Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shemeji mzima wewe? Yani sikuoni hadi ndugu yako aanzishe thread?Shemela,mbona unawarusha roho tena.wezee wa kuchaboo.kama nawaona vileee macho yalivyo watoka kutafu namna ya ku edit haka ka story the great the bold[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hata mimi jana nimemuhoji sana kuhusiana na hili. Akasema uwanja bado ulikuwa unatumika ila chini ya ulinzi wa watekaji.The bold nataka kufahamu...pale waisrael walipotua ndege yao ina maana wale watekaji hawakusikia sauti ya ndege wakati inatua au?
Hata mimi jana nimemuhoji sana kuhusiana na hili. Akasema uwanja bado ulikuwa unatumika ila chini ya ulinzi wa watekaji.
Nipo mkuu,siku hizi nachagua siledi za kusoma/kuchangia,maana kuna viumbe wa ajabu sana humu jf siku hizi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shemeji mzima wewe? Yani sikuoni hadi ndugu yako aanzishe thread?
Kumbe mkuu na wewe umeliona hilo? JF imekuwa ya kijinga sana nowdays.Nipo mkuu,siku hizi nachagua siledi za kusoma/kuchangia,maana kuna viumbe wa ajabu sana humu jf siku hizi.
Nafanya mchakato wa kuzungumza na mkuu mshana jr,ili baadhi ya watu tuwapige upofu wa kuona siledi zanye kutumia akili humu jf.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]