Onyo la kistaarabu dhidi ya uhusiano wa Tanzania na Israel

Onyo la kistaarabu dhidi ya uhusiano wa Tanzania na Israel

diplomasia yetu ya sasa ni uchumi hao ugomvi wa Palestina na Israel hautuhusu.Tumetumia rasilimali nyingi kusaidia ukombozi kusini mwa afrika leo hii tumepata nini kwani nchi tulizosaidia zimetuacha mbali kiuchumi wakati zinasonga mbele sisi tunarudi nyuma.Wakati tunapigana na Uganda Israel walikataa kumsaidia Idi Amini lakini wapalestina walitoa wanajeshi wake ili Uganda itupige kwa sababu tu Idi Amini alikuwa Adui Wa Israel.Hakuna mtu wa kutuchagulia rafiki wapambane na hali yao
 
Hizi sio zama za kuchagua marafiki kwa sababu ya siasa zao za ndani. Kama watu wanayo maarifa yenye kuweza kubadilisha hali yetu kiuchumi, kwanini eti tuangalie wanahusianaje na wanaowazunguka.

Hakuna mkamilifu chini ya jua, wote tumeumbwa na udhaifu wa aina moja au nyingine. Nguvu ya ubinadamu ndio ya muhimu zaidi kuliko kubakia kwenye kuuonyoshea vidole udhaifu wa mtu au nchi fulani.
 
Nimesoma na
Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa Onyo la Kistaarabu Kidplomasia dhidi ya kuwa makini na Uhusiano na Israel..Binafsi naona kama tusipotilia Maanani na kupuuza hili kama tunavyopunguza Uzito wa Watu Wasiojulikana tusije kushangaa kujikuta Tanzania tukiandamwa na Majanga ya Kiusalama kutoka kwa Hawa Jamaa kama Malipo ya Ufinyu wa Hekima na Maamuzi yetu.

KABLA YA KUCHANGIA JAZA HEKIMA KWANZA KUPITIA Link Hii Why is Tanzania’s shift towards Israel wrong?

Nakumbuka niliwahi kuzungumzia hili kwenye thread hii Urafiki Tata: TZ, KE & nchi za Afrika Mashariki na sapoti ya Kuhama kwa Ubalozi wa Marekani Jerusalem

pamoja na Kuchangia Hoja sawa kwenye Post ya Pakawa Wakati Tanzania tunapeleka balozi Israel, South Afrika tuliowasaidia na ukandamizwaji wanamwondoa balozi wao

Source: The citizen
View attachment 901652

======

Dar es Salaam. Palestine and Israel have been at loggerheads for many years now, ever since the Israel nation was established after the Second World War. Apparently, this tension has for many decades left many nations across the globe in a diplomatic crossroads.
But also, many key diplomatic partners like Tanzania have been supporting Palestine in fighting for its independence. As a result, Tanzania severed diplomatic relations with Israel in 1973 following the Yom Kippur war.

Relations were restored in 1995, albeit through Nairobi in Kenya.
Yet again, Tanzania seemed to have touched a raw nerve when Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation minister Augustine Mahiga officiated the opening of the Tanzanian Embassy in Tel Aviv, Israel, on May 8 this year, appealing to Israel to do the same in Tanzania.

That did not augur well with the Palestinians. Now, the new ambassador of the State of Palestine to Tanzania, Hamdi Mansour Abuali, has spoken out on the matter, warning Dar es Salaam to tread carefully on its diplomatic ties with Israel:

Palestine and Tanzania have had diplomatic relations for so long, but now Tanzania has re-established ties with Israel, your foe. What is your take on this?
Relations between Palestine and Tanzania are what we care about. Our partnership is not new; it’s old. What is new is the relationship between Tanzania and Israel. All we hope for is that this is for the good of Tanzanians. Unfortunately, we’ve learned from experience that Israel does not respect agreements in a relationship.

The Israelis have had a lot of agreements with us, on so many issues. But they (the agreements) have not been for the benefit of both parties. Israel always falls short when it comes to implementing agreements.

Can you elaborate on some of the agreements that Israel backtracked on?
In negotiating with Israel we tried to bring in the Americans, Russians and the United Nations to help with the process, because we believe that the struggle for our independence can be executed in a moderate way.

But what we have had to experience is totally different. We agreed with Israel in the 1960s, for example, that Jerusalem will be the capital of Palestine. After sometime, Israel changed. And they don’t want the UN-recognised borders.

Despite agreeing with Israel on restrictions of the movement of Palestinians, some areas are still confined by fences and a gate in the whole city. You need permission to go to school; and there are schools separated by the wall where students cannot access unless they climb the fence or ask for permission.
Israel cannot allow people to dig a well or build a factory or to expand. The majority of the Palestinian land in the West Bank has fallen into the hands of Israelites, and surrounded by soldiers -- you can’t walk freely.

Coming back to the Tanzania-Palestine relations, is there an initiative to convince your people to invest in this country? Or any plan to have Tanzanian investors in Palestine?
As you know, Israel has taken away land from Palestinians, such that our people can’t produce.
So, Palestinians are expanding by looking for areas where we can cooperate economically. Already, we have Palestinian investors in Tanzania. But we don’t have any investment agreement here yet.
Nevertheless, we have many investors on the ground in the areas of agribusiness, and we are looking to expanding to large scale.

What initiatives are in place for tourism, considering that both Tanzania and your country have a lot of tourist attractions?
Our Tourism minister visited Zanzibar and signed an agreement with the government to facilitate the flow of Palestinians to Tanzania. At the same time, we have agreements on how Tanzanians can visit Palestine. This agreement works for both sides.
We have been discussing and the agreement has been signed. In the near future we will start to see implementation.

That is Zanzibar, what about tourism in the Mainland?
I take this opportunity to welcome Tanzanians to visit Palestine, and especially the Holy Land and Jerusalem. I encourage Christians and non-Christians to come too. You can visit all historical sites from Palestine.
Palestinian envoy warns Tanzania on Israel
Nimesoma na sijaona uwezekano wa tishio lolote lile la usalama. Tanzania ilikuwa na uhusiano na isreal na ulivunjika baada ya yom kippur war kama vile nchi nyingine nyingi zilivyofanya. Kama kuna nchi ambayo inapaswa kuwa na wasiwasi ni saudi arabia na egypt.
MY TAKE:Kuna wakati mahusiano mazuri na hasimu yanaweza kusaidia kupoza mambo
 
Mambo ya diplomasia kuna wakati kunakuwa na unafiki hata kama humpendi inabidii umchekee na kumsifia ili upate unachotaka kwake
 
do you mean The Citizens Paper are the Propaganda Cooks? they are one who reported it.
Who knows?? I think the intent is to hookup the abductions that were fore reported that the abductors weren't from our ethnic group! Pangs matofari you will understand the real intentions!!
 
Sehemu kubwa ya israel ni jangwa lkn inafanya vzr sana kwny kilimo cha matunda na mboga kwa kutumia teknolojia na utaalamu wa hali ya juu, na inauza nje bidhaa hizo kwa wingi.

Sisi tuna ardhi nzuri na mito mingi, lkn hatuna utalaamu wala teknolojia ya kuzalisha kwa tija kubwa.. Hili ndo suala la kujadili. Diplomasia ya siasa tupu imepitwa na wakati. Hizi ni zama za economic diplomacy, na ndo maana Saudia, misri, nk wana mahusiano mazuri na israel.

Mkono mtupu haulambwi na mbwa!
 
Waarabu washenzi, watupilie kwa mbali wauza watu hao!!! Israel wana heshima bana wananunua mtu lkn wanamjali kwa Elimu, kula, malazi safi !! kifupi wana utu.

Walisharipiua Ubalozi wa USA Nairobi na DSM, wafanye ubaya mara ngapi? tuondeleeni taka uozo hizo kwanz awamechelewa sana.
 
Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa Onyo la Kistaarabu Kidplomasia dhidi ya kuwa makini na Uhusiano na Israel..Binafsi naona kama tusipotilia Maanani na kupuuza hili kama tunavyopunguza Uzito wa Watu Wasiojulikana tusije kushangaa kujikuta Tanzania tukiandamwa na Majanga ya Kiusalama kutoka kwa Hawa Jamaa kama Malipo ya Ufinyu wa Hekima na Maamuzi yetu.

KABLA YA KUCHANGIA JAZA HEKIMA KWANZA KUPITIA Link Hii
Why is Tanzania’s shift towards Israel wrong?

Nakumbuka niliwahi kuzungumzia hili kwenye thread hii Urafiki Tata: TZ, KE & nchi za Afrika Mashariki na sapoti ya Kuhama kwa Ubalozi wa Marekani Jerusalem

pamoja na Kuchangia Hoja sawa kwenye Post ya Pakawa Wakati Tanzania tunapeleka balozi Israel, South Afrika tuliowasaidia na ukandamizwaji wanamwondoa balozi wao

Source: The citizen
View attachment 901652

======

Dar es Salaam. Palestine and Israel have been at loggerheads for many years now, ever since the Israel nation was established after the Second World War. Apparently, this tension has for many decades left many nations across the globe in a diplomatic crossroads.
But also, many key diplomatic partners like Tanzania have been supporting Palestine in fighting for its independence. As a result, Tanzania severed diplomatic relations with Israel in 1973 following the Yom Kippur war.

Relations were restored in 1995, albeit through Nairobi in Kenya.
Yet again, Tanzania seemed to have touched a raw nerve when Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation minister Augustine Mahiga officiated the opening of the Tanzanian Embassy in Tel Aviv, Israel, on May 8 this year, appealing to Israel to do the same in Tanzania.

That did not augur well with the Palestinians. Now, the new ambassador of the State of Palestine to Tanzania, Hamdi Mansour Abuali, has spoken out on the matter, warning Dar es Salaam to tread carefully on its diplomatic ties with Israel:

Palestine and Tanzania have had diplomatic relations for so long, but now Tanzania has re-established ties with Israel, your foe. What is your take on this?
Relations between Palestine and Tanzania are what we care about. Our partnership is not new; it’s old. What is new is the relationship between Tanzania and Israel. All we hope for is that this is for the good of Tanzanians. Unfortunately, we’ve learned from experience that Israel does not respect agreements in a relationship.

The Israelis have had a lot of agreements with us, on so many issues. But they (the agreements) have not been for the benefit of both parties. Israel always falls short when it comes to implementing agreements.

Can you elaborate on some of the agreements that Israel backtracked on?
In negotiating with Israel we tried to bring in the Americans, Russians and the United Nations to help with the process, because we believe that the struggle for our independence can be executed in a moderate way.

But what we have had to experience is totally different. We agreed with Israel in the 1960s, for example, that Jerusalem will be the capital of Palestine. After sometime, Israel changed. And they don’t want the UN-recognised borders.

Despite agreeing with Israel on restrictions of the movement of Palestinians, some areas are still confined by fences and a gate in the whole city. You need permission to go to school; and there are schools separated by the wall where students cannot access unless they climb the fence or ask for permission.
Israel cannot allow people to dig a well or build a factory or to expand. The majority of the Palestinian land in the West Bank has fallen into the hands of Israelites, and surrounded by soldiers -- you can’t walk freely.

Coming back to the Tanzania-Palestine relations, is there an initiative to convince your people to invest in this country? Or any plan to have Tanzanian investors in Palestine?
As you know, Israel has taken away land from Palestinians, such that our people can’t produce.
So, Palestinians are expanding by looking for areas where we can cooperate economically. Already, we have Palestinian investors in Tanzania. But we don’t have any investment agreement here yet.
Nevertheless, we have many investors on the ground in the areas of agribusiness, and we are looking to expanding to large scale.

What initiatives are in place for tourism, considering that both Tanzania and your country have a lot of tourist attractions?
Our Tourism minister visited Zanzibar and signed an agreement with the government to facilitate the flow of Palestinians to Tanzania. At the same time, we have agreements on how Tanzanians can visit Palestine. This agreement works for both sides.
We have been discussing and the agreement has been signed. In the near future we will start to see implementation.

That is Zanzibar, what about tourism in the Mainland?
I take this opportunity to welcome Tanzanians to visit Palestine, and especially the Holy Land and Jerusalem. I encourage Christians and non-Christians to come too. You can visit all historical sites from Palestine.
Palestinian envoy warns Tanzania on Israel
Palestine ndio kenge gani akapambane na myahudi huko asituletee upumbavu wake huyo balozi
 
Kumbe kama nchi tulitakiwa tufanyeje mkuu!?
Mambo yao hayatuhusu na sisi kama Taifa huru tuna uwezo wa kuchagua tushirikiane na nani kwa faida ya Taifa letu na sio kuangalia maslahi ya nchi nyingine.
Hizi siasa zikifuatiliwa sana huwa zinakwamisha nchi kuweza kupiga hatua.

Nico Njohole ilikuwa akachezee Arsenal miaka ile ya 1980 mwanzoni lakini FAT ikamkatalia kwa kigezo cha masuala ya kisiasa.

Leo hii Tanzania ingekuwa na wachezaji wengi tu waliowahi kucheza soka Uingereza kama Nico angepata kibali, hizo siasa za kijamaa zilitukwamisha.

Hivyo kuanza kuitazama Israel kwa kuwaangalia maadui zao ni kujinyima sisi wenyewe fursa za kiuchumi.
 
Acha unaa! Yaani Palestine ituonye sisi kuwa na diplomatic relations na nchi fulani?
Pia na somalia nao pamoja na Afghanistan watatuonya pia bila kusahau Yemen. Napenyewe utakuja na bandiko la kuwaunga mkono.PUMBAVU KABISA. IMANI NA UOGA WAKO USITUFANYE TUKASHINDWA KUFANYA MAMBO YETU KAMA TAIFA HURU.
Hawa waarabu wana uhusiano hadi wanaweza kuoana na wayahudi.
Misri,Lebanon, Sudan,Turkey,Bahrain na UAE wana hadi ubalozi na Israel.
Morocco na Saudia Arabia,japo hawana balozi Israel lakini wana uhusiano mkubwa wa kijeshi kijasusi,kilimo na kibiashara.
Arab spring ilitokana na undumila kuwili wa watawala wa nchi za kiarabu.Wananchi waliwachoka kwa kutumia kisingizio cha kuikomboa Palestina,ili kuficha mapungufu katika tawala zao.
Wapalestina hao hao tuliowaunga mkono tokea enzi za Baba wa taifa,walishangilia kwa ndelemo balozi za Marekani zilizo Dar-es-salaam na Nairobi zilivyoshambuliwa kwa mabomu na kuuwa mamia raia wa nchi hizi.
Palestine pambana na rushwa,mifarakano ndani ya taifa lenu na serikali yenu.
 
Mkuu toka enzi za mwalimu inafaamika kuwa,tanzania inafuata sera za kutofungamana na upande wowote.
Ifahamike kuwa pamoja na kwamba nchi yetu ilifuata mfumo wa ujamaa na kujitegemea ambao uliendana na mtizamo wa urusi
na uchina na Urusi ilikuwa na vita baridi na Marekani bado tulidumisha urafiki na mataifa haya hasimu na hatukuathirika.

Natamani sisi kama nchi ,tusichaguliwe na mtu yeyote rafiki au adui.
Kama kuna jambo baya Israel imeifanyia tanzania ndo tulijadili lakini si kwa kufuata sera za wapalestina.
 
20 Oct 2020

Saeb Erekat Israeli hospital controversy - Amb. Dr. Alon Liel​


Chief Palestinian Negotiator Saeb #Erekat hospitalized in Israel stirring controversy on all sides. Amb. Dr. Alon Liel | Int’l Diplomacy Expert, TAU
Source : ILTV Israel News
 
Dubai: Chief Palestinian negotiator Saeb Erekat is critically ill with coronavirus at Jerusalem’s Hadassah Ein Karem Medical Centre.
The 65-year-old top Palestinian leader was placed on a ventilator earlier today as he was in critical condition. He tested positive for the novel coronavirus earlier this month.
Erekat was rushed from West Bank home to hospital in Tel Aviv on Sunday, then transferred to Jerusalem’s Hadassah Ein Karem Medical Centre.
He had a history of respiratory illness and underwent a lung transplant in 2017. Erekat is also fighting a bacterial infection, according to officials at the hospital said.
His daughter tweeted late Sunday that her father was stable in a coronary care unit, where he was receiving heavy flows of oxygen. His condition then worsened overnight, the hospital said.
 

Sudan says it will discuss trade, migration with Israel​

By Samy Magdy | AP
October 25, 2020 at 1:30 PM EDT
CAIRO — Sudanese and Israeli officials will meet in the coming weeks to discuss a package of cooperation deals to “achieve the mutual interests of the two peoples,” Sudan’s Foreign Ministry said Sunday.

The ministry statement came three days after President Donald Trump announced that Sudan would start normalizing ties with Israel. The statement said the deals would cover agriculture, trade, aviation and migration, but did not provide details on the timing or location of the meetings.
Ofir Gendelman, a spokesman for Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, tweeted Sunday saying that Israel was “sending $5 million worth of wheat immediately to our new friends” in Sudan. READ MORE : https://www.washingtonpost.com/worl...scuss-trade-migration-with-israel/2020/10/25/
 
Hizi siasa zikifuatiliwa sana huwa zinakwamisha nchi kuweza kupiga hatua.

Nico Njohole ilikuwa akachezee Arsenal miaka ile ya 1980 mwanzoni lakini FAT ikamkatalia kwa kigezo cha masuala ya kisiasa.

Leo hii Tanzania ingekuwa na wachezaji wengi tu waliowahi kucheza soka Uingereza kama Nico angepata kibali, hizo siasa za kijamaa zilitukwamisha.

Hivyo kuanza kuitazama Israel kwa kuwaangalia maadui zao ni kujinyima sisi wenyewe fursa za kiuchumi.
Siasa ilimkwamisha vipi Nicodemus Njohole kucheza Arsenal??
 
Back
Top Bottom