Onyo kwa Conor na muosha rungu

Wacha niangalie mpira...asante kwa taarifa hizi
 
Kuwa na jamaa kama huyu nitakuwa nimerogwa!
Mtt toboa hapa Kati
Vinabo wanakachi tupo gado
Infact double impact
Mambo hapa Kati
Kunipa mitikasi
Nishakamata majax
Nipale Kati Kwa faks
Usiogope maadui
Sterling auawi
Your my one onle...... [emoji443] [emoji443] [emoji442]

Wa kishua
 
Hivi nyie watoto hamna kazi ya kufanya??

Kama hamna kazi kuna eka mbili za nyanya mje mpige dawa!!

Acheni kupoteza muda kijinga kwa mambo ya kipuuzi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka tulime wote nani atakuwa cashier wa benk
We km huna demu lala tuachie uwanja tunaokubalika kwa wtt wakali

Wa kishua
 
Mi hata sihangaiki nao....demu wa kwenye picha anakutoa mate...acha hizo mwana...demu hujawahi muona hata live..avatar zisikuchanganye....
Haya ni mapenzi ya kulevya...
Nayumba nateleza...
Nayumba napoteza...

Kwenye mapenzi yenu nimedondoka km chopa
Wananiita wa kishua
Zee la kibembeleza
Mtt hawezi toka
cc.
demi
Maserati
emmyta
Mahandw

Wa kishua
 
Ukimegewa demu wako tafuta mnyonge umumegee in mwana fa voice [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

the great
 
Conor ni zero km wewe tafuten madem kwa sound msipende kitonga afu nawataman kinyama tuzichape tuone nan mbabe

Wa kishua
Dogo kasome prep!! Utafeli paper ya darasa la saba next month!

DJ sepetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…