Onyo kwa Conor na muosha rungu

Onyo kwa Conor na muosha rungu

Ocean road

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
631
Reaction score
304
Leo nawaonya nyie mazee mnaonyatia madem wa watu mnazuga na interview, kumbe ndo Gia ya kuwatongoza kwanza interview zenyewe hamjui mnauliza maswali ya kindezi tu yaan nye darasani ndo wale wanafunz tulikuwa tuwapiga konz na mnatuchekea interview Za kishamba waachen wtt wazur hawana time na nyie washamba kwanza msela unasaund km demu mimi nimepga vidato Sita na mwaka uu natimba chuo ila we sijui wa kujiita muosha sufiria na uyo boya konor anamsumbua demi achen ushamba
Mi ndo mzee Wa mavurugu waulize God na Jose ndo wananielewa nikishawaka mahasira ndo utaacha shobokea madem Za watu kuwafanyie interview wengine sio madem zangu
Nigger iam crazy in love with my Angel's find your own girls



Wa kishua
 
Kama unaitwa Khalifa Salmin ..alaf demu wako kakutumia msg kua yupo hospitals kalazwa so anadai umtumie hela...my friend khalifa huo ni uongo maana kuna dem nipo nae hapa kwenye daladala ndo ameandika iyo msg yan si mgonjwa. Ninakushtua tu mshikaj wangu maninja kusaidiana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama unaitwa Khalifa Salmin ..alaf demu wako kakutumia msg kua yupo hospitals kalazwa so anadai umtumie hela...my friend khalifa huo ni uongo maana kuna dem nipo nae hapa kwenye daladala ndo ameandika iyo msg yan si mgonjwa. Ninakushtua tu mshikaj wangu maninja kusaidiana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo jambazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom