Tetesi: : Oparasheni Mpunguti yatangazwa Kyela ,sasa ni kichapo kisicho na kikomo

Tetesi: : Oparasheni Mpunguti yatangazwa Kyela ,sasa ni kichapo kisicho na kikomo

Walitaka kuua wananchi wote?
Wangetaka kuua angepona mtu?
Na ambao hawakuwepo?
Tusiandike andike tu,tutafakari kabla ya kuandika,kinachopandikizwa hakitoisha kwa mfano,
kuna wahudumu wa hospitali
kuna waalimu na watumishi wengineo ambao hawakuhusika,
hivi kwa mfano mimi ni mwalimu au tabibu niko sehemu yangu ya kazi na jana umenipiga bila ya kosa na nakujua wewe ffu,leo umemleta mkeo aje kujifungua au mwanao ana tatizo hapa shuleni nami ni bosi,unadhani sitolipiza kisasi?
 
Chalamila hategemei huduma yoyote toka kwa watumishi wa umma ndo maana anafanya hivyo,anawasababishia majanga chama chake na wananchi wengine wadogo wadogo wakiwemo hao ffu.
 
Kijiji kizima kilihusika kwenye hilo tukio au ni baadhi ya wahuni tu?
 
Operations zisizo na hekima,unaanzisha operations kijijini kizima kwani wote wanaweza kuwa wahalifu?,wanazuia shughuli za watu za kimaendeleo bure kabisa,ingefaa watumie silence investigation kwanza / kubaini wahalifu.
#AKILI BONFU BONFU.
UKOSEFU WA BUSARA, WANGEPELEKA INTELEJENSIA IWAKAMATE WAHALIFU TU...SIO KIJJI KIZIMA.
 
Halafu Mbeya hakuna mkuu wa mkoa. Wakuu wa wilaya wanajiamulia tu.
Angekua huko ni yule mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mbeya ingeipiku Arusha.
 
Hamuwezi kumvunjia Heshima DC, M/ Kiti wa committee ya Ulinzi na usalama, Mteule wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Af Mkabaki salama

Kwani Ni laza wawe wenyeji wa eneo Hilo ndo walilofanya tukio Hilo?

Je Kama Kuna watu walitoka eneo jingine na kuja GHAFLA kwenye Kijiji hicho na kufanya UHALIFU huo Kisha kukimbia?

Angewasaka waliohusika na kuwapeleka MAHAKAMANI.

Polis mjihadhari utampiga mtu Ila MAHAKAMANI utakuwa peke yako hautakuwa na mkuu wa MKOA Wala Bosi wako. REJEA KESI YA MAUAJI ALIYOFANYA CHRISTOPHER BAGENI KAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA PEKE YAKE
 
Utawala wa wanyonge.

Ama kweli mnyonge mnyongeni, haki yake atapata kuzimu.

Awamu ya kunyonga hii.
 
wapigeni mpaka muwavunje viuno ikiwezekana wafe.
Alafu 2020 mabosi zenu warudi kuomba kura.watapewa Tu
 
wacha we.
Siku hizi Sheria mkononi Tu.
wao wamefanya kosa la kwanza lakini kosa la pili watalifanya hao polisi
Mpigwe tu
Msafara wa JK mliwahi kuupiga mawe, leo mnampiga DC.
Serikali ikiendelea kuwalea mtaota mapembe
 
Kwa hiyo tukiiondoa CCM itakuwa ruhusa kuponda musafara ya Marais Kama JK au kuponda magari ya ma DC?
Hawezi kuponda msafara wa rais hii ni kuonyesha raia wamechoshwa na serikali dhalimu ya mauaji chini ya JPMna CCM
 
Kwani Ni laza wawe wenyeji wa eneo Hilo ndo walilofanya tukio Hilo?

Je Kama Kuna watu walitoka eneo jingine na kuja GHAFLA kwenye Kijiji hicho na kufanya UHALIFU huo Kisha kukimbia?

Angewasaka waliohusika na kuwapeleka MAHAKAMANI.

Polis mjihadhari utampiga mtu Ila MAHAKAMANI utakuwa peke yako hautakuwa na mkuu wa MKOA Wala Bosi wako. REJEA KESI YA MAUAJI ALIYOFANYA CHRISTOPHER BAGENI KAHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA PEKE YAKE
Mwizi haendi kuiba mtaa ambao hana mwenyeji. Hao wachezee kichapo tu wote ili siku nyingine wakitaka kufanya ujinga mwengine wakumbuke kilichowatokea last summer
 
Back
Top Bottom