Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Akhsante sana The bold Tunasubiri hiyo operation ya pili!


Ila kwenye hii mission kifo cha Jonathan (Yoni) Netanyahu kilinisikitisha sana! Na alifariki akiwa mdogo sana huyu jamaa!
Kabisa... Hata Ehud Barak alikuwa Kenya anawasubiri yale madege yarudi... Anasema kuwa yalipotua Uwanja wa Jomo Kenyatta alishangaa makomando na waliokolewa wakiwa na huzuni tofauti na alivyotarajia kuwa wangetua wakishangilia kwa shangwe... Alipowauliza kwanini hawana furaha ndipo wakampa taarifa ya kifo cha Yonatan Netanyahu...
 
Pamoja sana ndugu yangu magnifico

Nathamini sana sapoti yako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…