ONYO: Ukiweka agano la damu hakikisha unalitimiza, or else...

ONYO: Ukiweka agano la damu hakikisha unalitimiza, or else...

Naunga mkono hoja
Yes ni agano. Ile damu iliyo mwagika baada ya tendo inatamka juu ya ardhi kwamba wewe ulie mbikiri mwanamke huyo ndio mume halali wa mwanamke huyo ambae unatambulika katika ulimwengu wa rohoni.

Ukioa mwanamke ambae sio bikra jua kwamba umeoa mwanamke ambae sio mke wako
 
Back
Top Bottom