Onyango, Nyoni, Bocco na Mkude hawastahili kuichezea Simba. Muda umefika wa kuwaruhusu wakatafute maisha sehemu nyingine

Onyango, Nyoni, Bocco na Mkude hawastahili kuichezea Simba. Muda umefika wa kuwaruhusu wakatafute maisha sehemu nyingine

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Chei Chei.....

Nimefuatilia mahojiano ya Rais, Tajiri na mwekezaji mwenye mapenzi wa dhati na Simba Sc, Mh. Mohammed Dewji yaliyofanywa na Saleh Jembe, nimesikitika kusikia Simba imepewa 1.5 billioni za usajili lakini upigaji umekuwa mwingi.Miongoni mwa upigaji wa pesa za Rais Mo ni kuwaongezea mikataba wachezaji waliovuka miaka 40 kama kina Nyoni,Bocco na Onyango.

Ni wazi mechi ya leo dhidi ya Raja Cassablanca imetuonesha wapi panapovuja.....Simba tuna wachezaji wazee wasioweza kuendana na kasi ya mpira wa kisasa (kileo), Erasto nyoni licha ya kucheza dk 90 (sijui kwanini) bado ameonesha ni jinsi gani ambavyo hastahili hata kupewa dk 5 za kuitumikia simba, amechoka hata kukimbia kufukuza mpira hawezi tena. Onyango nae licha ya kudanganya umri ameonesha kuwa wakati umeshamtupa mkono ni muda sasa wa kwenda kutafuta chamgamoto mpya sehemu nyingine.

Simba kama tunahitaji mafanikio ni lazima tuwe wakweli, kikosi chetu kinahitaji wachezaji wapya vijana watakaoipambania timu sio hawa kina mkude,onyango,bocco na nyoni.
 
Chei Chei.....

Nimefuatilia mahojiano ya Rais, Tajiri na mwekezaji mwenye mapenzi wa dhati na Simba Sc, Mh. Mohammed Dewji yaliyofanywa na Saleh Jembe, nimesikitika kusikia Simba imepewa 1.5 billioni za usajili lakini upigaji umekuwa mwingi.Miongoni mwa upigaji wa pesa za Rais Mo ni kuwaongezea mikataba wachezaji waliovuka miaka 40 kama kina Nyoni,Bocco na Onyango.

Ni wazi mechi ya leo dhidi ya Raja Cassablanca imetuonesha wapi panapovuja.....Simba tuna wachezaji wazee wasioweza kuendana na kasi ya mpira wa kisasa (kileo), Erasto nyoni licha ya kucheza dk 90 (sijui kwanini) bado ameonesha ni jinsi gani ambavyo hastahili hata kupewa dk 5 za kuitumikia simba, amechoka hata kukimbia kufukuza mpira hawezi tena. Onyango nae licha ya kudanganya umri ameonesha kuwa wakati umeshamtupa mkono ni muda sasa wa kwenda kutafuta chamgamoto mpya sehemu nyingine.

Simba kama tunahitaji mafanikio ni lazima tuwe wakweli, kikosi chetu kinahitaji wachezaji wapya vijana watakaoipambania timu sio hawa kina mkude,onyango,bocco na nyoni.
Sawa,siye tunawasubiria kwenye derby yetu Ili pasivuje tu Bali na mafuriki yaingie ndani
 
hawa kina mkude,onyango,bocco na nyoni.
Mkude amecheza? Bocco amecheza sekunde ngapi? Mechi nne za Simba dhidi ya Horoya na Vipers, Simba imeruhusu goli moja tu. Nani alikuwa beki katika mechi za Vipers na Horoya kama sio Onyango? Msipende kukurupuka ili mradi tu muonekane mmeanzisha nyuzi. Hebu angalieni na safari ilivyokuwa ya kuungaunga wachezaji wakitoka nchi zao kwenye timu za taifa kuja kukutana Morocco. Kumbuka Morocco imechezea nyumbani mechi yao ya Taifa, na Raja haina wachezaji wanaochezea nchi nyingine za Taifa, kwa hiyo wao suala la safari halikuwapo. Mimi binafsi nawapongeza wachezaji wa Simba
 
John boco kacheza timu moja na baba Fc bandari ya tanga mwaka 1997 mpaka leo bado anacheza tu
Sasa unamuonea wivu? Kama baba yako hakuwa na kipaji, kwa hiyo unataka watu wote wa umri wake wawe kama yeye? Kama alichezea maisha shauri yake, acheni makocha waamue kuhusu kumtumia Bocco. Kwanza Bocco amefunga zaidi ya magoli 100 katika ligi ya Bara, huyo baba yako amefunga mangapi?
 
Mkude amecheza? Bocco amecheza sekunde ngapi? Mechi nne za Simba dhidi ya Horoya na Vipers, Simba imeruhusu goli moja tu. Nani alikuwa beki katika mechi za Vipers na Horoya kama sio Onyango? Msipende kukurupuka ili mradi tu muonekane mmeanzisha nyuzi. Hebu angalieni na safari ilivyokuwa ya kuungaunga wachezaji wakitoka nchi zao kwenye timu za taifa kuja kukutana Morocco. Kumbuka Morocco imechezea nyumbani mechi yao ya Taifa, na Raja haina wachezaji wanaochezea nchi nyingine za Taifa, kwa hiyo wao suala la safari halikuwapo. Mimi binafsi nawapongeza wachezaji wa Simba
Hujui mpira ni utumiaji mbaya wa muda kuanza kukuelewesha mpaka uelewe
 
Chei Chei.....

Nimefuatilia mahojiano ya Rais, Tajiri na mwekezaji mwenye mapenzi wa dhati na Simba Sc, Mh. Mohammed Dewji yaliyofanywa na Saleh Jembe, nimesikitika kusikia Simba imepewa 1.5 billioni za usajili lakini upigaji umekuwa mwingi.Miongoni mwa upigaji wa pesa za Rais Mo ni kuwaongezea mikataba wachezaji waliovuka miaka 40 kama kina Nyoni,Bocco na Onyango.

Ni wazi mechi ya leo dhidi ya Raja Cassablanca imetuonesha wapi panapovuja.....Simba tuna wachezaji wazee wasioweza kuendana na kasi ya mpira wa kisasa (kileo), Erasto nyoni licha ya kucheza dk 90 (sijui kwanini) bado ameonesha ni jinsi gani ambavyo hastahili hata kupewa dk 5 za kuitumikia simba, amechoka hata kukimbia kufukuza mpira hawezi tena. Onyango nae licha ya kudanganya umri ameonesha kuwa wakati umeshamtupa mkono ni muda sasa wa kwenda kutafuta chamgamoto mpya sehemu nyingine.

Simba kama tunahitaji mafanikio ni lazima tuwe wakweli, kikosi chetu kinahitaji wachezaji wapya vijana watakaoipambania timu sio hawa kina mkude,onyango,bocco na nyoni.

IMG_20230401_045524.jpg


Huyu jamaa ana umri wa miaka 25 , beki wa kutumainiwa

Note: hii picha ni ya mwaka 2020
 
Jibu ni hapana ,,,Wanaotakiwa kuondoka Simba n maingoizo mapya yaliyoshindwa kuchallenge waliokuepo
 
Chei Chei.....

Nimefuatilia mahojiano ya Rais, Tajiri na mwekezaji mwenye mapenzi wa dhati na Simba Sc, Mh. Mohammed Dewji yaliyofanywa na Saleh Jembe, nimesikitika kusikia Simba imepewa 1.5 billioni za usajili lakini upigaji umekuwa mwingi.Miongoni mwa upigaji wa pesa za Rais Mo ni kuwaongezea mikataba wachezaji waliovuka miaka 40 kama kina Nyoni,Bocco na Onyango.

Ni wazi mechi ya leo dhidi ya Raja Cassablanca imetuonesha wapi panapovuja.....Simba tuna wachezaji wazee wasioweza kuendana na kasi ya mpira wa kisasa (kileo), Erasto nyoni licha ya kucheza dk 90 (sijui kwanini) bado ameonesha ni jinsi gani ambavyo hastahili hata kupewa dk 5 za kuitumikia simba, amechoka hata kukimbia kufukuza mpira hawezi tena. Onyango nae licha ya kudanganya umri ameonesha kuwa wakati umeshamtupa mkono ni muda sasa wa kwenda kutafuta chamgamoto mpya sehemu nyingine.

Simba kama tunahitaji mafanikio ni lazima tuwe wakweli, kikosi chetu kinahitaji wachezaji wapya vijana watakaoipambania timu sio hawa kina mkude,onyango,bocco na nyoni.
Mpira ni pesa, huwezi kupata Wachezaji wazuri kama huna pesa ya kutosha.
KWAHIYO, Wachezaji waliopo ni matokeo ya kiwango cha pesa kilichopo achilia mbali status ya timu( Kuna Wachezaji hawawezi kupenda kuchezea SIMBA hata kama ukawa na pesa ya kutosha, Kwasababu SIMBA ina status ya chini ukilinganisha na Raja, Esperence, Al ahly, mamelodi, nk).
Billion 1.5 ni hela ndogo sana kuifanya timu ifanye vizuri sana. Sasa kwa hela hiyo( 1.5 billion) utashindanaje na timu zinazotumia 4.5 billion kumnunua mchezaji mmoja?. Hapo ni kukubali tu, kuwa mpira wa miguu unahitaji pesa ndefu sana. Hivyo kwa uwekezaji tulionao hapo tulipofika siyo pabaya.
NB
Mpira wa miguu ni suala la kipaji siyo umri, mtu akiwa na umri mkubwa lakini ana kipaji anakuwa ni msaada mkubwa kwa timu kuliko mwenye umri mdogo asiye na kipaji. Kwahiyo hao Wachezaji wazee wanaonesha vipaji vyao kuliko vijana.
SIMON MSUVA ni wa Zamani sana, lakini yupo kwenye soka hadi leo na anafanya vizuri sana kutokana na kipaji chake kutokuchuja( Kwahiyo, issue siyo umri bali ni kuchuja kwa kipaji).
 
Sasa unamuonea wivu? Kama baba yako hakuwa na kipaji, kwa hiyo unataka watu wote wa umri wake wawe kama yeye? Kama alichezea maisha shauri yake, acheni makocha waamue kuhusu kumtumia Bocco. Kwanza Bocco amefunga zaidi ya magoli 100 katika ligi ya Bara, huyo baba yako amefunga mangapi?
Akikwambia baba yake ni mrisho ngasa au pawasa utamjibu nimi
 
Back
Top Bottom