Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

Open Letter: Tundu Lissu's return to Tanzania

Wakuu,
Salaam.
Nimeziunganisha barua hizi hapo chini kama mnavyoona.
Kwa ufupi hawa jamaa wamekusudia kutoa onyo kwa wahusika endapo jambo lolote baya litamkuta mteja wao watachukua hatua stahili.
Hakuna watu wepesi na wapumbavu kama wazungu. wahiyo hapo kwa akili yao wamemtisha Sirro au? Alafu aliEwaambia sie tunaelewa kilugha chao ni nani? Au wanamfurahisha Lissu?
Yeye si kamwambia Lema hana uoga, liwalo na liwe? Aje tu apambane na muziki wake. MARA ILE ALIPOISHIA Nairobi alisema hawezi kurudi mpaka ahakikishiwe uasalama wake na serikali, sasa kama anarudi, serikali lazima itakuwa imemhakikishia usalama waka.
Aje tu aone Airport yetu mpya, apande daraja la Mfugale, akishuka apite pale Ubungo akielekea kwake Tegeta. Asiwe na hofu, arudi tu nyumbani, aone kulivyonoga.
 
Mwenyezi Mungu anaendelea kuwa upande wetu.
Silo alisema wanangoja akifika wamkamate ngoja tuone hii muvi
Samesema government conduct to be monitored and documented. Any potential acts of violence interference or intimidation will result in permanent consequences.

Wazungu hawatanii. Na huwa hwana mzaha kwamba wakisema jambo wataliacha liishe tu hivi hivi. Hawa ni mawakili wenye deep profile kwa kulinda heshima yao. Hawatakubali washindwe ktk hili.
 
Manuona Mchina akijenga Bandari ya Bagamoyo kwa nini?

Mzee baba hawezi kukubaliana na kejeli ambazo TL,ZZK,BM na FM wakipanda jukwaani na kuwaambia Wananchi kwamba miradi yote ambayo anasifiwa kaifanya ni Tembo Mweupe.

Ili gurudumu la Maendeleo liweze kwenda Mzee Baba itabidi arudi kujenga ushirikiano tena na Uchina. Maana Mabeberu wataweka Vikwazo.

Swali je Mchina atakuja na Masharti gani?
Mkuu mbona uko TOO RADICAL na too extreme katika udadavuaji wako wenye busubusu la CONSPIRACY THEORY?!!!
Japo tumeamua Kujisimamia na kubadilisha STATUS QUO ya hovyo ila taifa letu ni muumini wa KUTOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE..Dunia inakwenda Kasi sana na ni muhali kurudi huko tulikotoka...huko kwa MAKAMBI ya wakubwa wa dunia.....
Naamini serikali yetu haitabadilisha sera yetu ya kidiplomasia na ile ya Mambo ya nje....

Naamini katika BUSARA na huko kwa TUG OF WAR hatutofika inshaalahu aaamin.
 
Kwenye kujisimamia bado, maana tunahitaji wanunuzi wa bidhaa zetu. Kama tungekuwa tunazalisha na kutumia wenyewe sawa, lakini hii ya kuzalisha na kwenda kuuza nje au kuagiza bidhaa za nje au kutegemea watalii ili kupata pesa za kigeni kulipa Wakandarasi, kuagiza mafuta na bidhaa zingine basi sharti tuiname hakuna ujanja.
 
Manuona Mchina akijenga Bandari ya Bagamoyo kwa nini?

Mzee baba hawezi kukubaliana na kejeli ambazo TL,ZZK,BM na FM wakipanda jukwaani na kuwaambia Wananchi kwamba miradi yote ambayo anasifiwa kaifanya ni Tembo Mweupe.

Ili gurudumu la Maendeleo liweze kwenda Mzee Baba itabidi arudi kujenga ushirikiano tena na Uchina. Maana Mabeberu wataweka Vikwazo.

Swali je Mchina atakuja na Masharti gani?
Mchina si ndiyo huyo huyo walishindwana na magu kwenye SGR na Bagamoyo Port?? Au kuna mchina mwingine wa South America??
 
Nimesoma Kwa Utulivu mno....

Duuh guys...

Ila Kuna sehemu ninataka nianze kudadavua....

Wateja wa KIMATAIFA wa TL WANADAI "he was subsquently denied of his statutory medical benefits"......

Hawakufafanua zaidi juu ya Hilo....
Ni kazi yetu kuulizana.......

Mbona mh.Spika Ndugai ALILITOLEA UFAFANUZI.....
Spika alisema baada ya tu kushambuliwa mh.TL na kukimbizwa DODOMA GENERAL HOSPITAL,Dr Ulisubsya Mpoki Mwasumba(aliyekuwa katibu mkuu) ambaye KIPROFESHENI ni daktari bingwa wa USINGIZI(theatre) na DHARURA(emergencies) na madaktari WENZAKE walijitolea KUMHUDUMIA NA KUMRUDISHA mh.Lissu katika UHAI...kumbuka MUDA huo wa dharura ndio muhimu mno kuokoa uhai zaidi ya matibabu yafuatayo......

Nitaendelea

Wakina Dr.Ulisubisya Mpoki Mwasumba na wenzake wakiwekewa MKONO wa baraka na BWAÑA wakafanikksha kumSTABILIZE mh.TL ambako kiafya angeweza KUSAFIRISHWA KWA NDEGE.....kumbuka wasingethubutu kumsafirisha akiwa na ile Hali waliyompokea kwani YANGEKUWA MENGINE...wakati FARASI akiTAKE OFF.....

OFISI ya spika ikafanya utaratibu wa kutafuta NDEGE YA KUKODI KUJA DAR...Muhimbili...hapa Ndipo walipokataa kina mh.Mbowe.......

Kina mh.Mbowe walikuwa na STAND kuwa TL apelekwe Nai Kenya....ilihali KISHERIA BUNGE Lina mandate ya kuidhinisha kiNHIF(bima ya afya ya taifa) kuwapeleka wagonjwa MUHIMBILI(MNH).
Na ili umtoboleshe mgonjwa Kenya ama mamtoni ni lazima KISHERIA RAIS AANGUKE WINO.....
Sasa ukifikiri kwa hoja ya mh.Spika unaona usiku ule...Rais angeanguka wino kutoa ruhusa saa ngapi huku mgonjwa Yuko ktka emergency?!!Ni kwanini mh.Mbowe ASIKUBALI mh.TL apelekwe MUHIMBILI then wasaa ukifika wa ile ruhusa kutoka Mamlaka za juu....ya kuweza kumpeleka WALIKOTAKA...Ila ukifikiri kwa hoja ya mh.mbowe ya labda alikuwa na hofu ya saftety yà TL kupelekwa MNH?!!!

So ukiangalia KISHERIA ya kusafirisha wagonjwa basi UTAMAIZI spika alikuwa on the RIGHT POSITION Katika HATUA hii ya maslahi ya AFYA YA MGONJWA.....and where "does TL denied his statutory health benefits wanakosemea MABWANA WALETA BARUA"?!!!

NITAENDELEA
 
Wakina Dr.Ulisubisya Mpoki Mwasumba na wenzake wakiwekewa MKONO wa baraka na BWAÑA wakafanikksha kumSTABILIZE mh.TL ambako kiafya angeweza KUSAFIRISHWA KWA NDEGE.....kumbuka wasingethubutu kumsafirisha akiwa na ile Hali waliyompokea kwani YANGEKUWA MENGINE...wakati FARASI akiTAKE OFF.....

OFISI ya spika ikafanya utaratibu wa kutafuta NDEGE YA KUKODI KUJA DAR...Muhimbili...hapa Ndipo walipokataa kina mh.Mbowe.......

Kina mh.Mbowe walikuwa na STAND kuwa TL apelekwe Nai Kenya....ilihali KISHERIA BUNGE Lina mandate ya kuidhinisha kiNHIF(bima ya afya ya taifa) kuwapeleka wagonjwa MUHIMBILI(MNH).
Na ili umtoboleshe mgonjwa Kenya ama mamtoni ni lazima KISHERIA RAIS AANGUKE WINO.....
Sasa ukifikiri kwa hoja ya mh.Spika unaona usiku ule...Rais angeanguka wino kutoa ruhusa saa ngapi huku mgonjwa Yuko ktka emergency?!!Ni kwanini mh.Mbowe ASIKUBALI mh.TL apelekwe MUHIMBILI then wasaa ukifika wa ile ruhusa kutoka Mamlaka za juu....ya kuweza kumpeleka WALIKOTAKA...Ila ukifikiri kwa hoja ya mh.mbowe ya labda alikuwa na hofu ya saftety yà TL kupelekwa MNH?!!!

So ukiangalia KISHERIA ya kusafirisha wagonjwa basi UTAMAIZI spika alikuwa on the RIGHT POSITION Katika HATUA hii ya maslahi ya AFYA YA MGONJWA.....and where "does TL denied his statutory health benefits wanakosemea MABWANA WALETA BARUA"?!!!

NITAENDELEA

Tena Ikumbukwe ile barua ya RUFAA kwenda nje ya nchi ina kiprocess hv kisheria....haiishii TU Rais kutoa ruksa Bali pia inapitia WIZARA YA AFYA KWA mchakato zaidi ktka kusainiwa na wahusika...

CHADEMA and friends wakampeleka mh.TL Kenya....kinyume kabisa na ushauri wa mwanzo wa BUNGE but mh.Ndugai aliridhika na uamuzi huo wa kina mh.Mbowe kwani alijua COST zote za huduma ya afya ya mgonjwa zitalipwa na WAHUSIKA...kwa hiyo kuhusu hoja ya WATEJA WA KIMATAIFA katika kunyimwa benefits za huduma ya afya kwa mh.TL imebomoka na haina MASHIKO....
Kuhusu kulipwa STAHIKI ZAKE KM MBUNGE sisi raia tujuacho ni maneno ya spika kusema ALIMALIZANA NA MH.TL akiwa hukohuko UGHAIBUNI,yaani HAWADAIANI CHOCHOTE...yaani ALILIPWA haki yake yote Sasa sijajua km amenyimwa KIINUA MGONGO CHA MWISHO KABISA WA UTUMISHI WA BUNGE...hlo silijui Mana spika ameshalivunja BUNGE na hatumsikii siku hz zaidi ya juzi Kati kuhutubia pale TAKUKURU na hakukuwa na agenda nje ya Mambo ya takukuru so HOJA YA WATEJA WA KIMATAIFA haijakaa vyema ndani ya hyo BARUA Kali na ya vitisho......

Nitaendelea katika NUKTA NYINGINEZO....
 
Wakina Dr.Ulisubisya Mpoki Mwasumba na wenzake wakiwekewa MKONO wa baraka na BWAÑA wakafanikksha kumSTABILIZE mh.TL ambako kiafya angeweza KUSAFIRISHWA KWA NDEGE.....kumbuka wasingethubutu kumsafirisha akiwa na ile Hali waliyompokea kwani YANGEKUWA MENGINE...wakati FARASI akiTAKE OFF.....

OFISI ya spika ikafanya utaratibu wa kutafuta NDEGE YA KUKODI KUJA DAR...Muhimbili...hapa Ndipo walipokataa kina mh.Mbowe.......

Kina mh.Mbowe walikuwa na STAND kuwa TL apelekwe Nai Kenya....ilihali KISHERIA BUNGE Lina mandate ya kuidhinisha kiNHIF(bima ya afya ya taifa) kuwapeleka wagonjwa MUHIMBILI(MNH).
Na ili umtoboleshe mgonjwa Kenya ama mamtoni ni lazima KISHERIA RAIS AANGUKE WINO.....
Sasa ukifikiri kwa hoja ya mh.Spika unaona usiku ule...Rais angeanguka wino kutoa ruhusa saa ngapi huku mgonjwa Yuko ktka emergency?!!Ni kwanini mh.Mbowe ASIKUBALI mh.TL apelekwe MUHIMBILI then wasaa ukifika wa ile ruhusa kutoka Mamlaka za juu....ya kuweza kumpeleka WALIKOTAKA...Ila ukifikiri kwa hoja ya mh.mbowe ya labda alikuwa na hofu ya saftety yà TL kupelekwa MNH?!!!

So ukiangalia KISHERIA ya kusafirisha wagonjwa basi UTAMAIZI spika alikuwa on the RIGHT POSITION Katika HATUA hii ya maslahi ya AFYA YA MGONJWA.....and where "does TL denied his statutory health benefits wanakosemea MABWANA WALETA BARUA"?!!!

NITAENDELEA

Kwa barua hiyo naona kuna watu wameshaanza safari ya "The Hague" wakimwacha kocha uwanjani
 
Kwa barua hiyo naona kuna watu wameshaanza safari ya "The Hague" wakimwacha kocha uwanjani
The Hague SI Jambo rahisirahisi....Ila umakini ni lazima UWEPO....
Nadhani ni kpnd Cha kuwa makini mno labda kulko kpnd chengine katika changamoto za diplomasia ukiacha kpnd Cha Vita ya kagera ambayo wengi wetu tulikuwa hatujazaliwa.

Ukiangalia BAN wanazopiga wahusika Mara nyingi wanatanguliza kuyatoa majina na km likitokea BAYA wao wanaFREEZE akaunti zako na maslahi yako nje na kuanza kukuandama....huwa hawaendi nchi husika nimesoma mahali kuwa huwa wanamvizia mlengwa akitoka nje ya nchi ndo wanafanya unyambisi wao aaagh hyo barua IMENIUMIZA SANA hasa kule kutajwa hadharani MAJINA ya wazalendo wetu wanaosimamia usalama wetu wa KILA siku Aya bnaa time will tell
 
Hawajui kuwa kwa barua kama hizo ndo wanatufanya tumwone kuwa ni msaliti zaidi kwa taifa letu, na kwamba anatumiwa na mabeberu ambao hata akipata uongozi atafanya mambo ili kuwafurahisha?
 
Hawajui kuwa kwa barua kama hizo ndo wanatufanya tumwone kuwa ni msaliti zaidi kwa taifa letu, na kwamba anatumiwa na mabeberu ambao hata akipata uongozi atafanya mambo ili kuwafurahisha?
Sure....nadhani kisiasa hlo barua halimuongezei FAIDA mh.TL labda Ni hatua ya kujilinda kiusalama wake TU.....
 
The Hague SI Jambo rahisirahisi....Ila umakini ni lazima UWEPO....
Nadhani ni kpnd Cha kuwa makini mno labda kulko kpnd chengine katika changamoto za diplomasia ukiacha kpnd Cha Vita ya kagera ambayo wengi wetu tulikuwa hatujazaliwa.

Ukiangalia BAN wanazopiga wahusika Mara nyingi wanatanguliza kuyatoa majina na km likitokea BAYA wao wanaFREEZE akaunti zako na maslahi yako nje na kuanza kukuandama....huwa hawaendi nchi husika nimesoma mahali kuwa huwa wanamvizia mlengwa akitoka nje ya nchi ndo wanafanya unyambisi wao aaagh hyo barua IMENIUMIZA SANA hasa kule kutajwa hadharani MAJINA ya wazalendo wetu wanaosimamia usalama wetu wa KILA siku Aya bnaa time will tell
Wanasimamia usalama wa nani?Watu wanatekwa,wanapotea,wanatesawatu,wanauwawa wanapewa sumu kama wakina mangula hao wazalendo wako hawaja mshika mhalifu hata mmoja.
Kwahaya yaliyo tokea hata chizi anajua muhusika ni nani..
Ukipanda chuki utavuna chuki serikali ya CCM ina roho mbaya sana kwao kumtoa mtu uhai kwasababu ya madaraka ni kitu kidogo sana..
 
Wanasimamia usalama wa nani?Watu wanatekwa,wanapotea,wanatesawatu,wanauwawa wanapewa sumu kama wakina mangula hao wazalendo wako hawaja mshika mhalifu hata mmoja.
Kwahaya yaliyo tokea hata chizi anajua muhusika ni nani..
Ukipanda chuki utavuna chuki serikali ya CCM ina roho mbaya sana kwao kumtoa mtu uhai kwasababu ya madaraka ni kitu kidogo sana..
Duuuh
 
Hawajui kuwa kwa barua kama hizo ndo wanatufanya tumwone kuwa ni msaliti zaidi kwa taifa letu, na kwamba anatumiwa na mabeberu ambao hata akipata uongozi atafanya mambo ili kuwafurahisha?
Msaliti wa taifalako ni CCM ndio katufikasha hapa tulipo.
Wamesaini mikataba ya hovyo,wanauza mali zetu,wanagawana mali zetu wenyewe kwa wenyewe leo unataka kumlaumu Lissu au mpinzani kwa lipi alilofanya.
 
Yaani nyie watu huwa nawashangaa sana, na ww unakaa Unawaza kabisa eti Lissu atashinda mbele ya magufuri.!!!!!

Nyie kamilisheni utaratibu tu, Magufuri yeye ndio atapita kwa namna yoyote ile
Kwa watanzania walivyochoka na hali hii ngumu ya maisha , na kwa jinsi watanzania wasivyopenda uonevu, alafu kwa haya CCM na polisi wanayowafanyia Lissu na Chadema, nakwambia ndugu yangu CCM wakishinda uchaguzi wa mwaka huu najitoa JF
 
Tanzania Ni Nchi Huru
Inajiamulia Mambo Yake, Siyo Mabeberu!!!
Among hayo 'mambo yake' ni kuheshimu katiba na sheria ikiwemo ya kulinda raia wake. Hili la kulinda raia wake serikali hii imeshindwa kiasi kwamba raia amomba ulinzi nje dhidi ya serikali yake. Hii kwa kweli mkubali mkatae ni aibu kubwa!
 
That sovereighnity is the devil's hiden secret ...you kill people intentionally because of political interest not otherwise! I know this letter is nothing to you until your stiff neck is broken!
Your neck will be first be broken..always imperialists symphasizers will be the first to die...
 
Back
Top Bottom