Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
- Thread starter
-
- #121
So this is stunt?? LMAO πππ Basi sawa kila mtu abaki katika anachokiamini sina haja ya kuanza kukueleza hizi drama zao za ndoa kuwa hazikuzaa leo period.And how can you prove that it's true or just mere claims made for publicity stunt?
Bongo tufike basi hii stage na ss sio kila siku kuviziana ukitaka kuchepuka πSio wabinafsi
Kama kujichubua mkuu?Ni kweli alikuwa ana sura Fulani hivi ya aibu aibu but illuminate walimtumia vibaya sana
Yeah ni moja ya mikakati yao ijapokuwa kuna story zinasema kwamba alipatwa na vitiligo.Kama kujichubua mkuu?
kuna kipindi niliona kwenye tv kinaitwa wife swap yaani watu wanabadilishana wake zao kwa mda ilinishangaza sanaWenzetu wako tofauti kidogo! Sometimes wanandoa wakiboreka kwenye sex wanatafuta other couple then wanabadalishana wapenzi ili kutafuta ladha mpya. Au wanaweza kununua malaya then wanapiga kitu cha three some.
Pia Kuna Swingers Club.
For sure! Wanabadilisha ladha!kuna kipindi niliona kwenye tv kinaitwa wife swap yaani watu wanabadilishana wake zao kwa mda ilinishangaza sana
Utakuwa ni ke wewe au marioo.Tatizo wabongo wana wivu wa kijinga. Unakuta washaachana kitambo ila jamaa akukute na upo na huyo mwanamke lazima akuanzishie valangati
Naona unawashwa mtandao pendwa. Tafuta wengine mi situmii chooni.Utakuwa ni ke wewe au marioo.
Nina uhakika 100% hunaNinazo
π€£π€£ Tafuta sasa partner wa kuishinaye hivi?Ninauhakika ,ila sina uhakika kama yeye atavumiliaπ€£
Mara nyingi Will alishazungumzia hili huyu mzazi mwezie hajawahi kuacha kumzunguzia 2pac.Ishu ya huyo mmama enzi hizo alikuwa mpenzi wa Tupac,alimpenda sana Tupac na tupac alipofariki alipata msongo wa mawazo ikabidi aende kwa Will Smith maana Will alikuwa ashamfukuzia sana.
Lakini kwenye ndoa yao mda wote Will Smith alikuwa analalamika kwamba huyo mwanamke ameshindwa kumtoa akilini Tupac kiasi kwamba Will anakereka na kugombana mara kwa mara
[emoji3]August kasema kweliUkweli wanaujua waoView attachment 1498608
Na ukimwi huu, sipati picha.Hizi ndoa zingekuwepo Bongo sijui ingekuwaje πππ kwakeli π₯