Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Yaani nimeisoma yote!!

Nlisoma mahali kwamba netanyahu pia alikua kwenye hiki kikosi!! Anyways nangoja mawazo yako!!

Mwendelezo ukija nitag mkuu!
 
Nafikiri hii habari ndiyo imeelezewa kwenye kitabu cha 90 Minutes at Entebe..
Wakati nakua kua mzee wangu alikuwa nacho ila nilishindwa kukisoma kutokana na lugha!
 
acha tujidanai nayo kwa sasa...wakiamka wataikuta ishafika page ya nane.

halafu "mnakasha" ukishafika page ya nane na kuendelea ni ngumu sana kupata "laiki" za kutosha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Yani umenichekesha leo mpaka basi.
Mimi huwa namuambia Bold anijulishe kabisa akiweka thread,akisahau nikija kukuta pages zimeshavuta nanunaje?
Hahaha
 
Nafikiri hii habari ndiyo imeelezewa kwenye kitabu cha 90 Minutes at Entebe..
Wakati nakua kua mzee wangu alikuwa nacho ila nilishindwa kukisoma kutokana na lugha!
Sio vibaya na wengine wakasoma na kujua pia mkuu.
Binafsi nilikuwa sijui lolote kuhusiana na hili.

Na hii thread ni kuhusiana na operations za kijasusi zilizofanikiwa zaidi,na sio operation Entebe pekee.
 
Shukran sana mkuu The Bold
Hakika wewe ni miongoni mwa tunu chache zilizotukuka ndani ya JF na Tz kwa ujumla.
Mungu akuongeze miaka na afya tele uzidi kutupa maharifa zaidi wadogo zako, Salaam kwa mama klareee (unapenda kumuita cheupe wangu)
Nifah
 
Yaani nimeisoma yote!!

Nlisoma mahali kwamba netanyahu pia alikua kwenye hiki kikosi!! Anyways nangoja mawazo yako!!

Mwendelezo ukija nitag mkuu!
Yeah Netanyahu alikuwepo ila ni mkubwa (kaka yake huyu Netanyahu Waziri Mkuu wa Sasa)

Jina lake alikuwa aitwa Yonatan Netanyahu... Yeye ndiye aliongoza 'assault team' ya makomando wa Sayeret Matkal walioingia Entebbe.

Nitaongelea kwa undani sehemh inayofuata..
 
Hahaha haki hii vita ya kuwahi siti ya mbele haijawahi kunishinda...here I am [emoji4].

Shusha nondoz kichwa,ni wewe tu ktk ulimwengu huu wa kijasusi.
{Kuna watu watanuna na kusonya huko hihihii}
Msonyo na kukodoa macho kodoooooo... [emoji23] [emoji23]
 
Shukran sana mkuu The Bold
Hakika wewe ni miongoni mwa tunu chache zilizotukuka ndani ya JF na Tz kwa ujumla.
Mungu akuongeze miaka na afya tele uzidi kutupa maharifa zaidi wadogo zako, Salaam kwa mama klareee (unapenda kumuita cheupe wangu)
Nifah
Asante sana mkuu kwa maneno yako ya kutia moyo...

Moyo wangu unafarijika kwa pongezi kama hizi!

Salamu zimefika kwa Cheupe...
 
Yani umenichekesha leo mpaka basi.
Mimi huwa namuambia Bold anijulishe kabisa akiweka thread,akisahau nikija kukuta pages zimeshavuta nanuje?
Hahaha
Akikujulisha wewe, unijulishe na mimi. Ni mwendo wa kupasiana mpira hapa
 
Back
Top Bottom