Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,960
Eti ninadrive , unamiliki KiBaby walker unakuja kujitapa unadrive....
Mbuzi huyu unakuja ana viji asset havina thaman hata ya milion 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti ninadrive , unamiliki KiBaby walker unakuja kujitapa unadrive....
Mbuzi huyu unakuja ana viji asset havina thaman hata ya milion 8
Eti ninadrive , unamiliki KiBaby walker unakuja kujitapa unadrive....
[emoji23] [emoji23] huwezi amini mimi huyu amenitia moyo sana...kama ameweza yeye naamini hata mimi nitawezaMkuu samahani sina nia kukudhalilisha lakini naomba kuuliza swali.
Kwa uandishi wako kama huu nawewe pia umelielewa somo la Forex trading vizuri na unapiga pesa za kutosha?
Aisee kumbe hii biashara ni rahisi mno kupiga pesa!!
Halafu watu kama ONTARIO huwa wanakuwa na I'd nyingi sana, sasa subiri uone I'd zitakazokuja kumtetea humu utafikiri ni mtu muhimu sana kumbe ni Mpiga madili tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani laki 4 na 10 yote ni kodi aisee bongo sirudi bora nibaki zangu uku uku Sydney...Mshahara mdogo bonge la kodi duuu..
Acha kuongea lugha za kidada mkuuYou're Such A wasted Sperms
Wakati wewe wowowo lako tu lina thamani ya million 8Mbuzi huyu unakuja ana viji asset havina thaman hata ya milion 8
Kurusha jiwe gizani unaweza mponda hadi mama yako be carefullyMnavyobishana mnaonekana wote vichwa maji....... Jiwe gizani
Kama nakuonaNgoja usiku huu nijifunza kuhusu forex kwnz...niweze kuingia kwny hii mijadala nikiwa na kitu kichwani
Naww kumbe ni mtu wa forex...juzi nmesoma sn jana nmefungua demo a/c nione kama kweli hela ipoKama nakuona
Akina nani?Nasikia wanamuita tapeli
Nyie hapoAkina nani?
Akili yako imebaki kuvukia zebra barabaraniAcha kuongea lugha za kidada mkuu