Onyo: Yanga Mkithubutu kubeba mabango ya Mwenyekiti wa CCM kwa Mkapa, Msimlaumu mtu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Natoa angalizo hili mapema ili tusije kulaumiana, hayo mabango yenu yaishie kwenye hizo Jogging zenu za Mbagala, Mkileta ujinga huo uwanjani tunashangilia USM Alger. Potelea mbali.

Rais kutoa hela za kusaidia michezo, kununua magoli au tiketi haimaanishi kuwa hela zinazotumika ni zake binafsi, msijitoe ufahamu.

Chezeni game yenu kistaarabu mtaungwa mkono, kubeba mabango yasiyohusika na michezo hata FIFA ilishakataza. Kwanza mliona Nchi gani inafanya hayo madudu yenu?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Ni jambo zuri alilolifanya Rais, lakini hakuna haja ya kubeba mabango.
 
Hata mm naunga mkono hoja siasa maandazi na ushabiki wa kindezi waweke kando.
 
wasije kusema hakuambiwa naona wanajichanga rangi ya kijani na njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…