Oooh!! Sinta

Kwel nimeamn wanaume wa kbongo n wanafk na tunapenda mikorogo!mke wako akjbadl hv utafurah?
 
Mtoto si riziki huyu alipata bwana Uganda sasa yupo Dar anaendekeza umaarufu ..hajui una mwisho!
hilo neno 'mtoto sio riziki' nadhani hulifahamu vizuri na huwa halitumiwi kwa wasichana/wanawake.
 
sina sababu za kumsifia kinafki...huyo demu hanifikii hata chembe...kama vipi ni pm tumeet uone level yangu...ni demu wako nini?

He! wewe jaman..i sasa huoni kama ataona unajitafutia soko, mpotezee bwana...
 
Walimwengu walikwisha niambia kuwa demu wangu huyu hafai. Mimi nikawabishia nikawaona wao ndio hawafai. Hivi sasa ninajuta........staki demu.
 
Hili kwa show off basi nothing there!!amzidi mpenzi wangu and i approve this thread!!!
 
Hivi naye ni celeb?
Mi ndo maana mambo ya bongo yalinichoshaga kwa kweli
 
Hizo hips siyo 'Youtong' kweli maana hiyo minyama isiyo na mpangilio mara nyingi huwa ni full 'China!'
 
ni mzuri sana & SHE IS GOOD KITANDANI sitaki maswali zaidi LOL
 
Haha me nacheka tuuuu?si narusiwa?........haha nendeni mkafanye kazi zenu huyo ndio mtoto wa mzee mwarubadu.......acha nikadai urithi wangu kwa mzee simba nije ni inverst hapo.......still kufa kunoga haikosi ila maisha yenyewe yako wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…