Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

This to me is somewhat counterintuitive!

Why?

Because, why would the same government that Mr. Lissu accuses of trying to assassinate him, now be asked or be expected to provide for his personal protection upon his return?

Does Mr. Lissu now trust the very same people whom he accuses of wanting to kill him?

Maybe this is just an attempt to preempt another attempt...

But, what do I know! I’m just a high school dropout.

A typical case of where English and law differ.

Please be informed English is a language but law is a profession.

Wait to see who is to address this and how.

For sure, it is not every Tom, Dick, Harry and nyani!
 
Utopolo mtupu, hawana lolote hao! They are toothless dogs!
Ingelikuwa tunajitegemea alau kwa asilimia sitini ungekuwa sahihi. Aidha ulikuwa mtoto enzi za Mwalimu au hukuwa umezaliwa...
Tafuta sababu za kufa viwanda na uchumi wa Tanzania miaka ya 197+~ 80+ utapata jawabu.
Majuto huja baadae...
TUJISAHIHISHE
 
Akili zenu mnazijua ninyi tu[emoji28][emoji28][emoji28], kwa hiyo mnategemea Lissu atakuwa Rais wa JMT?
huna kitu kichwani punguani ww, huna hoja, mihemko tu, elimu yenyewe ya kuunga unga, kuwa makini mtoto
 
Chadema ndugu zangu mnatafuta popularity kwa juhudi kubwa sana!
Huyo jamaa ana are arest warrant kutoka mahakamani alikokimbia kesi hadi wadhamini wake walitaka kujitoa!
Watakao mkamata wa kwanza ni wadhamini wake wampeleke mahakamani akajibu kwa nini amekuwa mtoro kuhudhuria mahakamani hata baada ya kupona majeraha ya risasi!
Sio mambosasa,wala Diwani Athumani au yeyote aliyeandikiwa hiyo barua atamkamata Lisu! Ila wale wadhamini wake ndiyo wanamsubiri kwa hamu kubwa
Popularity ? Yaani watu wanafanya vitu serious unaita popularity ?
Hivi unaiona hiyo barua ni ya mchezo mchezo tu ?
 
Barua tuu?hata uhuru alienda akarudi saa hivi anaendelea na mambo yake
 
Mkuu vyema kuchagua maneno ya kufaa. Tumeshachafuka kimataifa, hatua zozote watakazoamua kama ni hasi ni suala la muda kabla halijamgusa kila mwananchi. Usione fahari kuuawa wenzio kwa sababu tu utofauti wa kimtazamo. Ni upumbafu, kama kweli unaipenda nchi yako kwa sababu madhara yanaweza kuwa makubwa zaidi
Umemsoma huyo alivyosema awali ...kwamba wengine wote wanaounga mkono CCM their necks will be broken...sasa unaonaje hiyo?
 
Chadema ndugu zangu mnatafuta popularity kwa juhudi kubwa sana!
Huyo jamaa ana are arest warrant kutoka mahakamani alikokimbia kesi hadi wadhamini wake walitaka kujitoa!
Watakao mkamata wa kwanza ni wadhamini wake wampeleke mahakamani akajibu kwa nini amekuwa mtoro kuhudhuria mahakamani hata baada ya kupona majeraha ya risasi!
Sio mambosasa,wala Diwani Athumani au yeyote aliyeandikiwa hiyo barua atamkamata Lisu! Ila wale wadhamini wake ndiyo wanamsubiri kwa hamu kubwa
Kupona majeraha ya risasi alizopigwa na nani vile, tukumbushe mkuu tafadhali. Tuambie vile vile huyo/hao waliompiga risasi wako nje kwa dhamana? wadhamini wao hawajajitoa bado?
 
Among hayo 'mambo yake' ni kuheshimu katiba na sheria ikiwemo ya kulinda raia wake. Hili la kulinda raia wake serikali hii imeshindwa kiasi kwamba raia amomba ulinzi nje dhidi ya serikali yake. Hii kwa kweli mkubali mkatae ni aibu kubwa!
Daa.. Ni Kama watoto kuomba ulinzi wasiumizwe na baba yao. Inasikitisha sana
 
Bado Mchina hajawa na nguvu ya kutusaidia mbinyo wa Marekani!!
Tupo pabaya sana kwenye tanuru la moto hao wote walio tajwa apo wapo kwenye 18 zao!! MUNGU atuepushe na hili balaa maana tunatafutwa kama madini Adim!
Fundi nakuitaaaa ....!!! [emoji44]

Nazani Nchi hii Sasa imeingia kwenye 18 zao hawa watu.

Na ushamba huu wa madarakani wa kupenda kusifiwa, sidhani kama atashauri vizuri Kwa uzito huu wa hii Barua.
 
Fundi nakuitaaaa ....!!! [emoji44]

Nazani Nchi hii Sasa imeingia kwenye 18 zao hawa watu.

Na ushamba huu wa madarakani wa kupenda kusifiwa, sidhani kama atashauri vizuri Kwa uzito huu wa hii Barua.
Mkuu hatu chomoki kwenye haya makucha aisee jiwe amesha tuingiza pabaya!
 
Wakuu,
Salaam.
Nimeziunganisha barua hizi hapo chini kama mnavyoona.
Kwa ufupi hawa jamaa wamekusudia kutoa onyo kwa wahusika endapo jambo lolote baya litamkuta mteja wao watachukua hatua stahili.
Wakuu,
Huo twitani nimekutana na tweet ye Robert Amsterderm akiinukuu barua ya Poslis ya tarehe 25/7/2020 ikionya juu ya watakaokwenda kumpokea Lissu.

"This is the statement circulated by the Tanzanian police, which attempts to instrumentalize the death of former President Mkapa as a pretext to block supporters and media from receiving
@TunduALissu
as he arrives to Dar es Salaam tomorrow. cc
@TomOdula @GeorgeObulutsa"

Hio ndio tweet aliyoandika, akionyesha kufuatilia kwa karibu sana yanayojiri.
https://twitter.com/robertamsterdam/status/1287447090373758987/photo/1
 
Back
Top Bottom