Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Mkuu, leo nimeamua kujisomea biblia kufuatilia maisha ya waisrael. Hivi unajua operation za kukomboa mateka zimekuwa zikifanyika katika maisha ya waisrael?

Hebu soma 1 samwel 30:1-31, lkn kama hupendi kusoma sana anzia mstari wa 15. Utaona jinsi Daud alivyo komboa waisrael, wakiwemo wake zake wawili waliotekwa na mashehe wa kifilisti.
Nitasoma mkuu...
 
Mkuu the bold uko vema ila kuna kamuvi kamoja hivi kanafanana kweli ...star ni dogo flani mdogo tu tena kali ingiliwa kinyume na maumbile na mkuu wao ...yani wanafundishawa roho ya ukatili...wanaishi maporini tu
una Zungumzia Blood Diamond alicheza Leonardo Di Caprio na Jamaa Black hivii
 
Back
Top Bottom