Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Ahsante sana ndugy kwa vitu vikali

then kwel kutag watu kutakuwa kaz kubwa sana maana hii kaz ya kuandaa na kutuletea sio ndogo hongera sana
 
Who killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
Yoni alikuwa lieutenant, inakuwaje awe na deputy ambaye ni colonel?, that cant work
 
Mkuu the bold uko vema ila kuna kamuvi kamoja hivi kanafanana kweli ...star ni dogo flani mdogo tu tena kali ingiliwa kinyume na maumbile na mkuu wao ...yani wanafundishawa roho ya ukatili...wanaishi maporini tu
 
Yoni alikuwa lieutenant, inakuwaje awe na deputy ambaye ni colonel?, that cant work
Yoni alikuwa Col. Alimpokea Ehud Barak. Betser aliendelea na IDF mpaka kwenye rank ya Col .
 
Mkuu the bold heshima kwako nakubali sana simulizi zako,ila Nina swali hivi wale maharamia wa somalia walivyokuwa wanateka zile meli hakuna mission yoyoye ya kusisimua ilifanyika katika uokozi au ilikuwa inakuaje?
 
Operation Tokomeza
Tanzania
Tpdf and police force
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom