Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
- Thread starter
-
- #21
Oparation MPUNGUTI haifanywi barabaraniMh mna exagerate Mambo.
Jana nimepita vijiji hvyo mbona tuliona kimya? Tulikua tunaelekea matema tukatishiwa kuwa wanajeshi wamemwagika lkni sikuona hata mgambo
Ni kipigo tuu hakuna ripoti ya kifoDuh lazima waf watu huko!
Ova
Kwa hiyo tukiiondoa CCM itakuwa ruhusa kuponda musafara ya Marais Kama JK au kuponda magari ya ma DC?Hakikisheni 2020 na uchaguzi wa mitaa ccm haipati kura hata moja.Hiyo ndiyi dawa ya watawala wa ccm
Inaripotiwa kuwa Ni kipigo mpaka pale atakapokamatwa mpopoa maweOperations zisizo na hekima,unaanzisha operations kijijini kizima kwani wote wanaweza kuwa wahalifu?,wanazuia shughuli za watu za kimaendeleo bure kabisa,ingefaa watumie silence investigation kwanza / kubaini wahalifu.
#AKILI BONFU BONFU.
Tumewaona kadhaa wakipanda magari kina mama na watoto ila wanaume wanajua wenyeweWanaenda Zambia...
Labda kyela FMHakuna kituo chochote kile ambacho kinarusha live tukio hilo Kabinti ka ludilo
Labda Malawi hapo ndio jirani na Kyela.Wanaenda Zambia...
Bongo kuna muvi nying sana. Kifupi huwa nawashangaa wanaoangalia muvi za nje ya nchi.Wakulu! Heshima kwenu
Kyela tetesi nilizo nazo Ni barua rasmi kutangaza oparation mpunguti. Barua itakayomfikia mkurugenzi huyo inataka halmashauri kugaramia Askari kwa chakula na malazi mpaka mwisho wa oparation.
Jana oparation hiyo ilitanua mipaka yake ambapo wakazi wa Kijiji Cha ipinda nusu maili kutoka mpunguti walilazimika kufunga nyumba zao baada ya ya Askari kuvamia mitaa yao.
Nimepenyezewa hapa mpaka busokelo amani hakuna kutokana na doria ya Jana mitaa ya huko.
Nilifika Kijiji cha mpunguti huko watoto wanalia wazazi wao hawaonekani Hali Ni tete kyela.
Naripoti kutoka makambako Niko na ma weos Hawa wanaenda ikulu.......View attachment 1194817View attachment 1194817
Amani haipatikani ila kwa ncha ya .........Hakikisheni 2020 na uchaguzi wa mitaa ccm haipati kura hata moja.Hiyo ndiyi dawa ya watawala wa ccm
Zambia mbali mkuuWanaenda Zambia...