Wakulu! Heshima kwenu
Kyela tetesi nilizo nazo Ni barua rasmi kutangaza oparation mpunguti. Barua itakayomfikia mkurugenzi huyo inataka halmashauri kugaramia Askari kwa chakula na malazi mpaka mwisho wa oparation.
Jana oparation hiyo ilitanua mipaka yake ambapo wakazi wa Kijiji Cha ipinda nusu maili kutoka mpunguti walilazimika kufunga nyumba zao baada ya ya Askari kuvamia mitaa yao.
Nimepenyezewa hapa mpaka busokelo amani hakuna kutokana na doria ya Jana mitaa ya huko.
Nilifika Kijiji cha mpunguti huko watoto wanalia wazazi wao hawaonekani Hali Ni tete kyela.
Naripoti kutoka makambako Niko na ma weos Hawa wanaenda ikulu.......
View attachment 1194817View attachment 1194817