Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

Unasema???? Waulize Iran na Venezuela???

Muulize Nkurunzinza Kwa nini aliamua kuachia madaraka?? Muulize kabila Kwa nini aliamua kuachia madaraka??
Amuulize pia Kabudi, kwann aliufyata kwa wamarekani walipo muwekea vikwazo Makonda, maana alibwatuka Sana lkn akaishia uvunguni.
 
Subiri utaona. Tutakimbiana humu. Magu amechokwa na hatakwi na kila mtu. Hata waliokuwa nae karibu ni uoga tu na kwa ajili ya mkono kwenda kinywani.

Subiri sasa kwenye plain ground ya competition yake na Lissu ndo ataaamini kuwa ubabe haufai.
Wewe unaidangamya hata nafsi yako mwenyewe..

Haya basi! Lisu atashinda na kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia chadema
 
Madikteta wote waliokamatwa wakiwa wamejificha kwenye mashimo kama akina Sadam na Ghaddafi walianza kwa kutumiwa barua kama hizi. Kuna makubwa yanajiunda taratibu subirini.
Kwa hiyo hapa kuna dikteta nae atakamatwa kama kina Gadafi?

Subirini kipigo hiyo oktoba, na wala hizo barua hazitawaongezea kura!

Kura zipo huku field ambako Lisu na chadema hawajui
 
Stupid guys...very stupid indeed...how could you interfere with our affairs?! Stupid colonialists/imperialists.,stupid democracy..
 
Ila itashangaza sana kama hii serikali itathinutu kumgusa Lissu. Kibinadamu tu lwanza litakuwa jambo la ajabu na kinyama. Mtu huyu aliyeonja kifo nusu, kaponea chupuvhupu na kawa mlemavu, leo eti mumkamate! Kwa kosa lipi? Itakuwa ni udhaifu na kosa kubwa!
 
You do not even understand yourself.

How can you claim to "...now understand why the ruling party is sometimes refring to these individuals as the agents of foreign exploiters?"
Ulimaanisha kusema SIJITAMBUI!?
 
Watagonga mwamba tu sio kwa Serikali imara ya JPM. Kwanza hawana sababu ya kujikomba komba na pesa za nchi za magharibi.
 

Mchawi mpe mtoto wako akulelee.
 
Am sorry to say, but I discourage all African parents planning to send their children overseas to be educated...Don't do it..some of them are easily assimilated and sent back to our societies to pollute the rest of the population...very sad.
 
Wewe unaidangamya hata nafsi yako mwenyewe..

Haya basi! Lisu atashinda na kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia chadema

Watu wengi(washabiki) hawataki kuutizama ukweli n kuukubali ukweli

Mimi binafsi napigania haki yake TL kurudi nyumbani, asisumbuliwe,asitishiwe, asikamatwe wala asifanyiwe jambo baya lolote

Akapambane CDM na Nyalandu na kama akipitishwa aje apambane na JPM kwenye Uchaguzi mkuu. Hiyo ni haki yake kikatiba. Haki ya kuishi na kugombea uongozi

Lakini kujidanganya kuwa TL anaweza kumshinda JPM Uchaguzi huu wa 2020 hizo ni ndoto za alinacha. Itoshe kusema tu HAIWEZEKANI
 
Hoja ya kuita watu vibaraka wa mabeberu ni hoja za kimama sana

Kuna uonevu unafanyika kuhusu haki za binadamu na uhuru wao,ametokea mtu no matter who he is,ameamua kuunga juhudi za kutokomeza huu uonevu

Then wewe muonevu unam-judge unaemuonea eti anasaidiwa na mtu fulani adui yake..

Uaudi wenu does not make any sense to me,infact ndio mzuri maana unanisaidia mimi kupambana na wewe maana adui yako ndio rafiki yangu against wewe.

Utawala wa mawe unasema umeenda kujiunga na "mabeberu",ulitegemea tujiunge na nani kama sio kujiunga na maadui zako kukemea uonevu unaofanya?

This is nonsense!
 

Pumbaf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…