Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua JF kwa kutumia browser kisha nenda kwenye profile yangu na utaona kitufe cha "Follow"Nice staff Mkuu.
Naomba nielekeze jinsi ya kukufollow ili nifanye hivyo! Jf mobile app user.
Asante kwa taarifa mkuu..Yes hiyo movie inaitwa 6 days. Inatoka 4 August 2017.
Asante mkuu...Nice work
Nahisi kama nimeeleza mkuu namba ambavyo Mossad walipata taarifa za awali kutoka kwake...The bold nna swali; ulisema kuna mama alijifanya anaumwa mimba imetoka akaachiwa, ukasema hilo tukio litakuja kuwasaidia baadae
liliwasaidia kwa namna gani?
Pamoja mkuu...Asante sana
Salute chief...salute
Mark... Umepata PM yangu?Waisraeli ni watu hatari sana. Mungu aliwapa baraka maalum
Kabisa... Hata Ehud Barak alikuwa Kenya anawasubiri yale madege yarudi... Anasema kuwa yalipotua Uwanja wa Jomo Kenyatta alishangaa makomando na waliokolewa wakiwa na huzuni tofauti na alivyotarajia kuwa wangetua wakishangilia kwa shangwe... Alipowauliza kwanini hawana furaha ndipo wakampa taarifa ya kifo cha Yonatan Netanyahu...Akhsante sana The bold Tunasubiri hiyo operation ya pili!
Ila kwenye hii mission kifo cha Jonathan (Yoni) Netanyahu kilinisikitisha sana! Na alifariki akiwa mdogo sana huyu jamaa!
Nimeweka link pale post # 1 mwishoniSehem ya nne vp asee imeishia wapi ndugu mleta uzi?
Hahaha!! Karibu sana mkuu..Story tamu ngoja nimtunzie mwanangu ntamwadithia
Nimeeleza hii nadhani...Ndg hii ni simulizi ya kimapokeo,yaani inakwenda mbele na kurudi nyuma.Nadhani ishu ya mama huyo utakuja kutana nayo huko mbeleni.Endelea kufuatilia tu.
Pamoja sana ndugu yangu magnificoWENGI SANA HUNU JUKWAANI HUWA WALISEMA HII STORY ILISHAWEKWA... TUJARIBU KUPITIA KIPINDE HIKI...
Kwa bahati mbaya kulikuwa na mateka kadhaa ambao wwalikuwa hawajui kihebreania sawia na hii iliwagharimu sana. Kwa mfano kulikuwa na kijana wa mika 19 aliyeitwa Jean-Jacques Maimoni, huyu alikuwa amehamia Israel siku si nyingi sana kutokea nchini ufaransa. Lilipotolewa tangazo hilo la kila mtu kulala chini hakuelewa na alibakia akiwa amesimama na alitandikwa risasi na makomando wa Israel pamoja na wale watekaji. Kijana huyu hakuwa peke yake, lakini pia kulikuwa na mateka mwingine aliyeitwa Ida Borochovitch, ambaye alihamia Israel kutoka nchini Urusi.
Unaanzaje kusema mtu kama huyu amecopy na kupaste hii story... Tujaribu kupunguza chuki zisizo na maana vinginevyo mtajikuta mmeingia kwenye ushirikina pasina kujua... Hongera mkuu The bold honestly mi ndio nimejua leo kwamba kuna mateka waliuwawa kutokana na kutojua lugha.
Tayari imetoka mkuu... Cheki post #1 pale mwishoni nimeweka linkPart 4 si yakukosa hiyo
Imeshatoka mkuu... Cheki post # 1 pale mwishoni nimeweka linkUsiache kuni tag sehemu ya NNE mkuu.
Karibu sana mkuu!Braza we fundi! Kifo cha jf ni shida hii nayo hatari tupu, nikumbuke epsod ya nne
Asante sana chief...Duh.... hongera mkuu...
Pamoja sana shemeji yangu wa dhahabuThanx mkuu...ubarikiwe