ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

Hapa tusimjadili mhudumu wa bar kwani naye ni mwanamke anayo haiba na maumbile yote ya kike na hata mvuto ikiwezekana, ni bora tujadili kuacha mke ndani ukagombee mwanamke mwingine wa nje, inasikitisha hata hivyo Mungu amsamehe huyo marehemu RIP.

In fact bwana Kakuruvi ni kwamba wanaendeleza unyanyapaa wa wahudumu wa bar tu, kama shamba limemshinda kulima ndo ivo kawaachia wengine wamelima 'mazima'!

eti wajameni wahudumu wa bar sio wanawake kamili? kwa nini wananyanyapaliwa...hawana kidude kama wanawwake wengine, hawajui mapenzi? je hawajui usafi? hawajui kuongea? au kosa lao ni vile mfumo wetu wa maisha unawapendelea wachache wanaofaidi keki ya taifa huku wengi wakiishia kuwa wahudumu kwa vile hawana namna ya kufanya?
 


OOOH Mom imenibidi nicheke!inasikitisha lakini mmh..
Tuwafanyie nini mabinamu muachane na hao kina Eliza ???
 

AMEN:
asante sana my dear shostito, bestlady, wifi, n.k
kajisemea JS mtu unafikiria mara mbili mbili, inatisha
ila siku hizi samaki mmoja akioza, unachukua unamtupa nje ili asifanye waliobaki waoze pia.
I still believe there are good men to marry out there
@JS usiogope......
 
msiikirubie zinaa, hakika ya zinaa ni uchafu na njia mbaya kabisa.
unasemaje? uchafu? moyoni, rohoni? au kwenye mwili....................ngono ni uchafu if u come to think of it...especially kama ww ni mtaalamu!!!

samahanini kama nimewakwaza
 
hapa tunaongelea demu wa bar against mke au demu wa nje against mke????

wanawake wengi wanawanyanyapaa mademu wa bar.......I will be back
 

JS my dear, mtanisamehe mie leo acha tu niwe neutral.....

binadamu si wakamilifu my dear, kuna watu wanatoka nje ya ndoa zao kwa mapungufu ya wenzi wao (mke au mume),
kuna wanaume kwa karaha za wake zao hatamni hata kurudi hm mapema
kuna wanawake kw akutoridhishwa na waume zao wanatembea hata na vijana wadogo kulingana na watoto wao.
ni mapungufu ya pande mbili ambayo hupelekea ndoa kuyumba na kukosa maana kama hivi.

of coz wapo wengine wana hulka chafu tu ya kutaka kuonja onja nje....
 

Binamu ni kweli nao ni wanawake tena warembo wa hajan ,,na kazi ya bar ni ajira kama zingine

kuna mmoja ni mrembo sijawahi ona yule binti mtaratibu na anaongea kwa upole umbo lake murua ..Gosh alikuwa anapenda sana kutuhudumia na baba watoto na kila tukifika lazima apewe ka Tip
Nilikuwa namtathimi yule kila nikijicheki na yeye hahahahah habari ndo hiyo..ngoja nikomee hapa hapa
 
My poor darling sissie!

Subiri zamu yako ifike. Utajua tu. Naogopa kuku overload na material ya NDOA.

Hapo kwenye red: Unajua kitu kinaitwa MILA?
 
FL1 nimekugongea nini pale?

Hapo kwenye red unakamatia THANKS kwa hapa kwa heshima ya ELIZAZZZZ
 
hapa tunaongelea demu wa bar against mke au demu wa nje against mke????

wanawake wengi wanawanyanyapaa mademu wa bar.......I will be back
kweli komrade maana kuna visa vingi tu vya jamaa kudedishwa kwa ajili ya wake za watu lakini hii imepewa attention sana kisa ni Bar maid!!
 

JS mdogo wangu, unaongea kinadharia ama kivitendo zaidi?
 

I like this kamata redbull moja..najua therengeti therengeti haipandi
 
Ni jambo la kawaida sana walevi kuchukua ma bar maid.
Ukweli ni kwamba hakuna m2 asiyependa kitu kizuri. Kila bia unayoongeza bar. Barmaid anazidi kubadilika uzuri. Ukishapiga Tusker zako kumi unaanza kujiuliza kwanini yule mhudumu hakushiriki kwenye mashindano ya miss world.
Hapo unaanza kuchombeza man
Poleni kina mama ambao waume zenu wamegeuza ma bar ndo sehemu ya kupumzikia.
Sorry kama nimemkwaza yeyote
 


Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.
 
As a matter of fact - Bar Maids give it all and does it better!

Percentage kubwa ya wahudumu wa bar ni mahiri sana katika "tendo la ndoa". Either you agree or disagree that is the whole truth. Nadhani they simply do it for financial gain lakini in the process they are actually "sharpening the saw"
 
Msisahau,Mshahara wa Dhambi ni mauti,kile ambacho sio halali hakifanikiwa daima,huo utamu mnaojustify ni wa mda tu,niliangalia show moja wakasema,mara nyingi haya mapenzi ya kuiba kwanini hayadumu ,sio mapenzi ya kweli,baada ya mwaka ,MAPENZI YANAPUNGUA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…