Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
TusilaumianeNb: ila kumsifia mama mashabiki wanaruhusiwa π
Naunga mkono hojaNatoa onyo kwa Mamlaka zitakazoruhusu kuingiza siasa kwenye mechi za Simba na Yanga dhidi ya Wapinzani wao kuacha kufikiria jambo hilo.
Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya Wanasiasa , hatutakubali picha ya Mbunge wa Temeke wala Diwani wa kata ya miburani.
Ukiwa na kiherehere cha kubeba bango basi ni vema uwe na picha za wachezaji wetu na makocha wao tu , atakayekaidi wito huu atabeba lawama, maana haraka sana tutageuka na kuwashangilia wageni
Tusilaumiane.
AaahaaaaIla mabango ya mbowe ruksa akiwa na makengeza yake?πππππ
Hii nchi ya ajabu sana na kuna vitu vinasikitisha sana.
Yako wapi ?Ila mabango ya mbowe ruksa akiwa na makengeza yake?πππππ
Hii nchi ya ajabu sana na kuna vitu vinasikitisha sana.
Ni koneksheniNajiulizaga wanapitaga nayo wapi yale mabango? Na kwanini camera za azam zinawatafuta na kuwaonesha?
Yaani hata timu zenyewe hazijui halafu kabeba na bango !nipo na luca mwasha... hapa anabango lake tayari analisafisha vizuri, halafu ananiuliza nani na nani wanachezaππ
kwa msisitizo zaidi hatutaki ujingaNatoa onyo kwa Mamlaka zitakazoruhusu kuingiza siasa kwenye mechi za Simba na Yanga dhidi ya Wapinzani wao kuacha kufikiria jambo hilo.
Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya Wanasiasa , hatutakubali picha ya Mbunge wa Temeke wala Diwani wa kata ya miburani.
Ukiwa na kiherehere cha kubeba bango basi ni vema uwe na picha za wachezaji wetu na makocha wao tu , atakayekaidi wito huu atabeba lawama, maana haraka sana tutageuka na kuwashangilia wageni
Tusilaumiane.
Khs Azam kwao ile n faida, ishu inabaki kwa hao mashabiki waliobeba mabangoNajiulizaga wanapitaga nayo wapi yale mabango? Na kwanini camera za azam zinawatafuta na kuwaonesha?
Msiseme hatukuwaambiasahahu hilo,mechi kubwa kama hizi na uchaguzi keshokutwa mabango yatakosaje?
ukitaka kusalimika na izo mambo achana kabisa na Simba na Yanga hizi timu zanatumika kisiasa kupromote chama tawala.Msiseme hatukuwaambia
Wale jamaa wa suti nyeusi wanakuwepo nyuma ya kamera na kuwaelekezaNajiulizaga wanapitaga nayo wapi yale mabango? Na kwanini camera za azam zinawatafuta na kuwaonesha?