Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Mkuu kuna page ya CHOZI LA MOYO MEDIA huku Facebook jamaa anakuibia mzigo mzimamzima aisee

Kweli aisee nilicoment nikamchana makavu Jamaa, maana anacopy huku Jf anapeleka kwenye page yake naye anakula misifa kama the Bold na Niffa.
Mkuu kuna page ya CHOZI LA MOYO MEDIA huku Facebook jamaa anakuibia mzigo mzimamzima aisee
 
Inauma sana mtu(The Bold) kukusanya data zote kama hizi kuleta story kama hii halafu mtu mwingine ana copy na ku paste kisha anachukua credits.
 
Unaibiwa unaibiwa unaibiwa unaibiwa ni hayo tuu
Kaka kama hutojari
Tafuta hii page "CHOZI LA MOYO MEDIA" huko facebook
Ni hayo tu.
 
Braza the bold Luna MTU anaitwa udaku Instagram anaapp take play store kaiba moja ya kazi zako yani kacopy na kupaste kila kitu ile story ya Jambazi alieiba bank nying kwa ustadi mkubwa
 
Hao watu wanaomwibia mkuu wetu the bold makala zake na kuzipeleka kuleee kwao wananini japo si wampe support kwa kuwaambia waende WhatsApp wakalipe ada ili mkuu wetu asukume maisha.
aaaaaah

Mkuu the bold hii nichangamoto kubwa naomba uichukue kwa aina ambayo itakujenga na sio kukuharibia shauku yako

TUKO PAMOJA MKUU KWA SISI WANA JF WATIIFU TUSIOPENDA MWENZETU ASIIBIWE HIVI NAOMBA TWENDE KUWAHARIBIA KULEE IKIWEZEKANA TUWAAMBIE WAENDE WHATSAPP KULEE KWA MKUU WETU.
ILI APATE FAIDA..
 

Sawa amekusikia.
 

mkuu unaweza kuniambia ni makala gani zinapendwa ili na Mimi nijifunze kuandika nipate cash za kusukuma siku
 

mkuu we noma sasa nikianza humu wakiiba ndo nikashitaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…