Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
-
- #961
Nitasoma mkuu...Mkuu, leo nimeamua kujisomea biblia kufuatilia maisha ya waisrael. Hivi unajua operation za kukomboa mateka zimekuwa zikifanyika katika maisha ya waisrael?
Hebu soma 1 samwel 30:1-31, lkn kama hupendi kusoma sana anzia mstari wa 15. Utaona jinsi Daud alivyo komboa waisrael, wakiwemo wake zake wawili waliotekwa na mashehe wa kifilisti.
Asante sana mkuu...Hapa ndio elimu na kipaji ukivichanganya unapata ueledi kama wako bold,,sema hii vita ya kagera tumeisoma na kuiona katika movie,,tuletee MKUU hii makala tupate mawazo bora zaidi
una Zungumzia Blood Diamond alicheza Leonardo Di Caprio na Jamaa Black hiviiMkuu the bold uko vema ila kuna kamuvi kamoja hivi kanafanana kweli ...star ni dogo flani mdogo tu tena kali ingiliwa kinyume na maumbile na mkuu wao ...yani wanafundishawa roho ya ukatili...wanaishi maporini tu
Pamoja mkuu...Noma sana mkuu The Bold. Umetisha sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haaaa haaaa waafrica akili zao bana...
Kupiga BBC live vepeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mods hamuwez kutusaidia mpen ban hata ya wiki tu huyu jamaa$a Xbox scss$$ sac acz
Nimefaulu
Kaliempali, ng'oni meru.......Unagongwa na vindege vinavyokula kuku tena kupitia Ass hole.
Ole wako nipate Ban wakat ww ndio umeanza..
Heee! Mbona matusi ya kilugha!Kaliempali, ng'oni meru.......
No, ni beast of no nation yupo Idris albauna Zungumzia Blood Diamond alicheza Leonardo Di Caprio na Jamaa Black hivii
Oooh my best friend is better than yours. Thank you best friend i'm here
Pamoja sana mkuu...Mkuu the bold safi sna kwa kutupa akili ya ubongo
Kwa nini unakosa ustaarabu...Ndio maana mnajibiwa hivi " bando ni langu simu yangu halafu unipangie? Kama unateseka unaacha kwa nini uteseke mkuu
Tuko pamoja kiongozi...Mkuu bold asante sana kuna watu tuna alosto sana na hi I kitu, hongera kwa kutuburudisha
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Asante.Nimefanikiwa.
Bila shaka shemeji... working on it!Shemu usisahau ya Princess Diana..
Barikiwa..