Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Kinikia weww kila siku tuna ambizana hapa usi qute uzi mzima mijitu haisikii
 
Shemela,mbona unawarusha roho tena.wezee wa kuchaboo.kama nawaona vileee macho yalivyo watoka kutafu namna ya ku edit haka ka story the great the bold[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shemeji mzima wewe? Yani sikuoni hadi ndugu yako aanzishe thread?
 
The bold nataka kufahamu...pale waisrael walipotua ndege yao ina maana wale watekaji hawakusikia sauti ya ndege wakati inatua au?
 
The bold nataka kufahamu...pale waisrael walipotua ndege yao ina maana wale watekaji hawakusikia sauti ya ndege wakati inatua au?
Hata mimi jana nimemuhoji sana kuhusiana na hili. Akasema uwanja bado ulikuwa unatumika ila chini ya ulinzi wa watekaji.
 
Heshima kwako mkuu The Bold... Bado tuko pamoja, naomba tag kaka..asante.
 
Pia najiuliza alisema taa za uwanja wa ndege zilikua zimezimwa je ndege ziliwezaje kutua?
 
this kind of game is very interesting....hapa ndio unaona utofauti wa walinda usalama wa nchi walivyo weledi...kutumia akili zaidi kuliko nguvu...yaani nguvu inakuja mwisho kabisa tena mwisho wa game yenyewe..but planning ndio kila kitu...unaweza kua na silaha za kila aina lkn km team au wataaluma ulionao km hamna kitu hio imekula kwenu....hawa watu ni bora sn kwenye planning.
 
Hata mimi jana nimemuhoji sana kuhusiana na hili. Akasema uwanja bado ulikuwa unatumika ila chini ya ulinzi wa watekaji.

Sasa kama ulikuwa chini ya watekaji tungependa kufahamu jinsi ilivyotua hiyo ndege...kimya kimya au ndio ndege za kijeshi special?...
.Mkuu The Bold tunaomba ufafanuzi wako kidogo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shemeji mzima wewe? Yani sikuoni hadi ndugu yako aanzishe thread?
Nipo mkuu,siku hizi nachagua siledi za kusoma/kuchangia,maana kuna viumbe wa ajabu sana humu jf siku hizi.

Nafanya mchakato wa kuzungumza na mkuu mshana jr,ili baadhi ya watu tuwapige upofu wa kuona siledi zanye kutumia akili humu jf.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Nipo mkuu,siku hizi nachagua siledi za kusoma/kuchangia,maana kuna viumbe wa ajabu sana humu jf siku hizi.

Nafanya mchakato wa kuzungumza na mkuu mshana jr,ili baadhi ya watu tuwapige upofu wa kuona siledi zanye kutumia akili humu jf.[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Kumbe mkuu na wewe umeliona hilo? JF imekuwa ya kijinga sana nowdays.
Hadi ilifikia kipindi nikapotea tu humu.
 
Mkuu The bold naomba ucnisahau sehem ya nne..plz kaka
 
Back
Top Bottom