Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah nimecheka sana,sawa mkuu.

[emoji3][emoji3][emoji3] we bibie nikajua umelala bae umemwacha alone anapost uzi Huu peke ake,khaa unakaba haswa au ulijua bae kaamka anaingi one time Jukwaa la Mahusiano na .......... [emoji3][emoji3]
 
Daaaaah Ndio maana ehud Barak kua waziri mkuu wa israel sishangai hawa israel n nyoko wana uzalendo haswa ndo mana ni jitu lina mahaba na nchi ake kumbe lilianzia huku..
Kabisa... Wenzetu wanakuwa na rekodi ya uzalendo haswa kwa vitendo sio blah blah tu..
 
Kabisa... Wenzetu wanakuwa na rekodi ya uzalendo haswa kwa vitendo sio blah blah tu..

Thats all,Na Kua prime minister wa israel ni kua Elite na mzalendo ulieiva haswa yan kwa mf. tz kontena 200 za makinikia unaweza hesabu punje za mchanga wote na ukaandika idad kwa kirumi au kwa tarakimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3][emoji3][emoji3] we bibie nikajua umelala bae umemwacha alone anapost uzi Huu peke ake,khaa unakaba haswa au ulijua bae kaamka anaingi one time Jukwaa la Mahusiano na .......... [emoji3][emoji3]
Hahaha huyu simuachi alone hata kwa sekunde...ni mimi na yeye,yeye na mimi. [emoji4]
 
Thats all,Na Kua prime minister wa israel ni kua Elite na mzalendo ulieiva haswa yan kwa mf. tz kontena 200 za makinikia unaweza hesabu punje za mchanga wote na ukaandika idad kwa kirumi au kwa tarakimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha MSAGA SUMU aliposema "Le Mutuz a.k.a makinikia...."
 
Thats all,Na Kua prime minister wa israel ni kua Elite na mzalendo ulieiva haswa yan kwa mf. tz kontena 200 za makinikia unaweza hesabu punje za mchanga wote na ukaandika idad kwa kirumi au kwa tarakimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzetu wako vizuri aisee si mchezo mchezo...

Hata huyu wa sasa (Benjamin Netanyahu) si kaka yake tu kwamba ndiye alikuwa komando, hata yeye pia aliwahi kutumikia Unit ya weledi ya Sayeret Matkal..

827b3918428aab28f3ed71fb442dec32.jpg


Hii mwaka 1973 katika Middle East War
 
Asante sana the bold huu mkasa nilikuwa ninautafuta kwa udi na uvumba nilitaka kujua nia ya watekaji ilikuwa ni ipi.Pamoja na kusoma kitabu bado kuna maswali nilikuwa ninajiuliza kichwani.Leo umenisaidia kuyajibu.Tunasubiri part three kwa hamu kaka.
 
Back
Top Bottom