Uchaguzi 2020 Open letter to the National Electoral Commission of Tanzania

Uchaguzi 2020 Open letter to the National Electoral Commission of Tanzania

Sidhani kama kina msiba wanajua maana yake

Jr[emoji769]
Hiyo barua ni Lisu ndie anaandika mwemyewe Anampa Amsterdam a saini Huyo Amsterdam ni tapeli wa kimataifa alitaka kumtapeli bob wine wa Uganda akamshtukia akambwaga
 
Kinachofurahisha ni kuona hawa imbecile hawashituki wala kujiangaisha na potential impact ya harakati za mwanasheria huyu kwa utawala wao, iwapo watashinda [japo kwa kuiba kura], na Tanzania kwa ujumla, mara baada ya uchaguzi. Wangejua yajayo wasingefanya wafanyayo. wafanyayo.
Wanajua wataishia kulaumiwa tu na baadae maisha yataendelea kama kawaida rejea baada ya uchaguzi kufutwa huko Zanzibar 2015.
 
Mkuu do you have a slightest idea of who is paying this guy ? Maana ni wakili ghali sana duniani! Am sure Lisu hana fedha ya kumlipa.
Ndiyo maana kuna nyakati niliuliza...Lissu atawalipaje 'jamii ya ulimwengu' ? Au ana mpango wa kutupiga bei watanzania kwa mafungu?? Sikupata jibu mpaka leo.
 
Wanajua wataishia kulaumiwa tu na baadae maisha yataendelea kama kawaida rejea baada ya uchaguzi kufutwa huko Zanzibar 2015.
Usishange kuona Tanzania inaingizwa kwenye michezo ya siasa za kimataifa na kusababisha madhara kwa wananchi kama tunayoshuhudia yakitokea kwa Maduro huko Venezuela, au kama ilivyokuwa kwa Mugabe huko Zimbabwe!
 
Ndiyo maana kuna nyakati niliuliza...Lissu atawalipaje 'jamii ya ulimwengu' ? Au ana mpango wa kutupiga bei watanzania kwa mafungu?? Sikupata jibu mpaka leo.
Unauliza swali la kipumbavu ndio maana hujapata jibu, hakuna mwenye akili timamu anayeweza kupoteza muda wake kukutafutia jibu la swali la kijinga.
 
Unauliza swali la kipumbavu ndio maana hujapata jibu, hakuna mwenye akili timamu anayeweza kupoteza muda wake kukutafutia jibu la swali la kijinga.
Ha ha ha haa! Pole kamanda...! Povu ruksa kipindi hiki hili mradi hauvunji sheria za NEC ama TCRA!
 
Anachokifanya Amsterdam ni big manipulation
Safari hii hakuna pa kujificha. Anatuharibia nini? Kwani watanzania hawana macho ya kuona anachokiongelea Amsterdam? Nakuuliza watanzania hatuna macho ya kuona mpaka useme Amsterdam anatuharibia? Stop manipulation.
 
Anayeharibu ni huyo anayejiita KICHAA. Angeamua kutenda HAKI badala ya udhalimu na kuwa dikteta haya yote yasingekuwepo.

Inayoharibikiwa ni Nchi imagine kama Nchi za wafadhili na Jumuiya ya Kimataifa baada ya uchaguzi waseme huu uchaguzi haukuwa huru na haki hivyo hatuko tayari kushirikiana na Serikali haramu. Hizo trillions wanazotoa kama mikopo au misaada zitaleta pengo kubwa sana kwenye bajeti na hivyo kusababisha budget deficit kuwa kubwa sana ambayo inaweza kulazimisha watu wengi Serikalini kupunguzwa kazi.

UHURU na HAKI huinua Taifa lolote lile duniani kuleta furaha na amani ndani ya Nchi lakini UDHALIMU na CHUKI na uminywaji wa HAKI na UHURU huangamiza Taifa.

Huyo Amsterdam anawaharibia sana hamjui tu,siku mkija kushtuka its too late.

Kila siku yeye kuandika barua tu
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👊🏽👊🏽👊🏽

Safari hii hakuna pa kujificha. Anatuharibia nini? Kwani watanzania hawana macho ya kuona anachokiongelea Amsterdam? Nakuuliza watanzania hatuna macho ya kuona mpaka useme Amsterdam anatuharibia? Stop manipulation.
 
Wahuni hawa wanafuata maagizo waliyopewa May huyo anayejiita KICHAA ili kufanya uhuni na wizi wao wa kila aina kuhakikisha ushindi haramu kwa maccm.

naona tume yetu haitaki kuwa ya uchaguzi bali ya uteuzi.
 
👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽 Inashangaza sana Mkuu yaani watu hawataki kuona uhuni unaofanywa na hiyo tumeccm ili kuyapa maccm ushindi haramu. Kama uchaguzi ungekuwa ni HURU na wa HAKI huyo Robert Amsterdam wala tusingemsikia Watanzania. Sijui ndiyo kujitoa ufahamu au kujifanya vipofu wa kuona uhuni ulio wazi kabisa.

Jibu swali. Kwani watanzania hatuna macho? Wagombea wa upinzani hawaenguliwi? Sasa Amsterdam anaharibu nini hapo? Acheni ujinga.
 
Yaani huyo anayejiita KICHAA kila siku ilikuwa ni kumdhalilisha Lissu mara kakamatwa mara kafukuzwa Bungeni lakini akaona haitoshi akataka kumuua lakini Mungu si Athumani bado akaona haitoshi, akazuia asilipwe haki zake bado akaona haitoshi akampora Ubunge bado akaona haitoshi sasa anataka kumhujumu kwenye Uchaguzi kupitia hiyo tume FAKE tumeccm halafu watu wanataka kumlaumu Robert lakini huyo anayejiita KICHAA hawaoni udhalimu wake hata chembe! 😳😳

Mungu wabariki wazungu
 
Open Letter to the National Electoral Commission of Tanzania - Robert Amsterdam

Today Robert Amsterdam has issued the following open letter to Winston Charles, the Director of the National Electoral Commission (NEC) of Tanzania, on behalf of his client the presidential candidate Tundu Lissu.

The letter states: “We write to express our growing concern about the National Electoral Commission’s (“NEC”) systematic disqualification of opposition candidates, particularly members of the CHADEMA party, in the October 2020 general elections. We are deeply troubled by the National Electoral Commission’s disqualification of these candidates in breach of the National Elections Act and international human rights law.”

Amsterdam’s letter continues: “It has come to our attention that 1,020 CHADEMA candidates for chancellorships were disqualified by the National Electoral Commission out of 3,574 CHADEMA potential candidates. This represents an appalling disqualification rate of 28.5%. So too, the Commission has disqualified 53 CHADEMA candidates for Parliament out of 244 nominees, a 21.7% disqualification rate.

These troubling disqualifications are not just limited to CHADEMA candidates and include other opposition parties as well. We note that 47 ACT-Wazalendo candidates were also disqualified. In contrast, the vast majority of governing party Chama Cha Mapinduzi (“CCM”) candidates were approved. The shocking disparity of treatment in the approval of CCM and opposition candidates is blatant and deeply problematic.”

Download the full copy of the open letter here or read below.
First and foremost, the letter is the work of Lissu who uses Amsterdam as a "frontrunner"! I am wondering why Lissu is doing this, as he has all the rights and ability to write straight to NEC. Further, all disqualified candidates have the right to appeal to NEC and to other appeal organs as stipulated in our different laws and regulations and that is what they have done. Lissu is doing this as a means of trying to "force" NEC and other Appeal bodies to favor their disqualified candidates. Whichever way, the laws pertaining to this exercise will be followed to the letter and justice will be done without caring what Amsterdam or Lissu writes. We are a free and law adhering State.
 
The shocking disparity of treatment in the approval of CCM and opposition candidates is blatant and deeply problematic.”[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Jr[emoji769]
It is true, the shocking disparity ……… is blatant (wazi and transparent) na deeply problematic (yenye matatizo na shida) kwa vile wapinzani wameshindwa kuendana na matakwa ya sheria na miongozo ya Tume ya Uchaguzi kwenye hata vitu vidogovidogo kama ujazaji wa fomu husika katika uchaguzi huu.
 
Hata wakati wa chama kimoja hakuna mgombea aliyewahi kuenguliwa kihuni kihuni ila wapinzani tu tena Chadema na Act Wazalendo ndiyo wagombea wao mbumbumbu mzungu wa reli hawajui chochote kuhusu kujaza fomu

Mkapa aliona mbali alipotoa kauli hadharani kuonyesha kukosa imani na hii tume FAKE AKA tumeccm.

It is true, the shocking disparity ……… is blatant (wazi and transparent) na deeply problematic (yenye matatizo na shida) kwa vile wapinzani wameshindwa kuendana na matakwa ya sheria na miongozo ya Tume ya Uchaguzi kwenye hata vitu vidogovidogo kama ujazaji wa fomu husika katika uchaguzi huu.
 
Back
Top Bottom