Oooh!! Sinta

La haula, mie sikujuwa kama huyu Sinta ni Mwaarabu, ana nywele na rangi nzuri.

Na wewe faizafoxy pia? nyie wanawake wa JF mbona mna wivu kwa mwenzenu namna hii? Msifieni bwanaa mwenzenu mzuri lol
 
Reactions: Sal
Nataka kujua wanaume wanapi wameomba namba zake niwapatie. Nakaribisha PM tu.
 
Mtoto si riziki huyu alipata bwana Uganda sasa yupo Dar anaendekeza umaarufu ..hajui una mwisho!
 
peleka hii post kwa wakubwa,sisi watoto hatutaki hivi vitu huku
 
duuhhh.. hawa ndo wadada wanaopenda fanya mapenzi gizani.. kwenye mwanga waweza kimbia... sasa kama paja liko hivyooo.. what about..!!!!!!!!!??????????
 
mitoto kama hii nikiipataga huwa nakuwa kama Lionel Messi...
 
apungue..... Mapaja hayana mvuto wakuvaa nguo fupi!
 
Asavali wewe kidogo umesifia ingawa kinafiki kama kawaida, umeponda minyama yake, hujui sie wanaume ndo tunapenda hayo manyama yake?
sina sababu za kumsifia kinafki...huyo demu hanifikii hata chembe...kama vipi ni pm tumeet uone level yangu...ni demu wako nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…