Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Ukisearch humu ndani, utakuta kuwa topiki hii ya 90 minutes at Entebbe imewahi kujadiliwa mara nyingi sana hapa kwenye forum. Kwa hiyo thread hii haina jambo lolote jipya la kujadili; badala yake nilichoona ni kopy and paste. Mojawapo ya mchango wangu kuhusu operation hii niliutoa mwaka 2011 tena katika thread nyingine kabisa. Isome hapa Ipyana Malecela (10 years on) - RIP

Thread nyingine zinazojadili jambo hilo hilo ni kama vile hii hapa ya mwaka 2013
90 Minutes in raid on Entebbe: Tukio la ukombozi wa mateka wa Kiyahudi Uganda
Mkuu The Bold husisitiza kwamba sio kila anachochambua na kuandika hakijawahi kuandikwa popote. Kila mtu duniani anafanya tafiti zake na anaandika kwa namna yake

Hii issue ya Entebe watu wameandika maandika lukuki na kutengeneza sinema

Huu ni utafiti, uchambuzi na uandishi wa The Bold kama yeye. Nikiri kwamba uandishi wa huyu jamaa una viwango na ladha ya pekee kabisa hapa JF na kwingineko. Huyu jamaa aweza kuwa na sifa ya mwandishi wa rank ya juu kabisa kwa kizazi hiki

Subiri akimaliza utagundua kwamba ulichokua unafahamu kuhusu hii issue ni punje ya haradani kwa anachofahamu The Bold

Nakutakia ufuatiliaji murua!
 
Mkuu The Bold husisitiza kwamba sio kila anachochambua na kuandika hakijawahi kuandikwa popote. Kila mtu duniani anafanya tafiti zake na anaandika kwa namna yake

Hii issue ya Entebe watu wameandika maandika lukuki na kutengeneza sinema

Huu ni utafiti, uchambuzi na uandishi wa The Bold kama yeye. Nikiri kwamba uandishi wa huyu jamaa una viwango na ladha ya pekee kabisa hapa JF na kwingineko. Huyu jamaa aweza kuwa na sifa ya mwandishi wa rank ya juu kabisa kwa kizazi hiki

Subiri akimaliza utagundua kwamba ulichokua unafahamu kuhusu hii issue ni punje ya haradani kwa anachofahamu The Bold

Nakutakia ufuatiliaji murua!

Mimi sijasema kuwa alichoandika ni uwongo, na hata katika post yangu kuu nilikuwa nasapoti stori kwa kuweka link za video zinazohusiana na tukio hilo. Akaja mtu mmoja na lugha ya kejeli, ndipo nikatoa jibu hilo ulilokwoti wewe. Wakati wa hiyo Operation Entebbe mimi nilikuwa mwanafunzi wa form three (ya zamani); wakati huo tulikuwa tukisoma sana vitabu vya James Hadley Chase na Nick Carter. Baada ya tukio hilo, kilitoka kitabu cha 90 Minutes at Entebbe kilichoandikwa na William Stevenson, kikiwa kinauzwa nadhani shilingi nane au kumi na mbili (kulikuwa na tofauti ya shilingi mbili kutoka shilingi kumi). Kitabu hicho kilikuwa na picha kamili ya tukio lote toka mwanzo hadi mwisho; nilikisoma chote zaidi ya mara mbili, na inaonekana kilisababisha tukio jingine ambalo huenda watu wengi hawalijui la Operation Mogadishu ambapo ndege ya Lufthansa ilikuwa imetekwa na magaidi mwaka mmoja baadaye huko Mogadishu, nayo ikakombolewa kwa nguvu kama ile ya Entebbe. Kwa hiyo ninaijua operation hiyo sawasawa na wala sikuwa nategemea kujifunza lolote katika thread hii, na wala sikuandika lolote kuzuia wengine wasiisome. Imenishangaza sana kwa kuweka hizo video nikatupiwa matusi ya kipumbavu namna ile.

Ninakijua kizazi hiki na huenda inabidi admin awe anaonyesha kuwa thread hii ni ya kizazi hiki tu, kusudi wengine tulio nje ya kizazi hiki tusiiguse!
 
Mimi sijasema kuwa alichoandika ni uwongo, na hata katika post yangu kuu nilikuwa nasapoti stori kwa kuweka link za video zinazohusiana na tukio hilo. Akaja mtu mmoja na lugha ya kejeli, ndipo nikatoa jibu hilo ulilokwoti wewe. Wakati wa hiyo Operation Entebbe mimi nilikuwa mwanafunzi wa form three (ya zamani); wakati huo tulikuwa tukisoma sana vitabu vya James Hadley Chase na Nick Carter. Baada ya tukio hilo, kilitoka kitabu cha 90 Minutes at Entebbe kilichoandikwa na William Stevenson, kikiwa kinauzwa nadhani shilingi nane au kumi na mbili (kulikuwa na tofauti ya shilingi mbili kutoka shilingi kumi). Kitabu hicho kilikuwa na picha kamili ya tukio lote toka mwanzo hadi mwisho; nilikisoma chote zaidi ya mara mbili, na inaonekana kilisababisha tukio jingine ambalo huenda watu wengi hawalijui la Operation Mogadishu ambapo ndege ya Lufthansa ilikuwa imetekwa na magaidi mwaka mmoja baadaye huko Mogadishu, nayo ikakombolewa kwa nguvu kama ile ya Entebbe. Kwa hiyo ninaijua operation hiyo sawasawa na wala sikuwa nategemea kujifunza lolote katika thread hii, na wala sikuandika lolote kuzuia wengine wasiisome. Imenishangaza sana kwa kuweka hizo video nikatupiwa matusi ya kipumbavu namna ile.

Ninakijua kizazi hiki na huenda inabidi admin awe anaonyesha kuwa thread hii ni ya kizazi hiki tu, kusudi wengine tulio nje ya kizazi hiki tusiiguse!
Kwa umri wako kama ambavyo umejieleza kwenye thread hii yawezekana kabisa ukalingana na baba yangu mzazi...

Inanishangaza sana member mtu mzima kama wewe unavyotumia nguvu nyingi kiasi hiki kutuzodoa vijana, kutusakama, kutuona hatujui na yawezekana pia kutukatisha tamaa...

Nilitegemea watu wenye umri mkubwa kama wako ndio mngekuwa mstari wa mbele kutuunga mkono na kututia moyo vijana wa sasa ambao tunajitahidi kuelimishana kuhusu masuala haya positive...

Kiufupi umenishangaza sana na umenisikitisha mno kwa umri wako kufanya haya ambayo unayafanya!!

Anyways, nadhani labda humjui vizuri The Bold... I'm the strongest person you have never seen!! Sijawahi kukatishwa tamaa tangu nazaliwa... Forward ever, backwards never!!

Tukutane part 4!

Karibu
 
Mimi sijasema kuwa alichoandika ni uwongo, na hata katika post yangu kuu nilikuwa nasapoti stori kwa kuweka link za video zinazohusiana na tukio hilo. Akaja mtu mmoja na lugha ya kejeli, ndipo nikatoa jibu hilo ulilokwoti wewe. Wakati wa hiyo Operation Entebbe mimi nilikuwa mwanafunzi wa form three (ya zamani); wakati huo tulikuwa tukisoma sana vitabu vya James Hadley Chase na Nick Carter. Baada ya tukio hilo, kilitoka kitabu cha 90 Minutes at Entebbe kilichoandikwa na William Stevenson, kikiwa kinauzwa nadhani shilingi nane au kumi na mbili (kulikuwa na tofauti ya shilingi mbili kutoka shilingi kumi). Kitabu hicho kilikuwa na picha kamili ya tukio lote toka mwanzo hadi mwisho; nilikisoma chote zaidi ya mara mbili, na inaonekana kilisababisha tukio jingine ambalo huenda watu wengi hawalijui la Operation Mogadishu ambapo ndege ya Lufthansa ilikuwa imetekwa na magaidi mwaka mmoja baadaye huko Mogadishu, nayo ikakombolewa kwa nguvu kama ile ya Entebbe. Kwa hiyo ninaijua operation hiyo sawasawa na wala sikuwa nategemea kujifunza lolote katika thread hii, na wala sikuandika lolote kuzuia wengine wasiisome. Imenishangaza sana kwa kuweka hizo video nikatupiwa matusi ya kipumbavu namna ile.

Ninakijua kizazi hiki na huenda inabidi admin awe anaonyesha kuwa thread hii ni ya kizazi hiki tu, kusudi wengine tulio nje ya kizazi hiki tusiiguse!
Tatizo lako ni kutaka uonekane mjuaji. Unadhani wote humu ndio kwanza wanasoma kisa hiki?

Hebu pitia uchambuzi wako na huu wa the Bold utajua kwanini kila ukiandika unakumbana na kejeli
 
Kwa umri wako kama ambavyo umejieleza kwenye thread hii yawezekana kabisa ukalingana na baba yangu mzazi...

Inanishangaza sana member mtu mzima kama wewe unavyotumia nguvu nyingi kiasi hiki kutuzodoa vijana, kutusakama, kutuona hatujui na yawezekana pia kutukatisha tamaa...

Nilitegemea watu wenye umri mkubwa kama wako ndio mngekuwa mstari wa mbele kutuunga mkono na kututia moyo vijana wa sasa ambao tunajitahidi kuelimishana kuhusu masuala haya positive...

Kiufupi umenishangaza sana na umenisikitisha mno kwa umri wako kufanya haya ambayo unayafanya!!

Anyways, nadhani labda humjui vizuri The Bold... I'm the strongest person you have never seen!! Sijawahi kukatishwa tamaa tangu nazaliwa... Forward ever, backwards never!!

Tukutane part 4!

Karibu
The Bold nadhani ungemkalia kimya kuweka tofauti kati yako na yeye, kubishana ni kujiweka ufafano mmoja naye kiakili.

Imebidi nitamke hayo maana keshajivua heshima yake kwa comment hiyo huko juu, sikutegemea mtu makamo ya wazazi wetu ajibu namna hiyo. AIBU!
 
Kwa umri wako kama ambavyo umejieleza kwenye thread hii yawezekana kabisa ukalingana na baba yangu mzazi...

Inanishangaza sana member mtu mzima kama wewe unavyotumia nguvu nyingi kiasi hiki kutuzodoa vijana, kutusakama, kutuona hatujui na yawezekana pia kutukatisha tamaa...

Nilitegemea watu wenye umri mkubwa kama wako ndio mngekuwa mstari wa mbele kutuunga mkono na kututia moyo vijana wa sasa ambao tunajitahidi kuelimishana kuhusu masuala haya positive...

Kiufupi umenishangaza sana na umenisikitisha mno kwa umri wako kufanya haya ambayo unayafanya!!

Anyways, nadhani labda humjui vizuri The Bold... I'm the strongest person you have never seen!! Sijawahi kukatishwa tamaa tangu nazaliwa... Forward ever, backwards never!!

Tukutane part 4!

Karibu
Bwana mdogo, unaweza kuwa sahihi kabisa kuwa ninaweza kuwa na umri wa baba yako mzazi, na naomba unielewe hivyo. Ukiwa mwandishi mzuri asiyekatishwa tamaa ni wazi kuwa wewe pia ni msomaji mzuri unayeelewa yaliyoandikwa, na hapo ndipo unatakiwa usome tena post yangu ya kwanza uilewe halafu uunganishe majibu yaliyofuata. Utagundua kuwa post yangu hiyo haikuwa na comment yoyote bali niliunganisha video zinazohusu tukio hilo, ambazo ziko wazi online; nilidhani kuwa video hizo zitasaidia mada uliyoanzisha kueleweka zaidi na wale wasioielewa. Sijui kama hilo lilikuwa ni kosa la kukukatisha tamaa, ama sikuwa najua lengo ya thread yako. Majibu yangu yaliyofuata ni kwa yule aliyenijibu kuhusu video hizo; and the rest is what you have here! Bado siamini kuwa hii ndiyo JF ya siku hizi; kuna posts za matusi sana ambazo nashukuru modereta amezifuta.
 
Ww Jamaa the bold n hatar sana I real appreciate your thread
 
Bwana mdogo, unaweza kuwa sahihi kabisa kuwa ninaweza kuwa na umri wa baba yako mzazi, na naomba unielewe hivyo. Ukiwa mwandishi mzuri asiyekatishwa tamaa ni wazi kuwa wewe pia ni msomaji mzuri unayeelewa yaliyoandikwa, na hapo ndipo unatakiwa usome tena post yangu ya kwanza uilewe halafu uunganishe majibu yaliyofuata. Utagundua kuwa post yangu hiyo haikuwa na comment yoyote bali niliunganisha video zinazohusu tukio hilo, ambazo ziko wazi online; nilidhani kuwa video hizo zitasaidia mada uliyoanzisha kueleweka zaidi na wale wasioielewa. Sijui kama hilo lilikuwa ni kosa la kukukatisha tamaa, ama sikuwa najua lengo ya thread yako. Majibu yangu yaliyofuata ni kwa yule aliyenijibu kuhusu video hizo; and the rest is what you have here! Bado siamini kuwa hii ndiyo JF ya siku hizi; kuna posts za matusi sana ambazo nashukuru modereta amezifuta.
Tatizo lako umelazimisha watu wakasome post yako,we kama ulikus na nia njema ungeongezapo vinyama kwenye huu uzi afu ungetoa credit kwa muandishi

Ila comment yako ya kwanza umeanza kwa kujipa credit ndo mana raia wakakutolea uvivu,

Jifunze kukubali walichoandika wengine sio uponde afu ujipe we credit kiukweli hata mimi nimekumaind

Majority humu mambo ya kijasusi kama haya tunayajua kupitia The bold asee ,mzee hebu tukaushie kwanza kwa hili
 
Ukisearch humu ndani, utakuta kuwa topiki hii ya 90 minutes at Entebbe imewahi kujadiliwa mara nyingi sana hapa kwenye forum. Kwa hiyo thread hii haina jambo lolote jipya la kujadili; badala yake nilichoona ni kopy and paste. Mojawapo ya mchango wangu kuhusu operation hii niliutoa mwaka 2011 tena katika thread nyingine kabisa. Isome hapa Ipyana Malecela (10 years on) - RIP

Thread nyingine zinazojadili jambo hilo hilo ni kama vile hii hapa ya mwaka 2013
90 Minutes in raid on Entebbe: Tukio la ukombozi wa mateka wa Kiyahudi Uganda
Raia wamekumaind kupitia hii koment yako hapa,kusema hii thread haina jipya aseee hizi ni dharau tena mtoa post ni mstaarabu kweli,jifunze adabu

Kwa umri uliotaja na comment ulotoa ni vitu viwili tofauti ndo nyie wazee wakoloni msotakia nchini,kijana kajitahidi kwa uwezo wake

Wabongo mnaonea wivu hadi comment za kumsifia mtu daah.Mzee kwa hili umetukwanza wengi aseee
 
Tatizo lako umelazimisha watu wakasome post yako,we kama ulikus na nia njema ungeongezapo vinyama kwenye huu uzi afu ungetoa credit kwa muandishi

Ila comment yako ya kwanza umeanza kwa kujipa credit ndo mana raia wakakutolea uvivu,

Jifunze kukubali walichoandika wengine sio uponde afu ujipe we credit kiukweli hata mimi nimekumaind

Majority humu mambo ya kijasusi kama haya tunayajua kupitia The bold asee ,mzee hebu tukaushie kwanza kwa hili
Comment yangu ya kwanza ilikuwa hii hapa chini; jibu unaloquote lilikuwa ni kumjibu mtu aliyerukia post hii.
Kuna movies na documentaries kadhaa kuhusu operation hiyo hapa yout tube



 
Raia wamekumaind kupitia hii koment yako hapa,kusema hii thread haina jipya aseee hizi ni dharau tena mtoa post ni mstaarabu kweli,jifunze adabu

Kwa umri uliotaja na comment ulotoa ni vitu viwili tofauti ndo nyie wazee wakoloni msotakia nchini,kijana kajitahidi kwa uwezo wake

Wabongo mnaonea wivu hadi comment za kumsifia mtu daah.Mzee kwa hili umetukwanza wengi aseee
.... huenda hiyo feeling ndiyo inayosababisha mambo haya yote... ni feeling mbovu kwa kizazi kuamini kuwa asiyekusifu basi anakuonea wivu!!! Usifanye jambo kusudi watu wakusifie na wale wasokusifia watakuwa wanakuonea wivu.
 
Sawa mzee tumeshajua na wewe una makala kuhusu hii inshu au kuna kingine
Nadhani JF siyo ya mtu kuhesabu makala zake, bali ni sehemu ya watu kuelimishana. Iwapo siku hizi kila mtu ana makala yake basi samahani sana. Nilijua kuwa sehemu hii mtu ataanzisha thread halafu watu wataichangia thread hiyo kwa namna yoyote ile. Kwa hiyo nilipounganisha video zile nilidhani kuwa nilikuwa nachangia mada, na wala sikujua kuwa nilikuwa naingilia makala ya mtu, na kuwa jukumu langu hapa lilikuwa ni kumsifu mtoa mada tu kwa vile nilikubaliana na mada yake.
 
Back
Top Bottom