Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Yonathan Netanyahu--"This is my country and my homeland. It is here that I belong,"(1967)
 
Uganda pia kuna wayahudi weusi
 
Mr bold nafatiliaga sana makala zako ila hujawahi kunitag hata mara moja!! Sehemu ya nne usinisahau tena Mr
 
Mr bold nafatiliaga sana makala zako ila hujawahi kunitag hata mara moja!! Sehemu ya nne usinisahau tena Mr
 
Pia najiuliza alisema taa za uwanja wa ndege zilikua zimezimwa je ndege ziliwezaje kutua?
Rubani wa ki-islaeli alikua keshajiandaa na kufanya Jambo ambalo hakufundishwa darasani au kwenye kitabu chochote Cha urubani,
Yaani kutua uwanja usio na guidance lights (dark runway) usiku.
Ila walivyofika walikuta hizi taa ongozi zimewashwa, hivyo basi wakatumia fursa hii kutua (landing)
 
Andika basi nawe kama The bold
Ukisearch humu ndani, utakuta kuwa topiki hii ya 90 minutes at Entebbe imewahi kujadiliwa mara nyingi sana hapa kwenye forum. Kwa hiyo thread hii haina jambo lolote jipya la kujadili; badala yake nilichoona ni kopy and paste. Mojawapo ya mchango wangu kuhusu operation hii niliutoa mwaka 2011 tena katika thread nyingine kabisa. Isome hapa Ipyana Malecela (10 years on) - RIP

Thread nyingine zinazojadili jambo hilo hilo ni kama vile hii hapa ya mwaka 2013
90 Minutes in raid on Entebbe: Tukio la ukombozi wa mateka wa Kiyahudi Uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…