Macho kodo
Senior Member
- Dec 22, 2016
- 122
- 127
Asante sana kwa chakula cga ubongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Axnte mkuu kwa kuniwezesha kuisoma [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ambao mnashindwa kuifikia hiyo sehemu ya tatu pitieni hapa kwenda kwenye tovuti ya Cc: The bold [URL="http://https://jamii.app/JFUserGuide/2017/06/27/operation-barras-sehemu-ya-tatu/"]Operation Barras (Sehemu Ya Tatu)[/URL]
[URL="http://https://jamii.app/JFUserGuide/2017/06/27/operation-barras-sehemu-ya-tatu/"]Operation Barras (Sehemu Ya Tatu)[/URL]
Candy ndo jmn??[emoji5] [emoji5] ID yngu huioni mondy au umemic hyo nani cjui[emoji35] [emoji35]Watu wanatia hasira sana Candy..
Mazoea yana tabu..Candy ndo jmn??[emoji5] [emoji5] ID yngu huioni mondy au umemic hyo nani cjui[emoji35] [emoji35]
Mkuu kuna page ya CHOZI LA MOYO MEDIA huku Facebook jamaa anakuibia mzigo mzimamzima aisee
Mkuu kuna page ya CHOZI LA MOYO MEDIA huku Facebook jamaa anakuibia mzigo mzimamzima aisee
Ukiona username ya Ocampo...ujue nimepita!!!Shukrani kwa kutuunga mkono... Salute
Kweli kabisa, nasuburi sehemu ya nne kwa shauku kubwaThe bold jaman mpaka tunasahau mwendelezo
Wizi hauepukiki
Hapa ni Bongo mambo yanaendeshwa kienyeji tu
1/Mi namshauri kama hataki watu waive zake basi asiwe anazileta hapa kabisa
2/Kama yupo kibiashara maslahi zaidi basi afanye uchambuzi/simulizi kwenye magazeti n.k kama akina Edo Kumwembe
Najua wazi ana blog na group la whatsapp ....mimi pia ni "shabiki wake" ila huwa napendelea kusoma zaidi makala anazoeandika kimyakimya
La sivyo ataendelea kulalamika kila siku
Ni hayo tu
Ndo hivyo mdau hata wengine humu tushaibiwa maandishi yetu
Mi niliamua kuacha tu kuanzisha thread/makala
Ila kule kwa makapuku naandika tu ili kushare/kuelimishana na vijana wenzangu ila mtu akikopi maandishi yangu kule sitamind maana nimeamua Kushare tu na marafiki/wanaJf na kwa wingi wa post za kule kibaka anaweza kukopi lakini hadi apekuepekue kichizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shukrani mkuu kwa kutulahisishia huu uzi wa The BlodAmbao mnashindwa kuifikia hiyo sehemu ya tatu pitieni hapa kwenda kwenye tovuti ya Cc: The bold [URL="http://https://jamii.app/JFUserGuide/2017/06/27/operation-barras-sehemu-ya-tatu/"]Operation Barras (Sehemu Ya Tatu)[/URL]
[URL="http://https://jamii.app/JFUserGuide/2017/06/27/operation-barras-sehemu-ya-tatu/"]Operation Barras (Sehemu Ya Tatu)[/URL]
Mdau humu JF kama mpango wako ni kupiga hela basi hapa ni sehemu nzuri ya kujitangaza
Ndio maana kuna matapeli kibao humu waneingia kwa gia tofauti tofauti ili wakubalike
We buni tu mtindo wake kumbuka kitu kimoja kinaweza kufanya na watu wengi lakini kitakowatofautisha ni ubunifu na pengine vipaji vya kuzaliwa tu....
Hivyo unaweza kutumia nguvu nyingi lakini kazi zako zisikubalike/kupendwa na hadhira
Mi nina dili tu la kufuga bata na vindoto kibao
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ndo hivyomkuu we noma sasa nikianza humu wakiiba ndo nikashitaki
Ok ntaanza kutupia mdogo mdogoNdo hivyo