Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoni alikuwa lieutenant, inakuwaje awe na deputy ambaye ni colonel?, that cant workWho killed Yoni Netanyahu? Official documents zinaonyesha aliuwawa n.a. askari wa Uganda. Ila ndugu zake ambao wote walikuwa commandos kwenye hiyo unit, ila hawakushiriki sababu ya policy ya kutoweka ndugu wengi kwenye operation moja wanadai aliuwawa na Col Muki Betser, who was his deputy in the mission?
Yoni alikuwa Col. Alimpokea Ehud Barak. Betser aliendelea na IDF mpaka kwenye rank ya Col .Yoni alikuwa lieutenant, inakuwaje awe na deputy ambaye ni colonel?, that cant work
Beast of no Nation by Idris ElbaMkuu the bold uko vema ila kuna kamuvi kamoja hivi kanafanana kweli ...star ni dogo flani mdogo tu tena kali ingiliwa kinyume na maumbile na mkuu wao ...yani wanafundishawa roho ya ukatili...wanaishi maporini tu