Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,139
Thanks in advance bro.. God BlessBila shaka mkuu... Nakuwekea siti kabisa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks in advance bro.. God BlessBila shaka mkuu... Nakuwekea siti kabisa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah nimecheka sana,sawa mkuu.Akikujulisha wewe, unijulishe na mimi. Ni mwendo wa kupasiana mpira hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah nimecheka sana,sawa mkuu.
Kabisa... Wenzetu wanakuwa na rekodi ya uzalendo haswa kwa vitendo sio blah blah tu..Daaaaah Ndio maana ehud Barak kua waziri mkuu wa israel sishangai hawa israel n nyoko wana uzalendo haswa ndo mana ni jitu lina mahaba na nchi ake kumbe lilianzia huku..
Kabisa... Wenzetu wanakuwa na rekodi ya uzalendo haswa kwa vitendo sio blah blah tu..
Hahaha huyu simuachi alone hata kwa sekunde...ni mimi na yeye,yeye na mimi. [emoji4][emoji3][emoji3][emoji3] we bibie nikajua umelala bae umemwacha alone anapost uzi Huu peke ake,khaa unakaba haswa au ulijua bae kaamka anaingi one time Jukwaa la Mahusiano na .......... [emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha MSAGA SUMU aliposema "Le Mutuz a.k.a makinikia...."Thats all,Na Kua prime minister wa israel ni kua Elite na mzalendo ulieiva haswa yan kwa mf. tz kontena 200 za makinikia unaweza hesabu punje za mchanga wote na ukaandika idad kwa kirumi au kwa tarakimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha MSAGA SUMU aliposema "Le Mutuz au makinikia...."
[emoji106][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah nimecheka sana,sawa mkuu.
Wenzetu wako vizuri aisee si mchezo mchezo...Thats all,Na Kua prime minister wa israel ni kua Elite na mzalendo ulieiva haswa yan kwa mf. tz kontena 200 za makinikia unaweza hesabu punje za mchanga wote na ukaandika idad kwa kirumi au kwa tarakimu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe na wewe uliiona eee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umenikumbusha MSAGA SUMU aliposema "Le Mutuz a.k.a makinikia...."
Wenzetu wako vizuri aisee si mchezo mchezo...
Hata huyu wa sasa (Benjamin Netanyahu) si kaka yake tu kwamba ndiye alikuwa komando, hata yeye pia aliwahi kutumikia Unit ya weledi ya Sayeret Matkal..
![]()
Hii mwaka 1973 katika West Arab War
Asante sana mkuu!! Shukrani..we jamaa noma sana kila ninapo ona THE BOLD najua tu hii ni zaidi ya uhondo safi sana mkuu MUNGU akubariki kaka
Niliiona mkuu na nimecheka sana.Kumbe na wewe uliiona eee!!
Amaa kweli usipoingia JF siku hiyo huwezi kubaki salama