Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Shemeji The bold ukiweka part three naomba unitag please[emoji4][emoji4]
 
The bold , Mkuu natakiwa niwe na Sifa gani ili uwe una nitag? Maana nimeomba sana uwe una nitag wapiiiiii, ninakosa nn Mkuu ktk vigezo vyako?
 
Hongera sana Mkuu kwa Madini adhimu kama haya. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] keep it up [emoji106][emoji106]
 
Mkuu The Bold, asante sana kwa madini haya. Uliniambia umeshaniweka kwenye taglist yako lakini sioni kitu, au tatizo ni kuwa pande hizi za dunia?!
Mkuu, MUNGU akubariki sana and keep it up.
 
Nimezipata ndugu yangu wa ukweli. Nilikuwa namuambia Bold muda sio mrefu uliopita baada ya kunipa hizi salamu zako "Mgibeon ni rafiki yangu wa ukweli since 2014.
Hatujawahi kupishana wala kufanyiana unafiki"
Mungu akubariki sana mkuu.
Ha ha ha ha haaaaaaa... Very True, kipindi hicho mtu flani hivi alikua Kolomije huko.
 
Back
Top Bottom