Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,431
Hivi nyie watoto hamna kazi ya kufanya??Leo nawaonya nyie mazee mnaonyatia madem wa watu mnazuga na interview, kumbe ndo Gia ya kuwatongoza kwanza interview zenyewe hamjui mnauliza maswali ya kindezi tu yaan nye darasani ndo wale wanafunz tulikuwa tuwapiga konz na mnatuchekea interview Za kishamba waachen wtt wazur hawana time na nyie washamba kwanza msela unasaund km demu mimi nimepga vidato Sita na mwaka uu natimba chuo ila we sijui wa kujiita muosha sufiria na uyo boya konor anamsumbua demi achen ushamba
Mi ndo mzee Wa mavurugu waulize God na Jose ndo wananielewa nikishawaka mahasira ndo utaacha shobokea madem Za watu kuwafanyie interview wengine sio madem zangu
Nigger iam crazy in love with my Angel's find your own girls
Wa kishua
Kama hamna kazi kuna eka mbili za nyanya mje mpige dawa!!
Acheni kupoteza muda kijinga kwa mambo ya kipuuzi!!
Sent using Jamii Forums mobile app