njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
kunywa chai wahi kazini acha umbea...Undercover wa kule Hai vipi?
OOH HAPPY DAY ..lalalalalalalalalalaaaa lalalalalaaaa Siku imeanza vizuri sana Thank you Jesus kwako kila goti litapigwa,nakula double kicks za kutosha huku nikiangalia movie ya UNDERCOVER BROTHER
OOOH HAPPY DAY..USHUKURIWE MUNGU
View attachment 1716084
Its a happy day broUmenikumbusha Sisters Act 2
hapana uhai ni zaidi ya mkeka boss na kugundua kwamba utukufu wa Mungu upo duniani ni feeling kubwa sanaMe nikajua umeshinda mkeka
π π π π β£οΈhapana uhai ni zaidi ya mkeka boss na kugundua kwamba utukufu wa Mungu upo duniani ni feeling kubwa sana