mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 4,034
- 4,792
Naunga mkono hoja
Yes ni agano. Ile damu iliyo mwagika baada ya tendo inatamka juu ya ardhi kwamba wewe ulie mbikiri mwanamke huyo ndio mume halali wa mwanamke huyo ambae unatambulika katika ulimwengu wa rohoni.
Ukioa mwanamke ambae sio bikra jua kwamba umeoa mwanamke ambae sio mke wako