umeunga tu! mwanasheria hawezi kuandika barua isiyokuwa na msingi wa kisheria. Inawezekana ni mwanasheria anayetafuta kujulikana Tanzania kwa kuandika pumba kama hizo mara kwa mara.Huyu ni mwanasheria mbobevu wa kimataifa (an international lawyer Robert Amsterdam – Amsterdam & Partners LLP ) mwenye kushawishi mkubwa kimataifa, viongozi wako wa CCM Mpya wanaweza wakatoa muongozo mpya wa kimya kimya ukashangaa wakaachia huu uchaguzi uwe huru na wa haki bila mizengwe wiki hii, chezea mbinyo wa kimataifa toka kwa wale mliowabatiza 'mabeberu '
Jiwe hawezi kukaa nchi moja na mtu anayemkosoa kila siku, anapanic na anaweza hata kuua. Jana katangaza rushwa hadharani. Lissu endelea kurusha makombora wewe ni dhahabu iliyokomaa adui atapanic atajimaliza mwenyewe. Tuna imani wewe ni mpango wa Mungu.Hii ni dalili ya rushwa ya kitaasisi kuahidi kumpatia kazi ya kufanya Tundu Lissu aachane na kufanya siasa, labda mgombea wetu angekuwa aina ya wanasiasa ya akina David Kafulila wanaofikiria na kuombea teuzi.
Kumbe ccm ndowalipaswa kuenguliwa wote maana hawakujaza form wenyewe kwa takwa lakisheria, mgombea ajaze mwenyewe ili ifahamike Kama anajuà kusoma nakuandika hasa Ile form yakiapo na10 inayomtaka ajaze mbele yamsimamizi, nikweli kumbe hamkufata Sheria ndomana hata Ile ya kawe ilijazwa kabla ya tarehe 25 .Hiyo haikuwandikwa na mwanasheria kwa sababu imejaa hisia kuliko sheria. Ningetegemea aandike kuwa sheria hazikufuatwa lakini anasema tu kuwa waliongeliwa ni wengi kupita kiasi bila kusema sababu za kuenguliwa kwao kama ni za kisheria au siyo za kiesheria.
Uenguaji wa wagombea bila msingi wowote wa kisheria siyo mzuri kwa sababu siyo tu unajenga picha kuwa viongozi wanaopatikana hawakuchaguliwa na wananchi bali walipita kwa njia dubious, ila inaweza pia kusababisha wananchi wasishirikiane na viongozi hao. Lakini barua hii na jinsi wagombea wanaoenguliwa wanavyoa kabiliana na uenguaji wa majina yao ni weak sana. Jana nilikuwa nasikiliza hotuba moja ya Pole pole akisema CCM waliepeleka wanasheria 72 kwenda kuwasaidia wagombea wao huko Zanzibar kunajaza form vizuri kwa mujibu wa sheria. Kwa nini CHADEMA nayo isiwe na wanasheria kuwasaidia wagombea wao? Kama tunataka tume inayofuata katiba na sheria za nchi, inabidi na sisi wenyewe tuheshimu na kufuata sheria za nchi, siyo kuzifuata tu pale zinapotufurahisha.
Wewe endelea kushikishwa ukuta na wazungu..Huyo Amsterdam aache kiherehere!
Uchaguzi wetu yeye unamhusu nini?
Naona kuna kitu anakitafuta. Na atakipata tu...
Hata ungekuwa unazijua hizo form iko hivi wasimamizi walipaswa watoe maelekezo kwa kila mgombea namna sahihi ya kujaza form ili uchaguzi ufanikiwe na ufanyike.Mimi sizijui fomu zinafananaje; lakini fomu zote za kiserikali zinatakiwa zijawe na mtu yeyote anayejua kusoma na kuandika katika kiswahili au kiingereza. Kujaza vibaya fomu hizo siyo kazi ya wasimamizi wa uchaguz au wa tume, wao wajibu wao ni kufuata sheria tu. Kama zamani watu walikuwa wanafanya makosa hayo na wakaachiwa hilo ni jambo jingine kabisa kwani tunajua kuna mambo mengi mabaya yalikuwa yanafanyika nchini kinyume cha sheruia lakini sasa hivi hayafanyiki tena.
Kila anayelalamikia kuenguliwa hatoi sababu ni kwa nini ameenguliwa kwani huwa wanaambiwa kabisa kuwa fomu yake haikukidhi sheria namba fulani; wanakimbilia malalamiko ya kutafuta huruma tu.
CCM iko organised...mmesahau wanasheria waliopewa tenda ya kuwasaidia wagombea wake ili wasifanye makosa kwenye mchakato huu wa uchaguzi!?The shocking disparity of treatment in the approval of CCM and opposition candidates is blatant and deeply problematic.”[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Jr[emoji769]
Tumeccm alafu bado mnazunguka kupiga kampeni!Nilikuuliza swali juzi kuhusu Mkapa ambaye alishika nafasi mbali mbali Serikali hadi kuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa maccm.
Kwanini unadhani Mkapa alitoa kauli hadharani ya kuonyesha kutokuwa imani na hiyo tumeccm!?
Hivi Lisu atakuwa na kura za kuporwa?Mpaka tulipofikia jiwe anapaswa kutambua kuwa Lissu ni maji marefu kwake, chochote kibaya atakachojaribu kumfanyia kita-backfire kwake mwenyewe. Shambulio la wasiojulikana limekuwa la hasara kwake. Jana kamtupia vijembe Lissu lakini madhara yamekuwa makubwa zaidi kwake yeye mwenyewe, maana makombora aliyorusha Lissu yalikuwa ya moja kwa moja. Sasa atambue pia akimpora lissu kura hasara atapata yeye mwenyewe. bora aache wateule wake watende haki kwa mujibu wa katiba na sheria.
Rubbish!Open Letter to the National Electoral Commission of Tanzania - Robert Amsterdam
Today Robert Amsterdam has issued the following open letter to Winston Charles, the Director of the National Electoral Commission (NEC) of Tanzania, on behalf of his client the presidential candidate Tundu Lissu.
The letter states: “We write to express our growing concern about the National Electoral Commission’s (“NEC”) systematic disqualification of opposition candidates, particularly members of the CHADEMA party, in the October 2020 general elections. We are deeply troubled by the National Electoral Commission’s disqualification of these candidates in breach of the National Elections Act and international human rights law.”
Amsterdam’s letter continues: “It has come to our attention that 1,020 CHADEMA candidates for chancellorships were disqualified by the National Electoral Commission out of 3,574 CHADEMA potential candidates. This represents an appalling disqualification rate of 28.5%. So too, the Commission has disqualified 53 CHADEMA candidates for Parliament out of 244 nominees, a 21.7% disqualification rate. These troubling disqualifications are not just limited to CHADEMA candidates and include other opposition parties as well. We note that 47 ACT-Wazalendo candidates were also disqualified. In contrast, the vast majority of governing party Chama Cha Mapinduzi (“CCM”) candidates were approved. The shocking disparity of treatment in the approval of CCM and opposition candidates is blatant and deeply problematic.”
Download the full copy of the open letter here or read below.
Kwa nini usimwandikie wewe mchawi wa kimataifa?!Kaandika kwa niaba ya mteja wake...hivi kweli hulijui hili?
Jr[emoji769]
Umesahau huyu ni msukuma mwenzao? Wachache tuliojitambua.Kaandika kwa niaba ya mteja wake...hivi kweli hulijui hili?
Jr[emoji769]
Aah..kumbe...[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]Umesahau huyu ni msukuma mwenzao? Wachache tuliojitambua.
Watagoogle tafsiri!Sidhani kama kina msiba wanajua maana yake
Jr[emoji769]
Kweli mimeamini nyani haoni kunduleChaguzi za nchini kwetu hazimhusu.
Apambane na chaguzi za nchi anakotoka.