Wee unadhani Azam ni timu ya kitoto? wewe unafikiri tu kila timu ikiingia uwanjani lazima ishinde? kwa taarifa yako kocha hana nafasi yoyote huwa ni symbol of unity kwenye timu tuu vingine ni longolongo tuu. Vipaji vya wachezaji ndio vina matter. Hakuna mchezaji aliyezalia kuwa striker, aliamua tuu siku moja kuwa awe striker lakini sii kwamba hawezi kucheza sehemu nyingine, ndio maana akina roberto carlos ni mabeki lakini kwenye list ya wafungaji bora walikuwepo. Brother mmewahiwa tuu na sii kwamba ni kocha , mbona wamekosa kosa nyinyi kwani na hizo kocha anahusika? mabao yote waliokosakosa hao mkia fc wangefunga ungeongea unachoongea sasa? Kati ya watu ambaop hula ujiko wa bure pale timu inaposhinda au lawama pale inaposhindwa ni kocha ila hawana lolote kwani hata timu ikienda bila kocha yoyote kama ina wachezaji wenye vipaji vya asili watashinda tuu.