Mimi leo binamu sina hangover. Kazi yangu leo ni kuwamwagia maukweli tu.Binamu mbona unaharibu unamsema fulani hivi hivi....
Mungu amlaze mahali pema marehemu AMINA
Mungu amlaze mahali pema marehemu AMINA
Natamani wawe wamekuelewa kiongozi:Kwa wale wasiojua tunamaanisha nini tukisema tunadumisha mila: HII HAPA
No matter were we get our appetites, we always eat at home.
ndo maana kwa eliza tutaendelea kwenda...........na home tunarudi tukiwa tumechangamka watoto wa mbuzi. THEN TUNAKULA HOME.
teh teh! Shemeji bana.LOL shemeji...umeongea point sana hapo ila ungesema 'wanaume ambao sio wanywaji' wa pombe eeh shemeji!
Mimi leo binamu sina hangover. Kazi yangu leo ni kuwamwagia maukweli tu.
Narudia tena: Hawa wanaume wanaojifanya BWANA ASIFIWE kwa sana waogope kama ukoma! Wanapenda ngono kuliko jogoo.
FL1 nimesemaje? au nirudie tena?
Nathani excuse zilikuwa nyingi kijana akakosa kitu alichokifuata ili akipate. Make kuna jamani kuna semina ya mwakasege, wiki ijayo kuna semina kanisani, mara kuna nyingine AGAPE Mission, mara nyingine iko kwa Gamanywa, labda kijana amejikuta mpweke. Hili pia lipo nami linakaribia kunimaliza.
Thats it!Ni ukweli usiopingika na mie nakazia hapo Binamu ubishi hakuna mifano hai ipo ila si wote binamu
teh teh! Shemeji bana.
kwani neno 'walevi' ni tusi? mbona ni kiswahili sanifu.
Inawezekana ni kweli kwa sababu sio wote wasemao bwana bwana wataurithi ufalme wa Mungu.Na hata hivyo kriso mwenyewe alisema mtawatambua kwa matunda yao.Mimi leo binamu sina hangover. Kazi yangu leo ni kuwamwagia maukweli tu.
Narudia tena: Hawa wanaume wanaojifanya BWANA ASIFIWE kwa sana waogope kama ukoma! Wanapenda ngono kuliko jogoo.
FL1 nimesemaje? au nirudie tena?
Ogopa sana mwanaume anayekaa baa mwenyewe.
Au nimekosea wazee wa zero pub?
Thats it!
Kwahiyo si wanywaji wote wanamegana na wahudumu, si ndio?
Siyo wanywaji wote wanauana kwa ajili ya penzi la baamedi, sawa?
Siyo wote, siyo wote, siyo wote............ Then ngoma droo!
Wote watoto wa baba mmoja, ufalme wa mbingu nafasi sawa kwa wote. Watu wote na waseme: AMINA!
Ogopa sana mwanaume anayekaa baa mwenyewe.
Au nimekosea wazee wa zero pub?
Hahahaha! Kiongozi nimecheka sana hapo!
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
shem bana,unauliza makofi polisi?Mlevi ni mtu anaye/aliye kunywa pombe akalewa shemeji....sasa ulishamwona mpwa/binamu aliyelewa? ndo tumwite mlevi?
Oyaaaa! mbona mm nakuwa counta alone??? wala simchoti mtuHahahaha! Kiongozi nimecheka sana hapo!
Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria.
Thats it!
Kwahiyo si wanywaji wote wanamegana na wahudumu, si ndio?
Siyo wanywaji wote wanauana kwa ajili ya penzi la baamedi, sawa?
Siyo wote, siyo wote, siyo wote............ Then ngoma droo!
Wote watoto wa baba mmoja, ufalme wa mbingu nafasi sawa kwa wote. Watu wote na waseme: AMINA!
Pearl mbona upo lakini umekuwa mpole yep yamekusibu pacha wa BHT