Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Nimezipata ndugu yangu wa ukweli. Nilikuwa namuambia Bold muda sio mrefu uliopita baada ya kunipa hizi salamu zako "Mgibeon ni rafiki yangu wa ukweli since 2014.
Hatujawahi kupishana wala kufanyiana unafiki"
Mungu akubariki sana mkuu.
Ubarikiwe zaidi Nifah wa KICHWA
 
Aisee we jamaa hatari sana...hii kitu ni inasisimua sana aisee.. Naomba usiache kuni tag kaka. Udumu..
 
Hahaha!! Nakuongeza kwa taglist mkuu..
Aksante mkuu, lugha yangu ya masihara wkt wewe umecheka, nimetukanwa ile mbaya. Yaani eti nimewakera. Kukatisha maneno nimewakalia kimya tu.

By the way, lini mkuu? Maana wapenzi wa simulizi ratiba zote zinagoma, kila saa tunachungulia tu. Tusaidie iishe ili tuendelee na mengine.

Umetutega pabaya mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji113]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122][emoji122] hongera[emoji122] [emoji122] [emoji122][emoji122] imara[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] waaaaaa
 
mkuu upo vizuri sana...unaendelea lini tena!?uwe unanitag mkuu
 
[emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…