumia link yao.
Hii ni haki ya kila mtu ambaye amaewahi kum..refer mtu kwa broker yeyote.
Hata mimi hupata kamisheni hiyo kila wiki kupitia Tickmill broker
Mambo mengine yalikuwa ni tuhuma tu baada ya wao kukorofishana walituhumiana mambo mengi tu
Usiniletee utoto wako hapa, siko hapa kuonyesha nani anajua na nani hajuiMimi najua forex kuliko wewe bado mdogo usiseme IB ya ku-iintroduce broker elewa hata spreads hujui naona😅😅
Watu sio kupata commision alikuwa anashirikia na broker ambaye hajasaliwa kuunguza account yeye ndo mtoa signals.
Ndo maana nikakwambia hujui kitu ..Hii alisema baada ya kugombana na kigogo kule twitter mwenyewe wewe sijui kama ulikuwa unajua hata maana ya forex.
Unajua hata criterias za kuchagua broker?
We ndo unaleta utoto kwa vile hujui!Usiniletee utoto wako hapa, siko hapa kuonyesha nani anajua na nani hajui
😆🙌 Nasikia Kuna watu aliruka nao hadi nyoka humuMimi huyu dogo yani alivyotupanga na kutulundika kwenye kile chumba eti semina za forex. Watu tulikuwa tunanakili nondo zake uchwara kwenye ma notebooks na diaries.
Hii content aliipangilia vizuri sanadaah
hakuna benki yoyote itataka uijue
Trading kamma trading ukiwa na shida njoo pm ntakusaidia
Ungekuwa mwanaume ningesema unatabia za kike,kumtafutia mtu kazi sio kumsaidia.ye si ana baba yake mi ndo nimemzaaTrade umkwamue mzee.
Msaada wa kazi ya udereva wana JF
Msaada wa kazi ya udereva wana JF
Wakuuuu kwa anayeweza kutoa msaada au connection ya kazi ya udereva. Namwombea baba yangu. Ana leseni class D, E, G ni mzoefu wa magari miaka mingi. Mwenye connection au maelekezo naomba msaada nimtupie mzee taulo, shukrani.www.jamiiforums.com
Umenena vyema na ukweli tupu.Ontario hajawahi kuibia mtu bali watu walijua wakianza kutrade ni mwendo wa kuvuna mapesa tu
Faiza ama?Umenikumbusha kuna shangazi mmoja wa humu JF na kiherehere chake alipigwa na kitu kizito na huyo jamaaa..hahaa!!
Kama yupi?Wako wengi sana duniani , Ila tofauti na nyinyi wao wamekubuhu kwenye FINANCIAL INTELLIGENCE!!!
Yap kiasi chake,niliinvest mwaka wa kwanza tu,wa pili nikahamia bitcoin mpaka leo nipo huko...Vipi ulifanikiwa?