Oparesheni 255 yatikisa Nchi, Magazeti yaanza kuishambulia CHADEMA ili kuokoa CCM

Oparesheni 255 yatikisa Nchi, Magazeti yaanza kuishambulia CHADEMA ili kuokoa CCM

ikiwa vyama upinzani vitaunganisha nguvu kwa dhati CCM yaweza kua nyepesi, vinginevyo eti haka kachama kamoja tu ndio kaisumbue CCM hiyo ni kama porojo na majigambo kwenye mchezo bao na draft

..chama kinachofanya siasa sasa hivi ni CHADEMA peke yao.

..wao ndio wako huko chini wakizungumza na wananchi.

..CCM ni kama imejikatia tamaa, na kubakia kupiga propaganda dhidi ya harakati wanazofanya Chadema.
 
Unayafahamu majukwaa waliyokuwa wanayatumia Mitume waliokuwa wanaeneza neno la Mungu ?

Kukomboa nchi si kazi ya lelemama inahitaji Uzalendo haswa , halafu kingine ni hiki , ni kweli kwamba Mguu wa Lissu ni Mbovu na tunatambua kuwa mnamuita CHIBA , bali mlichosahau ni kwamba LISSU HAKUTIBIWA MUHIMBILI

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Usiache kutuchangisha Tajiri Erythrocyte pindi mnapokwama, hata Nyerere alisaidiwa na watu Baki wasio Wana CCM.
 

Tulionya Mapema sana kwamba tukipewa nafasi ya kupanda kwenye majukwaa kwenye mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi , tuna uwezo wa kuteketeza ccm kwa muda wa siku 7 tu , na sasa imedhihirika rasmi kwamba Bila Polisi na Tume ya Uchaguzi CCM ni wepesi kuliko Pamba .

Kuna Taarifa zimevuja kwamba baada ya hoja nzito na za Ukweli zinazotolewa na CHADEMA kwenye oparesheni hiyo kuibabua ccm na serikali yake kumewekwa mkakati wa kuyatumia baadhi ya Magazeti kwa lengo la kuandika uongo kuhusu Chadema ili kupotosha wananchi (Orodha ya Magazeti hayo na majina yake tunayo ) , lakini kwa sababu za kimaadili tunayahifadhi kwa sasa .

Tunatambua baadhi ya Wahariri wanashinda kwenye korido za viongozi kwa lengo la kuomba msaada wa kuendeshea magazeti yao , hasa baada ya kupuuzwa na wananchi kutokana na kuandika habari za upande mmoja tu , na hivyo kudoda sokoni na kusababisha ugumu wa maisha kwao , Ushahidi wa kufirisika kwa Magazeti hayo ni kuundwa kwa Tume na Waziri wa Habari , Nape Nnauye iliyoelekezwa kuchunguza dhiki inavyovikabili vyombo vya Habari vya Tanzania na hasa Magazeti .

Hata hivyo ni vema Magazeti hayo yakazingatia mwongozo na sheria za kusajiliwa kwake , ambavyo vinakataza kuandika habari za uongo kwa nia ovu , tena hasa baada ya kulipwa kwa Mkakati Maalum , Magazeti yanayo nafasi ya kujisahihisha kabla hatujaamua kuyashambulia hadharani na kuyamaliza kabisa wakakosa na hicho kidogo wanachopata .

Tunarudia tena kwa mara nyingine kuonya kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Mungu ibariki CHADEMA[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tulionya Mapema sana kwamba tukipewa nafasi ya kupanda kwenye majukwaa kwenye mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi , tuna uwezo wa kuteketeza ccm kwa muda wa siku 7 tu , na sasa imedhihirika rasmi kwamba Bila Polisi na Tume ya Uchaguzi CCM ni wepesi kuliko Pamba .

Kuna Taarifa zimevuja kwamba baada ya hoja nzito na za Ukweli zinazotolewa na CHADEMA kwenye oparesheni hiyo kuibabua ccm na serikali yake kumewekwa mkakati wa kuyatumia baadhi ya Magazeti kwa lengo la kuandika uongo kuhusu Chadema ili kupotosha wananchi (Orodha ya Magazeti hayo na majina yake tunayo ) , lakini kwa sababu za kimaadili tunayahifadhi kwa sasa .

Tunatambua baadhi ya Wahariri wanashinda kwenye korido za viongozi kwa lengo la kuomba msaada wa kuendeshea magazeti yao , hasa baada ya kupuuzwa na wananchi kutokana na kuandika habari za upande mmoja tu , na hivyo kudoda sokoni na kusababisha ugumu wa maisha kwao , Ushahidi wa kufirisika kwa Magazeti hayo ni kuundwa kwa Tume na Waziri wa Habari , Nape Nnauye iliyoelekezwa kuchunguza dhiki inavyovikabili vyombo vya Habari vya Tanzania na hasa Magazeti .

Hata hivyo ni vema Magazeti hayo yakazingatia mwongozo na sheria za kusajiliwa kwake , ambavyo vinakataza kuandika habari za uongo kwa nia ovu , tena hasa baada ya kulipwa kwa Mkakati Maalum , Magazeti yanayo nafasi ya kujisahihisha kabla hatujaamua kuyashambulia hadharani na kuyamaliza kabisa wakakosa na hicho kidogo wanachopata .

Tunarudia tena kwa mara nyingine kuonya kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Hali ya jana huko mpanda inatis
sha sana
 

Tulionya Mapema sana kwamba tukipewa nafasi ya kupanda kwenye majukwaa kwenye mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi , tuna uwezo wa kuteketeza ccm kwa muda wa siku 7 tu , na sasa imedhihirika rasmi kwamba Bila Polisi na Tume ya Uchaguzi CCM ni wepesi kuliko Pamba .

Kuna Taarifa zimevuja kwamba baada ya hoja nzito na za Ukweli zinazotolewa na CHADEMA kwenye oparesheni hiyo kuibabua ccm na serikali yake kumewekwa mkakati wa kuyatumia baadhi ya Magazeti kwa lengo la kuandika uongo kuhusu Chadema ili kupotosha wananchi (Orodha ya Magazeti hayo na majina yake tunayo ) , lakini kwa sababu za kimaadili tunayahifadhi kwa sasa .

Tunatambua baadhi ya Wahariri wanashinda kwenye korido za viongozi kwa lengo la kuomba msaada wa kuendeshea magazeti yao , hasa baada ya kupuuzwa na wananchi kutokana na kuandika habari za upande mmoja tu , na hivyo kudoda sokoni na kusababisha ugumu wa maisha kwao , Ushahidi wa kufirisika kwa Magazeti hayo ni kuundwa kwa Tume na Waziri wa Habari , Nape Nnauye iliyoelekezwa kuchunguza dhiki inavyovikabili vyombo vya Habari vya Tanzania na hasa Magazeti .

Hata hivyo ni vema Magazeti hayo yakazingatia mwongozo na sheria za kusajiliwa kwake , ambavyo vinakataza kuandika habari za uongo kwa nia ovu , tena hasa baada ya kulipwa kwa Mkakati Maalum , Magazeti yanayo nafasi ya kujisahihisha kabla hatujaamua kuyashambulia hadharani na kuyamaliza kabisa wakakosa na hicho kidogo wanachopata .

Tunarudia tena kwa mara nyingine kuonya kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU
Tunarudia tena kwa mara nyingine kuonya kwamba , HAKUNA MAHALI POPOTE KWENYE DUNIA HII AMBAKO SHETANI ALIWAHI KUMSHINDA MUNGU[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiache kutuchangisha Tajiri Erythrocyte pindi mnapokwama, hata Nyerere alisaidiwa na watu Baki wasio Wana CCM.
Majukwaa yote yanayotumika hujengwa na wenyeji wetu kila tunapopita , Chopa au V8 haina uwezo wa kubeba Jukwaa lolote , tutaendelea kutumia majukwaa yanajengwa na wadau hadi utakapopatikana Ukombozi Kamili , kwanza ni heshima kwao pia kwa sisi kutumia vya kwao

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mwenzenu analamba asali nyie mmekua kama misukule, Mbowe akiwaambia fungeni bila kula mwaka lazima mtatekeleza na tutawafukua.
Wakichumia nchi hawa wataongoza kihuni, humo wamejaa wahuni, wabugia unga na watukanaji. Wao hoja inajibiwa kwa matusi bila kujali mama zao nao wapo jamii forums
 
Back
Top Bottom