Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

Yan me nilimfata pm lakin akiituma mod. Wanaiminya tu mfate pm kuna namna atakusaidia make me alinisaidia
Hivi hawa mod kwann wanafanya hivo lkn? kwa hyo wanazan tutafaidi sana au ni vp mbona siwaelew. Hebu nisaidie nawapataje hao mod niwatukane kidogo
 
Wewe jamaa huenda kati dingi au maza wako mmoja wapo utakuwa myahudi na si bure
 
Mkuu the bold website yako haifunguki sasa naipataje au kunanjia nyingine ya kuifungua
 
Mkuuuuu naomba namba ya wasapu....maana hamna namna
 
mkuu wamekushauri,wamekutaka au umeamua kuachana na pf name ya the bold..
baada ya ban ya miezi 3...???????
 
Ukivungua ile tovuti kule ni vipepeo weusi na mifereji ya damu na posts nyingine za entertainment tu,sioni mwendelezo
 
Back
Top Bottom