ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

ooooh my ni ngumu kuamini lakini.....

My poor darling sissie!

Subiri zamu yako ifike. Utajua tu. Naogopa kuku overload na material ya NDOA.

Hapo kwenye red: Unajua kitu kinaitwa MILA?


hebu nijuze kuhusu mila kwa undani zaidi Big Braza
 
Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.

hao ndo wabaya maana nahisi utajuta kuolewa, Mungu apishie mbali

Kivitendo zaidi sijui na kinadharia pia vyotevyote Binamu

hahaaaaa kweli umejichokea duh......
 
Ni jambo la kawaida sana walevi kuchukua ma bar maid.
Ukweli ni kwamba hakuna m2 asiyependa kitu kizuri. Kila bia unayoongeza bar. Barmaid anazidi kubadilika uzuri. Ukishapiga Tusker zako kumi unaanza kujiuliza kwanini yule mhudumu hakushiriki kwenye mashindano ya miss world.
Hapo unaanza kuchombeza man
Poleni kina mama ambao waume zenu wamegeuza ma bar ndo sehemu ya kupumzikia.
Sorry kama nimemkwaza yeyote
OK.nimekusoma, kumbe WALEVI
 
Ni jambo la kawaida sana walevi kuchukua ma bar maid.
Ukweli ni kwamba hakuna m2 asiyependa kitu kizuri. Kila bia unayoongeza bar. Barmaid anazidi kubadilika uzuri. Ukishapiga Tusker zako kumi unaanza kujiuliza kwanini yule mhudumu hakushiriki kwenye mashindano ya miss world.
Hapo unaanza kuchombeza man
Poleni kina mama ambao waume zenu wamegeuza ma bar ndo sehemu ya kupumzikia.
Sorry kama nimemkwaza yeyote

Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.

Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.

Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!
 
Bht hao wenye hulka chafu hao ya kuonja onja nje ndo nina kesi nao zaidi.

hao ndo wabaya maana nahisi utajuta kuolewa, Mungu apishie mbali......
Mi nadhani kama kweli ulikua serious kumjua mtu kabla ya maamuzi hii haiwezi ikawa ishu....ila kuna kale kamsemo mnacho jifajiri kua ntambadilisha tu!! then inapukua ndivyo sivyo balaa linaanzia hapo!! mara nyingi hii hutokana na kuwa so deep in love!!
 
Msisahau Baba mmoja pia analia kilio cha kusaga meno si mbaba hasa yuko kwenye 30 age baada ya kuondoka kwake na Barmaid na kwends nae sehemu fulani kutumbua maisha baada mwezi anarudi kumbe alikuwa anafanya ngono zembe ..amerudi kaendelea kufanya tendo la ndoa na wife
Sasa kamwambukiza wife HIV wife kila nikimwangalia wife na mmewe moyo unatumbukia nyongo
Mme analia na kujuta lakini jambo limetokea ....na jamaa ameomba msamaha kwa wife

Eeeh mungu naomba utunusuru na haya yote!
Ni mambo tu yaliyoko duniani mungu mwenye rehema atusaidie
 
Barmaid ni mwanamke kama wengine..kuwa kwake barmaid hakumuondolei hadhi ya umwanamke sasa yeye alitaka mumewe afe kwa kumgombea miss tz...ili iweje ? ufahari ama...yeye alie kwa kigezo cha kusalitiwa tu.
 
Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.

Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.

Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!
Kumbe ume-note hiyoooeh!
waache waendelee kutuhukumu tu.
 
hebu nijuze kuhusu mila kwa undani zaidi Big Braza
Hapo sasa tutaelewana.

Somo la kwanza:
UNAAMINI kuwa mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja? Unaruhusiwa kudesa kwa wanyama kama utalazimika kujifunza kupitia nature.
 
Ahsante Mungu kwa kuwa mimi si mlevi.

Sisi wanywaji huwa hatuna tabia hizo. Ukishakamata maji yako ya kutosha unaangalia direction ya kuelekea home. Jinsi ulivyofika nyumbani inakuwa homework ya asubuhi.

Ila wale ambao si wanywaji: My! My! My!
Wanawake nawaonyeni, msije sema sijawaambia hili:
Hakuna mwanaume hatari kwenye ngono kama mtu asiyetumia kileo.
Mnaruhusiwa kukataa, ila msiseme sijawahi kuwaonyeni!

Kiblurei hommie tungesemaje? "You have been warned" LOL
 
AK-47
user_online.gif

AK-47 has no status.
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 31
Thanks: 0
Thanked 4 Times in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif





HEEEE!!!!! Huyu kaibukia wapi tena!!
 
namtafuta cheusimangara mwenye habari zake tafadhari AniPM
 
AK-47
user_online.gif

AK-47 has no status.
JF Premium Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Thu Nov 2009
Posts: 31
Thanks: 0
Thanked 4 Times in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif





HEEEE!!!!! Huyu kaibukia wapi tena!!

aaaaaah bwana weeeeeeee!!!!!!!!!!
hili ni jina was supposed to be AKA ya shemeji yetu, namshanga!!!
 
Back
Top Bottom