Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Hahaha haki hii vita ya kuwahi siti ya mbele haijawahi kunishinda...here I am [emoji4].

Shusha nondoz kichwa,ni wewe tu ktk ulimwengu huu wa kijasusi.
{Kuna watu watanuna na kusonya huko hihihii}
Shemela,mbona unawarusha roho tena.wezee wa kuchaboo.kama nawaona vileee macho yalivyo watoka kutafu namna ya ku edit haka ka story the great the bold[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sasa wewe ng'ombe una nakiri ujumbe wote kwa kusema asante !!! Kuna watu tunatumia simu mnatupa sana shida sijui ni lini mtaweza kutumia mitandao ya kijamii au semina elekezi zinatakiwa ??

Kero sana hii.

Kurupuka tena
Mkuu usinitafutie ban nikikujibu ovyo tumia lugha ya kistarabu tu

Kama nimekukwaza na wengine naomba samahan nimetambua kosa langu .
 
Ninaomba wanaintelijensia muwe smart upstairs, yaani mtu anaquote uzi mzima kwa maneno matatu tu inakera. Pia ninaomba wakuu mujaribu kuwa wastaarabu kidogo kwa kuwaelewesha bila matusi kwani watu wanaofanya ujinga huo wengi ni new member ingawa inaudhi pia kuwarekebisha mara kwa mara


by the way natumaini mkuu the bold atatoa daku hivi karibuni.
 
Jaman naomba hapa tupeane pasi ..tuachane na mawazo ya harmorapa..
 
Back
Top Bottom