Hommie kweli wewe ni Simba damu...umeweka blue ila unaongelea RED!!Hapo kwenye red unakamatia THANKS kwa hapa kwa heshima ya ELIZAZZZZ
My poor darling sissie!
Subiri zamu yako ifike. Utajua tu. Naogopa kuku overload na material ya NDOA.
Hapo kwenye red: Unajua kitu kinaitwa MILA?
Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.
Kivitendo zaidi sijui na kinadharia pia vyotevyote Binamu
OK.nimekusoma, kumbe WALEVINi jambo la kawaida sana walevi kuchukua ma bar maid.
Ukweli ni kwamba hakuna m2 asiyependa kitu kizuri. Kila bia unayoongeza bar. Barmaid anazidi kubadilika uzuri. Ukishapiga Tusker zako kumi unaanza kujiuliza kwanini yule mhudumu hakushiriki kwenye mashindano ya miss world.
Hapo unaanza kuchombeza man
Poleni kina mama ambao waume zenu wamegeuza ma bar ndo sehemu ya kupumzikia.
Sorry kama nimemkwaza yeyote
uuuh let me breath yeah!
nihesabu kwenye members wa jury yako mamaa...Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.
Ni jambo la kawaida sana walevi kuchukua ma bar maid.
Ukweli ni kwamba hakuna m2 asiyependa kitu kizuri. Kila bia unayoongeza bar. Barmaid anazidi kubadilika uzuri. Ukishapiga Tusker zako kumi unaanza kujiuliza kwanini yule mhudumu hakushiriki kwenye mashindano ya miss world.
Hapo unaanza kuchombeza man
Poleni kina mama ambao waume zenu wamegeuza ma bar ndo sehemu ya kupumzikia.
Sorry kama nimemkwaza yeyote
Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.
Mi nadhani kama kweli ulikua serious kumjua mtu kabla ya maamuzi hii haiwezi ikawa ishu....ila kuna kale kamsemo mnacho jifajiri kua ntambadilisha tu!! then inapukua ndivyo sivyo balaa linaanzia hapo!! mara nyingi hii hutokana na kuwa so deep in love!!hao ndo wabaya maana nahisi utajuta kuolewa, Mungu apishie mbali......
Nilitaka nimjibie lakini ngoja aje JS
Kivitendo zaidi sijui na kinadharia pia vyotevyote Binamu
Kumbe ume-note hiyoooeh!Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.
Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.
Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!
Hapo sasa tutaelewana.hebu nijuze kuhusu mila kwa undani zaidi Big Braza
Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.
Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.
Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!
Hahaha! Siyo ku-note tu. Na Senksi nimeiona.Kumbe ume-note hiyoooeh!
waache waendelee kutuhukumu tu.
AK-47
AK-47 has no status.
JF Premium Member
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 31
Thanks: 0
Thanked 4 Times in 1 Post
Rep Power: 0
HEEEE!!!!! Huyu kaibukia wapi tena!!