Onyo kwa Conor na muosha rungu

Onyo kwa Conor na muosha rungu

Leo nawaonya nyie mazee mnaonyatia madem wa watu mnazuga na interview, kumbe ndo Gia ya kuwatongoza kwanza interview zenyewe hamjui mnauliza maswali ya kindezi tu yaan nye darasani ndo wale wanafunz tulikuwa tuwapiga konz na mnatuchekea interview Za kishamba waachen wtt wazur hawana time na nyie washamba kwanza msela unasaund km demu mimi nimepga vidato Sita na mwaka uu natimba chuo ila we sijui wa kujiita muosha sufiria na uyo boya konor anamsumbua demi achen ushamba
Mi ndo mzee Wa mavurugu waulize God na Jose ndo wananielewa nikishawaka mahasira ndo utaacha shobokea madem Za watu kuwafanyie interview wengine sio madem zangu
Nigger iam crazy in love with my Angel's find your own girls



Wa kishua
Hivi nyie watoto hamna kazi ya kufanya??

Kama hamna kazi kuna eka mbili za nyanya mje mpige dawa!!

Acheni kupoteza muda kijinga kwa mambo ya kipuuzi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaitwa Khalifa Salmin ..alaf demu wako kakutumia msg kua yupo hospitals kalazwa so anadai umtumie hela...my friend khalifa huo ni uongo maana kuna dem nipo nae hapa kwenye daladala ndo ameandika iyo msg yan si mgonjwa. Ninakushtua tu mshikaj wangu maninja kusaidiana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmhh jaman kwanini umeamua kuniharibia jomonii
Si ungenivungia tyuu
 
Weekend hua naishiwa maneno, lakini napenda kuwa msomaji ili nielewe tu...[emoji12] [emoji12]
We km ni muhenga wasanue Hao jamaa. Mi vagi langu huwa halizimw na mamwera

Wa kishua
 
Wazungu huwa wanasema
"A Real Soldier doesn't boast before the battle, BUT after it"
Sasa hapa ndio napata kuelewa Domo zege ni nani na gentle Ms ni kina nani, msiseme sikuwashtua.
Cc. Demi
Cc. Muosha rungu
Cc. Yajutu
Sasa Ocean Road kakojoe tu ukalale dogo subiri vyuo vifunguliwe tu, kuwa mpole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madem zako kina nani?
Aaaaaaah
Mwenzako I feel so good nikikuona
Au mwendo unafanya kusudi na ulivyoshona
Ati unakwenda au unarudi wakata konaaa
Nyuma ka katuni Za masudi ulivyonona
Hivi unaenda wa vifua km wa kishua...
Au wazee wa kununua mwaga not kina wa kishua...

Ooooo hhhhuuuu demi.....
Macho km unaniita.....
Saa Sita shepu boraaaa...

Show me show me unavyodance
Show me show me waoneshe unavyodance
Show me........ [emoji443] [emoji442] [emoji443] [emoji443] [emoji443]

Wa kishua
 
Wanafanana kila kitu akili ndogo!
King'ang'anizi

DJ sepetu
Ila jamaa ni mjanja sana ametaja majina ya watu waliokuwa ktk interview ya Jana akijua demi atakuja isitoshe akaweka id yake ya Connor kana conor ili kujificha apime upepo Wa mtongozo wake kwa demi kama ulikuwa Na matunda yeyote!!
Upo Connor! Unajificha ktk shamba la karanga!

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom